Wamanyema ndio kabila pekee lenye watu majasiri, shupavu, na wajanja hapa nchini

Hapa ananitajia maeneo ya kisima hewa na sijui mjini mwema ndio wako waha halafu pakishua kua wenyeji uliowataja ni fukara na wanaishi maeneo duni ni kweli?
Hapana bruh sio kweli. Kwa sasa kuna wamanyema kibao ambao washaanza kurudi kwao kujenga, kwahiyo maeneo ya kishua kuna mchanganyiko wa makabila yote ya Kigoma, na wengine kutoka mikoa mingine ya Tanzania.
 
Aslimia 75 ya wakazi Kigoma ni Wamanyema? Zaidi ya Kigoma Mjini wanapatikana wapi Mkoa wote, Waha unawakuta Kasulu, Kibondo, Buigwe, Uvinza
Soma vizur kabla ya ku comment bruh. Nimesema asilia 75 ya wakazi na wenyeji wa Kigoma mjini, sikuzungumzia Kigoma yote.
 
Infact Kuna mke wa mmanyema nilimpelekea Moto Hadi akamwacha mumewe,lakini ile familia baba anakula watoto,anakula wakwe
Hii avatar uliyoweka hapo inamaanisha ww ni jinsia gani bruh. Kwahiyo baada ya kumwacha mumewe uliendelea kuwa nae au baadae alikutoka akarudi kwa mumewe?
 
Ndo nawasikia leo
Kama wewe ni wa kijijini hauwezi kuwajua wamanyema. Hawa huwa wanaishi zaidi mijini kama vile Kigoma mjini na kwa Dar wao ndio wageni wa kwanza au wa mwanzo mwanzo kabisa kukamata maeneo muhimu ya kati kati ya center kama vile Kariakoo ambapo walijenga mpaka msikiti unaoitwa msikiti wa manyema, pia maeneo ya ilala ambayo ndio inajulikana kama jiji. Sasa wewe wa huko vijijini karibu na mpaka wa malawi au msumbiji utawajuaje wamanyema bruh?
 
Mkuu unapozungumzia swala la dini sijui ustaarabu, sijui mambo ya kujitawaza mapishi nk, ujue kwamba 99% ya wamanyema ni waislamu kabla mkoloni hajakanyaga Tanganyika na imebaki hivyo hata mkoloni alipoondoka. Kwahiyo mila na desturi zao kwa upande wa dini hazitofautiani sana na watu wa pwani. Pwani yenyewe hasa wilaya ya bagamoyo kuna wamanyema wengi tu waliofika enzi za utumwa, na ambao sasa hivi ni wenyeji wa wilaya hiyo ya bagamoyo. Kwahiyo swala la kutumia maji kwenda msalani, kupika nk kwa wamanyema lilikuwepo toka enzi na enzi.
 
Hapana bruh sio kweli. Kwa sasa kuna wamanyema kibao ambao washaanza kurudi kwao kujenga, kwahiyo maeneo ya kishua kuna mchanganyiko wa makabila yote ya Kigoma, na wengine kutoka mikoa mingine ya Tanzania.

Basi nimejiridhisha Waha wanawashinda jamii nyingine kila kitu ikiwepo wasomi na matajiri nimeambiwa katibu mkuu wizara ya fedha muha na makamo wa Rais muha na naambiwa wana matajiri wengi huko mikoani na ndio wachapa kazi ninyi wengine ni wavivu wavivu
 
Si ndo kina ommy dimpozi hawa.
Aisee kweli ni wajanja wajanja mno full mipesa kijanja janja tu.

Note. Ujanja usizidi, utaliwa.
Ya ndo hao kina Ommy Dimpoz, Diamond, Ali Kiba, Abdul Kiba, na wengine wengi watoto wa mjini.
 
Ya waha wapo vizuri kielimu maana 90% ni wakristo, kwahiyo walianza kujishughulisha na mambo ya elimu toka enzi za mkoloni up to now. wamanyema 99% ni waislamu na waliikataa elimu ya mkoloni toka miaka hiyo na hadi leo ni wachache sana wanaojishughulisha na mambo ya elimu hii ya dunia. Wamanyema wanapenda kuishi kwa kupiga hela kwa njia za ujanja ujanja ila sio kupitia shule au biashara kama wenzao waha.
 
Watu kama ni maarufu watajulikana haijalishi ni wap
 
Watu kama ni maarufu watajulikana haijalishi ni wap

Ndio maana wenzao waha wanajulikana kwa elimu na biashara kumbe alileta story tu za vijiweni imebidi nifanye tafiti zaidi, kumbe wamanyema walifika mjini kufanya kazi za uhousegirl na kupeleka mashuka na mawese huku wenzao waha wakiwa wanasafiri na mihogo na viazi vya kuchemsha kwenye treni ili wafuate bidhaa za duka na ndio watu hutoka makao makuu ya mkoa kwenda kununua vitu kwa waha vya jumlajumla na naambiwa waha ndio wengi huko kigoma
 

Ndio nilifanya utafiti bahati nzuri umekiri kua waha ndio wanawabeba mkoa wa kigoma anzia elimu na biashara hapo tumefunga mjadala na naona waha ndio kabila kubwa kuliko wengine huko.
 
Mkuu Ommy Dimpoz ni Muha,anatokea Kijiji kimoja Kiko Kasulu Sema nmekisahau
 
Hii avatar uliyoweka hapo inamaanisha ww ni jinsia gani bruh. Kwahiyo baada ya kumwacha mumewe uliendelea kuwa nae au baadae alikutoka akarudi kwa mumewe?
Tuishie hapo,avatar achana nayo,huwa najiburudisha nikikumbuka vitu flani
 
Mada za hovyo ka hizi
Sizipi nafasi kichwani mada za hovyo sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…