Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

Sheikh usiseme hivi. Muhammad alimuoa bi khadija alikuwa na umri mkubwa na mwenye mali. Akamtunza mtume...
Sh, wangu mada hi inahusu bint Wakichagga tuache Udini unachochea chuki, mimi nawewe Muhammad hatumjui wala hakua Mtanzania
 
Siku hizi kusagana kumekuwa jambo la wazi sana. Mpaka wanawake mnaoana? Wanaume huwa hatuwezi kuja anzisha uzi wakipuuzi kama huu.
We utakuwa msukuma tu kwahiyo unataka nije kuanzisha nyuzi za dada zako wa kisukuma ili ufurahi?
 
Sh, wangu mada hi inahusu bint Wakichagga tuache Udini unachochea chuki, mimi nawewe Muhammad hatumjui wala hakua Mtanzania
Udin ni nini? Wewe humjui. Mimi na mjua. Sijaona udini hapo we kafir
 
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Stress haziondolewi hivi we Jamaa 🤣🤣🤣
Tafuta hela utoke hapo alikoolewa dada yako.
 
Kuna mtu alikuwa anasema mahali kila binti wa moshi huko akilala naye anakuta hajawahi kuguswa.
Jamaa mmoja akamsanua kwamba wanaume wa kichaga hawajui kuchakaza papuchi ndio maana yaani wanaitumia wanaiacha kama ilivyo hawawezi kutembeza kilometers za kutosha.
🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️
Shikamoo Madam Hannah ?
 
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Mkuu, kila lakheli Mungu akuongoze Ila kinyume chake uwe unatupa mrejesho.

Mzee Life is the cyclolic process.
 
We jamaa kidogo leo umekuja tofauti huku MMU, Ngoja niagize Cocktail sasa 🍹🍹
 
Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa

Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.

Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Unajazwa kwenye mfumo ili ushiriki kikamilifu kuzalisha mali na kukuza ukwasi wa familia kabla haujarudi kwa Baba kwa kasi ya 5G.
 
Back
Top Bottom