Uchaguzi 2020 Wamarekani wanasema Uchaguzi wa Tanzania ulikuwa na Udanganyifu

Maneno haya walahi hayatoki kinywani. Yanatoka pa kunyea.
 
Chiii huyu mzungu chizi kweli, em aendelee kuvaa barakoa uko afatilie chanjo ya covid19 atuache na nchi yetu.. Eti Tz leaders must be held accountable, wao hawawi held accountable kurusha mabomu kwenye nchi za watu.. wazungu bhana hahah
 
Hata bila wao kusema kila mmoja ni shahidi wa rafu nyingi zilizofanyika.
 
Sisi hatuna mpango nao hao mabeberu wako. SADC, na EAC zimeshasema uchaguzi ulikuwa Huru na Haki.
 
Unajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?

Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?

They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
Kwa hiyo wananchi tuvumilie huu uhuni wa CCM wa walioshindwa kutangazwa washindi?
 
Mafala tu Nani kawaambia?
 
Unajua wazungu should not be commenting chaguzi za africa, TRUMP mwenyewe ringed the election walimfanya nini?

Trump had racism policy OPENLY wamemfanya nini?

They have no mandate and legitimacy kunyoosha kidole za chaguzi zingine.
point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…