Uchaguzi 2020 Wamarekani wanasema Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na Udanganyifu

Uchaguzi 2020 Wamarekani wanasema Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na Udanganyifu

#UCHAGUZITANZANIA: Hakuna udanganyifu, hata wakitaka kuhakiki na kujua nani kampigia nani watathibitisha hilo maana kila karatasi ya kupigia kura iliandikwa namba ya kitambulisho cha mpiga kura aliyeenda kituoni akahakikiwa na wasimamizi mbele ya mawakala wa kila chama. Ukiona WaMarekani wanapiga kelele sana uchaguzi wa nchi fulani na kuonesha mtu waliyemtaka kupoteza ujue makapuni yao binafsi hayatafanikiwa kupata kile walichoteta na mtu wao kabla. Ufadhili waliompatia mtu wao wamdai huyo mtu sio kuhamishia hasira zao kwa matakwa ya WaTanzania. Mwanadiplomasia huwezi kuandika ".....Tanzania's leaders must be held accountable..." Wewe ni nani kutusemea, una uchungu gani na Tanzania na watu wake? It is high time this behaviour by a few persons anticipating for personal advancement through the Tanzanian general election stop interferring the internal affairs of the country as the international laws prescribes. It is more than sufficient to have thsi evil plot by external agents pressurizing the country to kneel down in compliance to their immoral condictions.
Maneno haya walahi hayatoki kinywani. Yanatoka pa kunyea.
 
Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.

Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.

Chiii huyu mzungu chizi kweli, em aendelee kuvaa barakoa uko afatilie chanjo ya covid19 atuache na nchi yetu.. Eti Tz leaders must be held accountable, wao hawawi held accountable kurusha mabomu kwenye nchi za watu.. wazungu bhana hahah
 
Hata bila wao kusema kila mmoja ni shahidi wa rafu nyingi zilizofanyika.
 
Umeshndwa kuamua,tumekuamulia sasa unalalamika nini?
tulia dawa ikuingie
Hivi kwa kauli hizi nikikujua kwanini nisikutenganishe kichwa na kiwiliwili. Ulinzi wenyewe wa hivi.
FB_IMG_16033088854338835.jpeg
 
Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.

Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.

Sisi hatuna mpango nao hao mabeberu wako. SADC, na EAC zimeshasema uchaguzi ulikuwa Huru na Haki.
 
Unajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?

Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?

They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
Kwa hiyo wananchi tuvumilie huu uhuni wa CCM wa walioshindwa kutangazwa washindi?
 
Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.

Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.

Mafala tu Nani kawaambia?
 
Unajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?

Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?

They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
point
 
Back
Top Bottom