Uchaguzi 2020 Wamarekani wanasema Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na Udanganyifu

Uchaguzi 2020 Wamarekani wanasema Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na Udanganyifu

Kosa lingine ni pale Vyama vya Upinzani kutokufanya utafiti wa Nani katika Vyama vyao anakubalika huko majimboni na Nani hakubaliki hata kama amekuwa ni mbunge wa Jimbo Hilo

CCM wameweza kuyafahamu hayo na kuachiana tena Kwa shangwe na Furaha!
 
Mkuu upo? Pole sana! naona umepunguza speed baada ya watanzania kuamua kuwa ushindi wa JF na na tweeter sio wa kuamini!
Siasa zimeisha sasa. Kile kulikuwa kipindi cha kamapeni ilikuwa ni lazima watu tugawanyike kila mtu ashabikie anachokiqmini.

CCM imeshinda kwa msaada wa dola basi tufanye kazi Sasa.
 
Ujumbe huu wa wamarekani ni faraja sana kwa walioangukia pua! Ni kama ile faraja ya wimbo wa msibani : Allelluya tutaonana, alleluya tutaonana mbinguni kwa Bwana ....(huku moyoni unapata faraja wakati hata kuko mbinguni hujui ni wapi na hujui kama iliwahi kutokea watu wakaonana!)
Ukiwa na afya na hela ya kula unapata ujasiri wa kusema chochote
 
Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.

Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili

View attachment 1615797
#UCHAGUZITANZANIA: Hakuna udanganyifu, hata wakitaka kuhakiki na kujua nani kampigia nani watathibitisha hilo maana kila karatasi ya kupigia kura iliandikwa namba ya kitambulisho cha mpiga kura aliyeenda kituoni akahakikiwa na wasimamizi mbele ya mawakala wa kila chama. Ukiona WaMarekani wanapiga kelele sana uchaguzi wa nchi fulani na kuonesha mtu waliyemtaka kupoteza ujue makapuni yao binafsi hayatafanikiwa kupata kile walichoteta na mtu wao kabla. Ufadhili waliompatia mtu wao wamdai huyo mtu sio kuhamishia hasira zao kwa matakwa ya WaTanzania. Mwanadiplomasia huwezi kuandika ".....Tanzania's leaders must be held accountable..." Wewe ni nani kutusemea, una uchungu gani na Tanzania na watu wake? It is high time this behaviour by a few persons anticipating for personal advancement through the Tanzanian general election stop interferring the internal affairs of the country as the international laws prescribes. It is more than sufficient to have thsi evil plot by external agents pressurizing the country to kneel down in compliance to their immoral condictions.
 
Kutoka Mtwara hadi mkoa wa Mara angalia ajabu la dunia!angalia mwenyewe uongee utumbo tena
View attachment 1615818
Kwa sisi watu wa teknolojia, hii hoja dhaifu sana, typos ni kitu cha kawaida sana, sio big deal kihivyo. See below.

1604045667299.png
 
Kwa sisi watu wa teknolojia, hii hoja dhaifu sana, typos ni kitu cha kawaida sana, sio big deal kihivyo. See below.

View attachment 1615841
Chadema au ni kwa makusudi au ni ugonjwa wao...wasipopotosha na kuzusha mambo kwao hayaendi! Jana nikaona wamempa "kura feki" zilizokamatwa nikawaza ningekuwa Lissu nisingeyaonyesha yale makaratasi kwa waandishi wa habari hadi nitafute niyachunguze kwanza maana hawa watu wanabumba kuanzia picha za kampeni za mzee Lowassa hadi matokeo kama wanavyoonyesha hapa!
 
Tii sheria bila shuruti,sio kwa sababu ni kipindi cha uchaguzi ndio ukikiuka taratibu uachiwe,kwakuwa itaonekana unawakamata viongozi wa upinzani na ukiwakamata inaonekana ni ukikukwaji wa demokrasia,walipokuwa wanawakamata viongozi wa wamarekani weusi walipokuwa wakiandamana kuhusu 'Black lives matter' hawakuona kuwa wanakiuka demokrasia...?
 
Hao wanaangalia maslahi yao
Kama hayajaguswa hawaaingilii, utatawala mpaka uchoke mwenyewe
 
Uchanguzi umekwisha, demokrasia ya Kiafrika imechukua mkondo wake, tukubali matokeo hakuna namna. Miezi kama mitatu ya campaign kujuzana ukweli imemalizika. Sasa! Sasa! Sasa! tuchunge vidole na midomo yetu. Tunayo miaka mitano ya Kunyamaza then 2025 tunakutana tena kuongea. Uchanguzi ni wako Kuongea au Kunyamaza. Sio Wapinzani tu Bali hata walioshinda Watakinywea/Wataenjoy.. Time will tell... "Development is all about contradiction".
Uchaguzi upi? Tanzania hakuna uchaguzi umefanyika bali CCM imeulawiti na kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Hao wanaangalia maslahi yao
Kama hayajaguswa hawaaingilii, utatawala mpaka uchoke mwenyewe
Tayari yameguswa subiria manuali na nyambizi zipo njiani zinakuja na drone kibao na Ndege zisizo na rubani
 
Unauhakika ni 5 yrs??.... Usishangae ikawa mpaka Mola atakapo ingiliia
Uchanguzi umekwisha, demokrasia ya Kiafrika imechukua mkondo wake, tukubali matokeo hakuna namna. Miezi kama mitatu ya campaign kujuzana ukweli imemalizika. Sasa! Sasa! Sasa! tuchunge vidole na midomo yetu. Tunayo miaka mitano ya Kunyamaza then 2025 tunakutana tena kuongea. Uchanguzi ni wako Kuongea au Kunyamaza. Sio Wapinzani tu Bali hata walioshinda Watakinywea/Wataenjoy.. Time will tell... "Development is all about contradiction".
 
Uchanguzi umekwisha, demokrasia ya Kiafrika imechukua mkondo wake, tukubali matokeo hakuna namna. Miezi kama mitatu ya campaign kujuzana ukweli imemalizika. Sasa! Sasa! Sasa! tuchunge vidole na midomo yetu. Tunayo miaka mitano ya Kunyamaza then 2025 tunakutana tena kuongea. Uchanguzi ni wako Kuongea au Kunyamaza. Sio Wapinzani tu Bali hata walioshinda Watakinywea/Wataenjoy.. Time will tell... "Development is all about contradiction".
Mwoga
 
Back
Top Bottom