Wamama wa kichaga na hongereeni kwa kunipa huyu binti daah! Wakuu nafwaa kwa mapenzi haya ya kichaga

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
wifi yangu mzuri, Manka na Kekue huku mjini wana soko balaa na ujeuri wao, fuatilia uone..!!

Ahsante..!!
Nimekumbuka kuna mdada mumewe alivamiwa na majambazi wakamuua, halafu ni mkinga mke wake mchaga. Basi wakinga wakachukua nguo wakazimakete, yule bibie hataki kukaa kwake mumewe anamtokea..

Inasemekana alimuua mumewe. Kabila lake limemponza.. na mumewe alikuwa na pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…