Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
 
Hongera sana
 
Filisika kidogo au mali iongezeke zaidi alafu uwe ushazaa nae watoto ka 3 hivi ndo mwisho wako wa uhai.
 
Mwanaume yoyote anae lishwa na mwanamke hawanaga na akili wanaweza hata kugeuzwa nyuma........kusifia mchaga, singo maza, au kusomesha mke, hapa jf members wanakuona fala kabisa.
 
Una uwezo wa kifedha?
 
Wewe ni mchaga unawatetea wenzako
 
🚮
 
Kizuri kula na wenZio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…