Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Baba ako na Malcolm X nani ana akili kumshinda mwenzake?

Kama una amini Malcolm X ana akili kushinda wewe basi there is no hope to your future.

Anyways kwa kukusaidia tu huyo Malcolm X anaweza kuwa maarufu kushinda baba ako lakini hiyo haimaanishi kwamba ana akili kuzidi baba ako.
Wewe ni Zero # Case closed,Kwa hiyo baba Ako ana akili kuliko Martin Luther king Jr tuambie? Au wewe
 
Huwezi fananisha USA na Tanzania...grow up!......
Ni kweli lakini sio kuizungumzia USA kinadharia ukaacha uhalisia.
Huduma za umma ni mbovu sana mkuu hasa hospital, shule n.k
Nchi ina rushwa sana.

Watu wanaoenjoy maisha USA ni wale wenye pesa au kazi nzuri. Hao wanapata huduma nzuri kwenye private sector.

Nchi imekaa kibepari zaidi kama wewe ni maskini marekani utaishi kama umbwa koko.

Haya yote wengi hawayajui na hata kuyaona kwa sababu hakuna anayeweza kuyasema au kuyaonyesha. Vyombo vya habari vipo undercontrol na macapitalist.
 
Rejea message yangu ya kwanza,Kuna sehemu nimesifia mmrekani?nimekushauri kujikita kwenye matatizo ya nchi yako kuliko kuparamia wenzio wenye social services za kueleweka......sijaelewa kilichokupanikisha hapo Nini tumia hiyo Exposure uliyonayo vizuri
Exposure imeshindwa ku handle gas[emoji23]
 
Wewe ni Zero # Case closed,Kwa hiyo baba Ako ana akili kuliko Martin Luther king Jr tuambie? Au wewe
Wewe unajiona na elimu na akili umeisaidia nini Tanzania? 50 cent is not an avarage guy mwenzio ka build brand World wide siku akifa jina lake lita survive in million years,Wewe mwenzangu vipi na Elimu Yako ? Umegundua hata formular yakutengeneza Uji? Heshimu watu walio kushinda huo ni wivu
 
Afadhali umesema wewe mkuu huyo bidada hajawahi kufika Marekani kabisa.
Huduma za umma ni mbovu sana mkuu hasa hospital, shule n.k
Nchi ina rushwa sana.

Watu wanaoenjoy maisha USA ni wale wenye pesa au kazi nzuri. Hao wanapata huduma nzuri kwenye private sector.

Nchi imekaa kibepari zaidi kama wewe ni maskini marekani utaishi kama umbwa koko.

Haya yote wengi hawayajui na hata kuyaona kwa sababu hakuna anayeweza kuyasema au kuyaonyesha. Vyombo vya habari vipo undercontrol na macapitalist.
 
Jikite kwenye mada....

kwenye Uzi wangu nimesema " African Americans are illegal immigrants too because they were illegally shipped from Africa."

Kwa kutambua uwepo wa watu slow nikaweka msisitizo kwamba " Trans Atlantic Slave trade was illegal AB INITIO"

ELewa maana ya neno AB INITIO.

AB INITIO is a Latin word for " From the Beginning"

" Illegal immigrant " is a legal terminology.

Kisheria chanzo cha kitu kama ni illegal basi kina kifanya hata kitu chenyewe kuwa illegal mbele ya jicho la sheria.

Kwa mfano kama umenunua cheti cha form four ukakitumia kusoma 5 na 6 ukafaulu ukaenda chuo ukawa lets say mwalimu ukafanya masters ukapata hadi PhD then baadae tukigundua kwamba uliiba cheti cha form four basi tunasema hiyo PhD yako ni illegal ab initio .

Ndio maana tunasema kisheria and technically hawa wamarekani weusi ni sawa na illegal immigrants kwa sababu uwepo wao ndani ya ardhi ya Marekani Msingi wake ni biashara haramu ya utumwa. So they need to shut up about the so called illegal immigrants. Umeelewa bi mkubwa?
 
Huduma za umma ni mbovu sana mkuu hasa hospital, shule n.k
Nchi ina rushwa sana.

Watu wanaoenjoy maisha USA ni wale wenye pesa au kazi nzuri. Hao wanapata huduma nzuri kwenye private sector.

Nchi imekaa kibepari zaidi kama wewe ni maskini marekani utaishi kama umbwa koko.

Haya yote wengi hawayajui na hata kuyaona kwa sababu hakuna anayeweza kuyasema au kuyaonyesha. Vyombo vya habari vipo undercontrol na macapitalist.
Joannah
 
Hao black America weupe ndio Hawa Hawa waliotawala michezo ,Sanaa,burudani,Siasa kwa Sasa ukiangalia Magavana na Seneta utakuta wengi wapo ma Dr n.k
Anyway hiyo civics ya darasa la nne imekupiga chenga kujua aina za uraia na sifa za raia
Najua kule umesema we ni mkenya thanks for that bro[emoji120][emoji23]
 
kwenye Uzi wangu nimesema " African Americans are illegal immigrants too because they were illegally shipped from Africa."

Kwa kutambua uwepo wa watu slow nikaweka msisitizo kwamba " Trans Atlantic Slave trade was illegal AB INITIO"

ELewa maana ya neno AB INITIO.

AB INITIO is a Latin word for " From the Beginning"

" Illegal immigrant " is a legal terminology.

