Wanali overwhelm, na hivi lipo pwani, inabidi waanze mikakati ya makusudi kuli evacuate kwa kuhakikisha states nyingine nazo wanatengeneza aina ya projects na jobs, business, life style, culture and taxing system kama ya New York City.Jiji hilo linadidimia na kuzama
Zile barabara zao nane, ingie kwenye mahotel ni balaa, Uzuri ukiwa na Dola haubadishi labda uamue. Unalipaa kwa dola kila kituKinshasa ina izidi Dsm watu mara 3 hivyo hata nyumba na biashara lazima zitakuwepo nyingi.
Kingine Kishansa inaizidi Dar Eneo kwa mbali sana
Sura yako ina makovu?Picha nyingi sura yangu inaonekana hazifai
CNN walisema wasipochukuaa hatua miaka mia ijayo linaweza kuzama lote. Jinsi yale majengo walivyojenga hata sikuelewa ni ukiyaangali kama yamebebana hiviWanali overwhelm, na hivi lipo pwani, inabidi waanze mikakati ya makusudi kuli evacuate kwa kuhakikisha states nyingine nazo wanatengeneza aina ya projects na jobs, business, life style, culture and taxing system kama ya New York City.
Maana kunachosababisha ile population and culture and life style ni Master Plan ya NYC, maana the rest of New York as State hazina shida
Usiku ni kama vile watu wanetembea juu, yaani sijui ni ushamba, hata nilikuwa sielewiKama jay z alilisifu Jiji la new York kwenye ngoma yake na Alicia keys ya new York .. Mimi ni nani? Maana Kuna mahali anasema it's concrete walls were dreams are made of........ It's lights will inspire you....... If God wish in my lifetime natamani kutembelea states zile za marekani ambazo wanaziita flyover states .[emoji108][emoji108][emoji108]
Kwenye Hii ngoma ,Kuna jengo maarufu linasifiwa sana linaitwa empire State building. Jengo Hilo linaheshima yake [emoji119][emoji119][emoji91][emoji91][emoji91]Jay Z Ft Alicia keys, (Empire state of mind)
"Kula chuma hicho"
Zanzibar inazidiwa mbali na TangaSisi wazanzibar ,Zanzibar ndio sehemu namba moja
DUNIANI
Hongera, ulifikafikaje miji yote hiyoKuna jambo nimeamua kushea kidogo humu.
Kwa kazi yangu nashukuru Mungu nimetembea tembea kidogo katika majiji mengi makubwa duniani.
Nilipofika New York Marekani, aisee lile jiji ni zuri sana. Wiki mbili nilizokaa niliziona chache sana. Wenyeji wangu walinitembeza sana, nilienjoy mno, nilikuwa na wakati mzuri sana. (Naamini kuna siku nitaruri tena).
Nilimelitaja jiji la New York kuwa zuri sana nikilinganisha na majiji niliyowahi kufika ingawa yote sikuwahi kukaa zaidi ya mwezi. (Unaweza kupingana na mimi kwa majiji ambayo umewahi kufika mimi sijawahi)
Majiji yenyewe ni haya:
Afrika.
Bujumbura(Burundi), Nairobi, Kisii na Kisumu(Kenya), Blantyre, Karonga, Mzuzu, Zomba na Lilongwe(Malawi), Maputo, Cabo Delgado, Tete na Chimoio (Msumbiji), Luanda na Calulo (Angola), Kinshasa na Lubumbashi (DR Congo), Johannesburg((Afrika Kusini)
Ulaya
Frankfurt na Berlin (Ujerumani), London (England), Helsinki(Finland), Paris (Ufaransa)
Midlle East
Beirut (Lebanon)
Asia
Hon Kong na Beijing (China), Seoul (Korea Kusini), New Delhi na Mumbai (India)
Latin America
Huku sikufika katika nchi tano tu (Argentina, Paraguay, Uruguay, Chile na Venezuela) zingine zote nimefika
North Amerika
Marekani(New York)
Hitimisho langu, katika majiji yote hayo niliyofika mimi, kwakweli nakiri kabisa, New York ni JIJI haswa.
Halafu kwa jiji la Kinshasa kule DR Congo kwangu mimi binafsi Dar es Saalam bado tuko nyuma sana. Kabla hujafika ukisia mambo ya vita ya Congo unaweza kudhani Kinshansa ni kajiji tu kahovyo, lakini aisee, nalo ni jiji kweli kweli.
Sikupingi... Maana Kuna riwaya Moja inaitwa Godfather iliyoandikwa na Mario puzo , setting yake ni kwenye hili Jiji. Hakika unaonekana ni Jiji lenye status yake sana nchini marekani na alama ya utajiri wa nchi ya marekani [emoji108][emoji108][emoji91]Usiku ni kama vile watu wanetembea juu, yaani sijui ni ushamba, hata nilikuwa sielewi
Mi nikienda India ni kufaidi toto chocolate za kihindiNaskia mumbai
Natamani niende siku Moja nikapaone