Sh, wangu mada hi inahusu bint Wakichagga tuache Udini unachochea chuki, mimi nawewe Muhammad hatumjui wala hakua MtanzaniaSheikh usiseme hivi. Muhammad alimuoa bi khadija alikuwa na umri mkubwa na mwenye mali. Akamtunza mtume...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sh, wangu mada hi inahusu bint Wakichagga tuache Udini unachochea chuki, mimi nawewe Muhammad hatumjui wala hakua MtanzaniaSheikh usiseme hivi. Muhammad alimuoa bi khadija alikuwa na umri mkubwa na mwenye mali. Akamtunza mtume...
We utakuwa msukuma tu kwahiyo unataka nije kuanzisha nyuzi za dada zako wa kisukuma ili ufurahi?Siku hizi kusagana kumekuwa jambo la wazi sana. Mpaka wanawake mnaoana? Wanaume huwa hatuwezi kuja anzisha uzi wakipuuzi kama huu.
C modeWachaga kwa kujitetea hamjambo
Tulia manka
Udin ni nini? Wewe humjui. Mimi na mjua. Sijaona udini hapo we kafirSh, wangu mada hi inahusu bint Wakichagga tuache Udini unachochea chuki, mimi nawewe Muhammad hatumjui wala hakua Mtanzania
Stress haziondolewi hivi we Jamaa 🤣🤣🤣Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Nataka niwasifie dada zako wa kisukuma?Stress haziondolewi hivi we Jamaa 🤣🤣🤣
Tafuta hela utoke hapo alikoolewa dada yako.
🤦♂️🤦♂️🤦♂️Kuna mtu alikuwa anasema mahali kila binti wa moshi huko akilala naye anakuta hajawahi kuguswa.
Jamaa mmoja akamsanua kwamba wanaume wa kichaga hawajui kuchakaza papuchi ndio maana yaani wanaitumia wanaiacha kama ilivyo hawawezi kutembeza kilometers za kutosha.
Wewe bado ni mvulana haujawa Mwanaume endelea kutafuta attention za kitoto tu.Nataka niwasifie dada zako wa kisukuma?
Attention kwa wewe msukuma?Wewe bado ni mvulana haujawa Mwanaume endelea kutafuta attention za kitoto tu.
Mkuu, kila lakheli Mungu akuongoze Ila kinyume chake uwe unatupa mrejesho.Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Kama nutrition process sio?Mkuu, kila lakheli Mungu akuongoze Ila kinyume chake uwe unatupa mrejesho.
Mzee Life is the cyclolic process.
Kwanini mzeeWe jamaa kidogo leo umekuja tofauti huku MMU, Ngoja niagize Cocktail sasa 🍹🍹
Unajazwa kwenye mfumo ili ushiriki kikamilifu kuzalisha mali na kukuza ukwasi wa familia kabla haujarudi kwa Baba kwa kasi ya 5G.Wa mama wa kichaga ahsanteni sana kwa kuniletea huyu binti binti mushi daa wazee sikuwahi kujua kwamba wanawake wa kichaga Wanajali na kuwathamini waume zao hivi aisee wakuu nafwa kwa mapenzi ooh yeah binti ananipa kila kitu pesa,nguo na mapenzi wakuu mimi mtoto wa kimakonde nitake nini? Sasa
Binti kwao si haba wana pesa kama zote kumbe yale maneno ya kuwasema wachaga kwamba wana roho mbaya huu ni uongo mbona nikienda uchagani mimi naonekana kama mfalme wachaga mbarikiwe sana kwa kuniletea huyu binti yenu wa kutoka uru.
Mkuu nipo kwenye gari la mcharo naenda kutoa mahari daaa wabinti wa kichaga mko poa sana kwanza wengi ni bikra wanajitunza hasa wachaga hoyeee🥰🥰
Kila siku humu vijana wanalia na mapenzi, wanapinga ndoa, wewe umekuja kwa Furaha hivi, kidogo unataka kuwashawishi kataa Ndoa ...K
Kwanini mzee
Eee mkuu tena mi kafir, mbona utayumia panga kubwa kua mende kulikoniUdin ni nini? Wewe humjui. Mimi na mjua. Sijaona udini hapo we kafir
We kafir tuEee mkuu tena mi kafir, mbona utayumia panga kubwa kua mende kulikoni
Mpewe maua yenu aiseeTumefika Kaka....
Ahsante