Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Tatizo huna exposure ndio maana unawaona wamarekani watu wa sababu sana. Nyie ndo mnakuwaga mashoga kwa sababu mmesikia wamarekani wanaliwa 0713. Sio kosa lako lakini.
Rejea message yangu ya kwanza,Kuna sehemu nimesifia mmrekani?nimekushauri kujikita kwenye matatizo ya nchi yako kuliko kuparamia wenzio wenye social services za kueleweka......sijaelewa kilichokupanikisha hapo Nini tumia hiyo Exposure uliyonayo vizuri
 
Hata hueleweki unacho kikubali ni nini na unacho kikataa ni nini
 
Sasa Mimi nimezungumzia Marekani au nimewazungumzia Wamarekani weusi?
 
Hoja yako pia ni famba, hao AA hawawezi kuwa illegal sababu babu zao walishapewa uraia kitambo baada ya utumwa kukomeshwa, wao ni raia wazawa
 
Growing in America as African- American was struggle,hapo walipo fika nakukubalika kama Rai wa America sio kitoto, usisahau Hilo, ndio wana matatizo ya attitude/ mentality zao ila wape mau yao Kwa struggling kubwa yakumuheshimisha mtu mweusi Duniani,50 cent is not an average guy,wewe ndo an average guy.
 
Hawana tofauti na wazulu WA south wamekuja duniani kufanya ngono na uhalifu tu
🤣🤣🤣 ur very right bro.

Kuna mmoja tulikuwa nae Johanesburg kuna project tulikuwa tunafanya huko..Tulikuwa watanzania wawili msouth mweusi mmoja na mkaburu mmoja na jamaa mmoja kutoka Togo na mholanzi. It was a professional project. Huyu jamaa mnugu( mmarekani mweusi) ni PHD holder kabisa..

Kwanza mvivu kupindukia anafanya kazi kizembe . Siku ya pili ya project anauliza " Guys I want to go to the hood do u know any hood here"? Akimaanisha anataka kwenda uswahili huko kwenye Fujo yani ujinga ujinga tu my brother
 
Nah, mzee ingekuwa struggle Wakenya, Nigeria, Jamaica wasingekuwa wanajazana huko hivyo....Kuishi na kukulia Tanzania ndio struggle kwa mtu mweusi kuliko Marekani
 
Sikutegemea kuwa wewe ni killaza pro max kiasi hiki.

Mtu anakuwaje raia halali?
Je hao watumwa walipelekwa miaka mingapi iliyopita?
Una akili ya kwendea kilingeni tu wewe
Sawa mkuu upo sahihi
 
Nah, mzee ingekuwa struggle Wakenya, Nigeria, Jamaica wasingekuwa wanajazana huko hivyo....Kuishi na kukulia Tanzania ndio struggle kwa mtu mweusi kuliko Marekani
Bila hao African American kufanya revolution,sisi wengine tusingekanyaga Huko America so ni jasho na damu zao , Marcus Garvey,Martin Luther,Malcom X etc Hilo ajue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…