Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Tumeyapokea ndugu yangu. .Mpewe maua yenu aisee
Hatuna Ubaya na mtu...Ila watu ndiyo wana ubaya na sisi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeyapokea ndugu yangu. .Mpewe maua yenu aisee
😅😂😂😂
Sio udini ila wewe umekosea kuandika hivyoHakiamungu kuna watu wanakunwa na udini loh!!!
Umekamatika.Ukizeeka utajua tu nini ni nini!Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Muhammad amekujaje huku?Mbona Mohammad alikuwa analishwa ?
Sh, wangu mada hi inahusu bint Wakichagga tuache Udini unachochea chuki, mimi nawewe Muhammad hatumjui wala hakua Mtanzania
Kuna mtu alikuwa anasema mahali kila binti wa moshi huko akilala naye anakuta hajawahi kuguswa.
Jamaa mmoja akamsanua kwamba wanaume wa kichaga hawajui kuchakaza papuchi ndio maana yaani wanaitumia wanaiacha kama ilivyo hawawezi kutembeza kilometers za kutosha.
Kama ni mushi subiri gari litawaka muda si mrefu.Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Mwanzoni inakuwaga hivyo hivyo,Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Mwache aendelee kuls nyama za juu, atakutana na mifupa tuuLiverpool VPN Vp tumwambie au endelee kunywa dawa kdg asogelee ile miziz michungu?