Kisheria chanzo cha kitu kama ni illegal basi kina kifanya hata kitu chenyewe kuwa illegal mbele ya jicho la sheria.

Kwa mfano kama umenunua cheti cha form four ukavitumia kusoma 5 na 6 ukafaulu ukaenda chuo ukawa lets say mwalimu ukafanya masters ukapata hadi PhD then baadae tukigundua kwamba uliiba cheti cha form four basi tunasema hiyo PhD yako ni illegal ab initio .

Ndio maana tunasema kisheria and technically hawa wamarekani weusi ni sawa na illegal immigrants kwa sababu uwepo wao ndani ya ardhi ya Marekani Msingi wake ni biashara haramu ya utumwa. So they need to shut up about the so called illegal immigrants. Umeelewa bi mkubwa?
Tumekujibu, hata wazungu Marekani ni illegal immigrants , Marekani Native ni Red indians/ Mexican. Tena Wazungu wawo waliwauwa Red indians wakae wawo
 
Wewe unajiona na elimu na akili umeisaidia nini Tanzania? 50 cent is not an avarage guy mwenzio ka build brand World wide siku akifa jina lake lita survive in million years,Wewe mwenzangu vipi na Elimu Yako ? Umegundua hata formular yakutengeneza Uji? Heshimu watu walio kushinda huo ni wivu
Mjinga kamaliza secondary huko Namtumbo akapangiwa Chuo UDSM!

Kamaliza Degree yake ya Sociology na community development akapangiwa kazi TAMISEMI Leo anajiona ni Mjanja kuliko 50 Cent hahaha


Hii nchi Vichaa ni wengi sana!


Ukute kajenga kanyumba kake ka mkopo wa vicoba huko uswekeni na kanunua Ka -IST used kutoka Japana anaona Black america wote wajinga!


Jamii yoyote Iko Homogeneous. Ina watu wazuri na wabaya! Hata hapa Tanzania Kuna watu wabaya na wema! Huwezi kuja kuhukumu watanzania wote ni wabaya unatukosea sote!

Nina rafiki Black Americans watu poa tu!


Marekani Kuna black Americans milion 40. Huyu mjinga anakuja kuhukumu wote Kwa Comments chache za Instagram zisizofikia hata 100.


Haya ni madhara ya kuwa mijitu mijinga kama mleta mada! Akili finyu
 
Huduma za umma ni mbovu sana mkuu hasa hospital, shule n.k
Nchi ina rushwa sana.

Watu wanaoenjoy maisha USA ni wale wenye pesa au kazi nzuri. Hao wanapata huduma nzuri kwenye private sector.

Nchi imekaa kibepari zaidi kama wewe ni maskini marekani utaishi kama umbwa koko.

Haya yote wengi hawayajui na hata kuyaona kwa sababu hakuna anayeweza kuyasema au kuyaonyesha. Vyombo vya habari vipo undercontrol na macapitalist.
Kwamba Marekani huduma za afya ni mbaya haha labda Marekani ya USA river Arusha
 
Okay lazima wawachukie waafrika kwa sababu waafrika wakiendaga US huwaga wanakichafua kinoma noma .. Kwanza wanasoma sana na wanazitumia fursa vizuri. Vyuo vingi vya Marekani wanafunzi kutoka Africa ndio wanafanya vizuri. Hawa wanugu shule hawataki kazi hawataki halafu mwisho wa siku wanaanza kuwalaumu immigrants
💯
 
Mjinga kamaliza secondary huko Namtumbo akapangiwa Chuo UDSM!

Kamaliza Degree yake ya Sociology na community development akapangiwa kazi TAMISEMI Leo anajiona ni Mjanja kuliko 50 Cent hahaha


Hii nchi Vichaa ni wengi sana!


Ukute kajenga kanyumba kake ka mkopo wa vicoba huko uswekeni na kanunua Ka -IST used kutoka Japana anaona Black america wote wajinga!


Jamii yoyote Iko Homogeneous. Ina watu wazuri na wabaya! Hata hapa Tanzania Kuna watu wabaya na wema! Huwezi kuja kuhukumu watanzania wote ni wabaya unatukosea sote!

Nina rafiki Black Americans watu poa tu!


Marekani Kuna black Americans milion 40. Huyu mjinga anakuja kuhukumu wote Kwa Comments chache za Instagram zisizofikia hata 100.


Haya ni madhara ya kuwa mijitu mijinga kama mleta mada! Akili finyu
Kala marage ya juzi huyu apuuzwe tu.
 
Hao black America weupe ndio Hawa Hawa waliotawala michezo ,Sanaa,burudani
How?

Nitajie wamarekani weusi walau watatu wanao miliki timu ya mpira wa basket ball inayo shiriki NBA.

Unazijua top music labels ambazo zina tawala music industry duniani.
,Siasa kwa Sasa ukiangalia Magavana na Seneta utakuta wengi wapo ma Dr n.k

Mention them so that we know that ur not talking about ghosts
Anyway hiyo civics ya darasa la nne imekupiga chenga kujua aina za uraia na sifa za raia

Tutajie hizo aina za uraia na sifa za uraia halafu husisha na Uzi wangu
Najua kule umesema we ni mkenya thanks for that bro[emoji120][emoji23]
 
Back
Top Bottom