Nimekumbuka kuna mdada mumewe alivamiwa na majambazi wakamuua, halafu ni mkinga mke wake mchaga. Basi wakinga wakachukua nguo wakazimakete, yule bibie hataki kukaa kwake mumewe anamtokea..
Inasemekana alimuua mumewe. Kabila lake limemponza.. na mumewe alikuwa na pesa.