Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Mama yao alikubali maana walikuwa na umri wa miaka 7Kama walikuwa wadogo ilikuwa ni unyanyasaji kumnyang'anya mama yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yao alikubali maana walikuwa na umri wa miaka 7Kama walikuwa wadogo ilikuwa ni unyanyasaji kumnyang'anya mama yao.
Hapana alipata ajari ya boda boda akitoka kazini kapanda boda bodaNa kwa tabia ya wanawake wanaopenda dudu huenda hata huyo mume wake ni yeye alimla kichwa
Hajua stress za January kabisaWana wake bana dah! Yaani watoto wawili tu akaruhusu waondoke halafu yeye anakula bata!! Women
Akapata mimba kwa bahat mbaya itakuwaje?wanakuwaga na ujinga fulani hivi, mtu akiona anapenda dudu sana si asiolewe tu
Sikuiz wapo wachache haosi ndio nimeshangaa, kuna single maza mmoja anakomaa na watoto wake watatu, japo yeye ni wale wanaume wanaotelekeza familia, dada wa watu kakomaa
Mimi nimeongea nae sanaSimlaumu dada,hormones ndio shida hapo,pia msimba haujatoka kichwani ndio maana kila anachoona kwake kibaya.
1: anahitaji kupata kijana/mwanaume.
2: watoto wapo mbali Kwa mama yyt hili ni ttz kwao wanapenda sn kuona watoto wapo pamoja sema hawezi ndio kinachomvuruga akili.
3: km atapata mwanassikolojia itamsaidia sana kumuweka sawa
Aliyeelewa anielezee kwa kifupi tafadhaliIpo hivi nina dada yangu ambaye ni mjane mumewe alikufaga 2010 akamuachia watoto wawili wadogo sasa hawa watoto kwao waligawana kumsaidia mama kulea watoto mmoja alimchukua shemeji yake mdogo mwingine akachukuliwa na shemeji yake mkubwa huyu mmoja anaitwa E ndio mkubwa na wa pili J
Sasa huyu J alikuwa anakaa na baba yake mkubwa mbagala hapo kaka mda mrefu mpaka kafika form two mama ake ndio anaaza kusema nataka mtoto nikae nae mwenyewe kule mtoto ananl nyanyasika wanamtuma sana wakat watoto wai pia wapo
Mm nikamuuliza maswali madogo tu kule anako kaa si ndio kwao? Kwhy ata kama wanamnyanya wanamnyanya damu yao yule kabeba jina lao la ukoo sio la kwetu af pia mtoto kukonda ni kutokana na ukuaji muache mtoto asome amalize
Hakusikia akamlagai mama yule mtoto wakamwamisha shule toka dar kwenda mkoani kule alikokuwa anasoma mwanzo alikua anafanya vzr ila tangu ameenda kwa bibi yake jaman anafanya vibaya na mama angu yupo bise sana hana mda wakumfwatilia mtoto kabisa
Sasa juzi anasema yule J ananyanyaswa yaani mama ana mnyanyasa mtoto kisa hana baba chanzo ilikuwa ni kumwambia kuwa kama husomi matokeo yakiendelea hivi hivi unarudi kwenu kule sitaki upumbav mtoto kamwambia mama yake mama yake kaja juu mwanangu mnanyanyasa
Mimi nikatoa kauli hii moja tu huyo mtoto arudi akakae alikokuwa anakaa mwanzo au akakae na mama yake mwenyewe kelel zipungue kabisa
Mtu anasaidiwa lakini hasaidiki wanawake mnalea watoto vibaya
Ni kwanini alichoma mpaka vyeti?Ukaribu kiroho na walivyoishi hawezi kuchoma moto.
Akina mama akili zao wanazijua wenyewe mkuu. Mungu awasaidie.Ipo hivi nina dada yangu ambaye ni mjane mumewe alikufaga 2010 akamuachia watoto wawili wadogo sasa hawa watoto kwao waligawana kumsaidia mama kulea watoto mmoja alimchukua shemeji yake mdogo mwingine akachukuliwa na shemeji yake mkubwa huyu mmoja anaitwa E ndio mkubwa na wa pili J
Sasa huyu J alikuwa anakaa na baba yake mkubwa mbagala hapo kaka mda mrefu mpaka kafika form two mama ake ndio anaaza kusema nataka mtoto nikae nae mwenyewe kule mtoto ananl nyanyasika wanamtuma sana wakat watoto wai pia wapo
Mm nikamuuliza maswali madogo tu kule anako kaa si ndio kwao? Kwhy ata kama wanamnyanya wanamnyanya damu yao yule kabeba jina lao la ukoo sio la kwetu af pia mtoto kukonda ni kutokana na ukuaji muache mtoto asome amalize
Hakusikia akamlagai mama yule mtoto wakamwamisha shule toka dar kwenda mkoani kule alikokuwa anasoma mwanzo alikua anafanya vzr ila tangu ameenda kwa bibi yake jaman anafanya vibaya na mama angu yupo bise sana hana mda wakumfwatilia mtoto kabisa
Sasa juzi anasema yule J ananyanyaswa yaani mama ana mnyanyasa mtoto kisa hana baba chanzo ilikuwa ni kumwambia kuwa kama husomi matokeo yakiendelea hivi hivi unarudi kwenu kule sitaki upumbav mtoto kamwambia mama yake mama yake kaja juu mwanangu mnanyanyasa
Mimi nikatoa kauli hii moja tu huyo mtoto arudi akakae alikokuwa anakaa mwanzo au akakae na mama yake mwenyewe kelel zipungue kabisa
Mtu anasaidiwa lakini hasaidiki wanawake mnalea watoto vibaya
Hakuwa na uwezo kabisa? Kila mtoto anamuhitaji mama yakeMama yao alikubali maana walikuwa na umri wa miaka 7
Nadhani mleta uzi atatueleza.Ni kwanini alichoma mpaka vyeti?
Si angeviacha kama Ukumbusho?
Alikuwa nao sana kipindi icho alikuwa mzabuni pale twalipoHakuwa na uwezo kabisa? Kila mtoto anamuhitaji mama yake
kwenye mimba hakunaga bahati mbaya, labda hiyo Bahat mbàya iwe kwa mwanaume sio mwanamkeAkapata mimba kwa bahat mbaya itakuwaje?
Sawa vzrHatutaki.....
Ahahah wanasema huwa calenda ina badirikakwenye mimba hakunaga bahati mbaya, labda hiyo Bahat mbàya iwe kwa mwanaume sio mwanamke
Basi ale starehe zake kimyakimya asianze kusimanga wanaomlelea watoto wakeHajua stress za January kabisa
Sisi wenyewe hatujui sababuNadhani mleta uzi atatueleza.
Mimi nimewaambia wamuachie hao watoto mwenyewe kupunguza lawamaBasi ale starehe zake kimyakimya asianze kusimanga wanaomlelea watoto wake