Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Hakiamungu kuna watu wanakunwa na udini loh!!!Mbona Mohammad alikuwa analishwa ?
Mamndenyi MakiwendoWa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Kwani wewe sio mchaga
Liverpool VPN Vp tumwambie au endelee kunywa dawa kdg asogelee ile miziz michungu?Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
😹😹 Wifi yangu huyo tunatanianaKwani wewe sio mchaga
Tumefika Kaka....
Siku hizi kusagana kumekuwa jambo la wazi sana. Mpaka wanawake mnaoana? Wanaume huwa hatuwezi kuja anzisha uzi wakipuuzi kama huu.Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Sheikh usiseme hivi. Muhammad alimuoa bi khadija alikuwa na umri mkubwa na mwenye mali. Akamtunza mtume...Mwanaume yoyote anae lishwa na mwanamke hawanaga na akili wanaweza hata kugeuzwa nyuma........kusifia mchaga, singo maza, au kusomesha mke, hapa jf members wanakuona fala kabisa.