minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Polisiccm walikuwa wakiwafukuza mawakala kila mda kuwanyanyasa hakuna wakala wa upinzani alifanya kazi kwa Amani pasipo kubugudhiwa na PolisiccmUnjua kujiliwaza...wakala wako alikuwa amepewa dawa za usingizi wakati kura za kamanda Mbowe aka Waziri mkuu ajaye zinachomwa moto!