Wamama badirikeni kidogo

si ndio nimeshangaa, kuna single maza mmoja anakomaa na watoto wake watatu, japo yeye ni wale wanaume wanaotelekeza familia, dada wa watu kakomaa
Sikuiz wapo wachache hao
 
Mimi nimeongea nae sana
 
Aliyeelewa anielezee kwa kifupi tafadhali
 
Akina mama akili zao wanazijua wenyewe mkuu. Mungu awasaidie.
 
kwenye mimba hamnaga kitu kinaitwa bahati mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…