residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Usininukuu tena wewe sukule.weka evidence ili tukuamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usininukuu tena wewe sukule.weka evidence ili tukuamini
Usininukuu tena wewe sukule.
Ule ni ugaidi kabisa maana kulikuwa na vita wala soo uchaguzi. Yaani wakala anatekwa ndabibya kituo na polisi wanaangalia?Ulikuwa sio wizi bali ujambazi
Peleka kwa mme wako nitaupitia hapoUshahidi uletewe hapo gheto unaposhinda ukivuta Bangi? au wakuletee nyumbani kwa polepole?
Ngoja tusubiri na uchaguzi wao muda si mrefu. Watuache na shida zetu wafanye yao.Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.
Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili
View attachment 1615797
Huna ujualo wewe, upinzani wenu wa mitandaoni ni tatizo kubwa Sana, tena nyinyi watu wa mitandaoni ndio tatizo kubwa Sana! Ni watu wachochezi tu na hakuna mnachoshughurika nachoWananchi wametekeleza haki zao vizuri la Polisiccm wakurugenziccm NECCCM Tumeccm vyombo binafsi vya CCM wamepora Nchi kwa njia haramu za kishetani
Hawa wanasema sema tu na kusema kwao hakusaidii lolote maana hata mwaka ule walisema sema kama hivi tu.Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.
Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.
Not to this extentUnajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?
Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?
They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
Halafu wengine wao ni wanajifanya walokole makanisani ndo wameshiriki tendo la kihuni la dhambiUhuni wa CCM umevuka mipaka
Hawa siyo leader ni watawala. Waandike waseme watawala wawajibike.Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.
Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.
Hata wa kwao pia ulikua na udanganyifu waambie hao mashoga waache kufata fata wanaume wa tanzania hatupigi mashoga sisiKwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.
Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.
Kwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.
Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.
Trump kaingia kihalali kwa kushinda College votes lakini ameshindwa kwenye popular votes.Unajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?
Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?
They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
Wewe uliwajuaje kama mashoga,ha ha ha unaisifia mvua hawakukufikisha kileleni. Nauliza tu.Hata wa kwao pia ulikua na udanganyifu waambie hao mashoga waache kufata fata wanaume wa tanzania hatupigi mashoga sisi
Huna namna wewe acha kujifariji yaani digidigi amnyooshee kidole Simba(kama kipo)iambie serikali imjibu huyo kama ina ubavu,bila hao tunaowabadilishia majina mara wadau wa maendeleo, wakitukosoa tunawaita mabeberu, maendeleo yetu yataingia kwenye mtihani mkubwa.Unajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?
Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?
They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
Una uhakika??? basi sawa ila mbona nyie mnapiga na zingine mnaweka kwenye sandarusi,mikoba na mabegi za nini kama mnajiamini mnapendwa??Kupiga kura hampigi, lakini haohao ndio wa Kwanza Kupiga kelele
Corona inawasumbua wasitusumbue sisi kwa vineno vineno vinenoKwa wale msiojua kithungu someni tamko la wahisani hapo na safari hii tunaenda kunyooka.
Kabla ya kura hata moja kupigwa kura za Tanzania ambazo zilikumbwa na vurugu na ukandamizaji mkubwa. Iliripotiwa ukiukwaji mkubwa wakati wa siku ya jana ya kupiga kura na kukamatwa leo kwa viongozi wa upinzani haikubaliki hata kidogo na kumomonyoka maendeleo ya kidemokrasia ya nchi. Viongozi wa Tanzania lazima wawajibike kwa hili.
Kama mama ako alifika kileleni na ukazaliwa ww taahira ambae unapata hata muda wa ku post habari za mashoga wenzio basi hata ww utafikishwa tu ila jua sisi hatupigi mashogaWewe uliwajuaje kama mashoga,ha ha ha unaisifia mvua hawakukufikisha kileleni. Nauliza tu.