Wamanyema ndio kabila pekee lenye watu majasiri, shupavu, na wajanja hapa nchini

Hauwezi kumjua mchawi kama na ww sio mchawi. Bila shaka mlishirikiana kuwala hao watu.
Kwanini asiye mchawi, hawezi kumjua mchawi, Una uhakika gani na hilo.
Kuna maneno kwenye Bibilia yanasema, usimuache mwanamke mchawi aishi, je inawezeka mlozi amuue mlozi mwenzie kwa ulozi?
 
Haijalishi mtu anatokea mpakani Songea huko au Mtwara, makabila makubwa Tanzania yanajulikana, Wamanyema Siyo kabila kubwa Tanzania.
Bali ni kabila lilikua maarufu miaka ya nyuma, na umaarufu wao, sasa umemezwa na makabila mengine.

Upande wa ujanja, sina hakika ingawa wapo siku nyingi mjini, sijawahi kusikia mambo makubwa makubwa yanamilikiwa na wamanyema, biashara. hata nyumba za maana, nyumba za wamanyema, zilikua za kawaida tu, zimebadilishwa na wawekezaji, ambao siyo wamanyema kwa ubia, kwa kuzinunua.
 
Kitendo cha mtu kuamini Individual characteristics za binadamu zinakuwa determined na identifications zake tayari amekosa akili. Binadamu ni viumbe wenye ubongo ambao ni very sophisticated hiyo inawafanya kuwa wanaobadilika kulingana na mazingira accordingly.
Wana sifa za adaptability, flexibility na individualism.

Point kuu ni ukabila ni ujinga.
 
Matapeli sana
 

Makabila makubwa tanzania ni nembo ya mikoa yao Kigoma- Waha hao wamanyema hawabebi jina la mkoa wao , Mwanza- wasukuma, Mara- wakurya, Mbeya- wanyakyusa, Iringa- wahehe, Njombe- wabena japo kwenye mikoa hiyo kuna makabila mengine madogomadogo.
 
Acha uongo,Baba yangu mdogo yupo hapo Dar ni Mmanyema original kutoka Ujiji kwetu watu mashuhuri.....amesomea hapo Markaz Chang'ombe elimu yake ya dini....maika hiyo Dar haijastaarabika walikuwa wanaenda Dar na nguo kali,pafumu,Raba kali,sabuni za kunukia...wakifika hapo Dar vijana wakiarabu walikuwa wanawalilia wawauzie kwa bei yeyote ile kwa sababu walikuwa na vitu ghali ambavyo havipatikani Daslam...wenyewe walionekana wajanja sana kuliko wageni wengine kutoka Tanzania kwa sababu walipata hivyo vitu kutoka Congo ya mbelgiji.

Angalia watu mashuhuri wa miaka ya nyuma wote kutoka kigoma ni wamanyema mzee....achana na hawa kina Mpango na Ndalichako waliopata umaarufu hivi karibuni ndio waha...waliobakia wote ni Manyema moja,Idd Simba,Kanal Msabaha,Msambya(Naibu waziri wa nishati zamani)Dr Kaborou(Mbunge wa kwanza wa chadema) marehem,Meya wa kwanza wa jiji la Dar,Marehemu sheikh Yahya Hussein(Mnajimu mashuhuri Afrika mashariki na kati,
Wapo wengi sana wanamichezo waigizaji n.k
Wamanyema wengi wanaishi mjini kati hapo Dar ukilinganisha na Waha.
 
Yaani list yako imejaa waganga na wasanii et wajanja .wamanyema ndo watumwa waliobebeshwa ndovu na wazungu .muha namkubali alikuja mjini mshamba leo wamejua kuishi na watu .mjini wanaaminika sana muha mkikubaliana jamba linaisha
 
Yaani list yako imejaa waganga na wasanii et wajanja .wamanyema ndo watumwa waliobebeshwa ndovu na wazungu .muha namkubali alikuja mjini mshamba leo wamejua kuishi na watu .mjini wanaaminika sana muha mkikubaliana jamba linaisha
Kabisa wamanyema hawamfiki muha hata kidogo
Wamanyema mamwinyi tu wao hupenda kuletewa tu

Ova
 
Yaani list yako imejaa waganga na wasanii et wajanja .wamanyema ndo watumwa waliobebeshwa ndovu na wazungu .muha namkubali alikuja mjini mshamba leo wamejua kuishi na watu .mjini wanaaminika sana muha mkikubaliana jamba linaisha
Wamanyema utapeli mwingi

Ova
 
Umemuelewesha vizuri huyo muha wa vijijini. Anajaribu kujitutumua mjini na wakati hana hata mwaka.
 
Yaani list yako imejaa waganga na wasanii et wajanja .
Karne ya 20 bado unawaza habari za uganga, kweli wewe ni mwanakijiji. Sisi watoto wa mjini tunawaza hela na sio uganga.

Usanii ni moja ya njia ya kijanja ya kumsaidia mtu kuishi vizuri mjini.

Leo hii Davido anaonekana bora na mjanja kuliko wanasiasa wengi kule Nigeria.
 
Hawadumu kwenye ndoa si mwanamke si mwanaume
Swala la ndoa ni la mtu binafsi, karibu mikoa yote Tz watu wanauwana kwa sababu za wivu wa kimapenzi. Hivyo hii ni sifa ya taifa sio kabila.
 
Sawa 🤣


Kila kabila linajiona bora kuliko mengine....🤣🤣

#Siempre JMT🙏
Nyerere alikua na akil sana kulidhibit hili suala mapema.
IMagine hizo fujo zingekuaje nchi hii! 😂
UKiwasikkliza wanyaki
Ukaja kwa wahaya
Ukaenda kwa wachaga
Njoo kwa wahehe
Haya mara wasukuma
Huyu tena mmanyema.

Yaki kila mtu anajiona bora.

Salute Nyerere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…