Wamarekani waandamana Washington wakipinga Marekani kudhamini vita ya Ukraine, wampongeza Putin kuwa ni mzalendo


Huo ndiyo mtazamo wa wananchi walio wengi wa ulaya na Marekani. Lakini sema Western media kama kawaida yao hawezi kutangaza habari kama hizi.
 
Sijakuelewa mkuu
namaanisha ushoga haumaanishi uwe na asili ya marekani sa hvii chuga na tanga kuna wasawhili lakini wanafanya huu usheani pia marekani inatumia uwezo wake kwa mfumo direct orders au kupitia taasisi ambazo zimewekwa kama fronts lakini nyuma ni hao hao
 
Huo ndiyo mtazamo wa wananchi walio wengi wa ulaya na Marekani. Lakini sema Western media kama kawaida yao hawezi kutangaza habari kama hizi.
Bro mbona sisi tupo wengi Compton na mahomie,s wengi all over states na hatuna mtazamo huo.Wewe ushawahi kukaa marekani na ulaya mpaka utusemee wakazi wa huku mkuu???Au unasemea wananchi gani mkuu??
 
namaanisha ushoga haumaanishi uwe na asili ya marekani sa hvii chuga na tanga kuna wasawhili lakini wanafanya huu usheani pia marekani inatumia uwezo wake kwa mfumo direct orders au kupitia taasisi ambazo zimewekwa kama fronts lakini nyuma ni hao hao
Marekani inatumia mfumo wake kufanyaje mkuu??
 
Upo sahih kule uhuru ni mkubwa sana na ndio maana mtu akiwa na mastres yake anaenda dukan ananunua bunduk na kwenda kwenye halaik ya watu na kumwaga mmwaanyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…