Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Umekamatika.Ukizeeka utajua tu nini ni nini!
 
Kuna mtu alikuwa anasema mahali kila binti wa moshi huko akilala naye anakuta hajawahi kuguswa.
Jamaa mmoja akamsanua kwamba wanaume wa kichaga hawajui kuchakaza papuchi ndio maana yaani wanaitumia wanaiacha kama ilivyo hawawezi kutembeza kilometers za kutosha.


Kumbe huenda ndio sababu inayofanya wadada wa kichaga wameambiana miaka hii hakuna kuolewa na wanaume wa kichaga wenzao ?!
Wanaolewa na makabila hasa ya bara.
sema wanaume wa bara nao ndio wanawakomesha kwa kuzaa nje na matala.

Pia wanaume wa kichaga hawakubali kutawaliwa na mwanamke.
Na hawataki wanawake wavivu.
Ukiolewa na mchaga ni kazi muda wote hata ukiwa nyumbani .
 
WE BWANA!!... HAKUNA SHIDA,, SIKU USILETE MASHITAKA APA KWAMBA UMEPIGWA TUKIO,

Chakumemenaa
 
Hapo atakupima upepo kwanza kwa kukwambia “ Nina mimba “
Aone msimamo wako .
Akiona unaelekea anaitegesha kweli akijua utaikubali na kumuoa faster.
 
Pesa akupe mwanamke halafu uende uchagani uonekane mfalme!!
Wachaga sio wazembe hivyo wewe unaandaliwa kutolewa kafara, stuka mubwa ww
 
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Kama ni mushi subiri gari litawaka muda si mrefu.
 
Karibu tena baada ya kuzaa watoto wawili utupe mrejesho...
 
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Mwanzoni inakuwaga hivyo hivyo,
Mwishoni utakuja kuwa hoi, umekata tamaa na kuchanganyikiwa
 
Back
Top Bottom