Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Mmmh bro 50 cent is known world wide; si kweli Kuna part Usa hawamjui kiufupi si avarage guy,na mjue Hop pop music ni culture ya black Americans,muziki huo ulikuwa Kwa ajiri ya kufikisha ujumbe juu ya mateso ya black Americans na kuwapa vijana Ajira ndio ilikuwa lengo acha sahivi hip pop ime evolve to commercial,
 
Majungu sio mtaji alafu usipende kujifariji mtu flani ni average ilihali amekuzidi mambo mengi sana acha majungu

Hata samia akienda baadhi ya maeneo hapa Tanzania watu wengi hawawezi mtambua
Mkuu siyo majungu ni kweli 50 cent kanizidi kila kitu lakini haiondoi uhalisia uliopo pale USA.
 
Mm nitasema kitu...
Sio wamarekani weusi wote ni wajinga kuna scientist ni vichwa kabisa wapo NASA wengine jeshini wana vyeo vikubwa na wengine ni viongozi

Shida ni kwamba meantality yao haijakaa sawa...50 cent ni mpambanaji kweli ila haimaanishi kwamba yuko very smart lkn kuna wakati pia na yeye anachemka...
 
How do you rate 50 cent Avarage person in Usa? Kama alitishaa show Madison Square ikajaa hao wazungu? Tuambie ulie fika usa
Unajua ndio maana nilisema hapo mwanzo kwamba ur a very slow learner.

Najua sio kosa lako. Ngoja nikufafanulie kidogo naamini unaweza kuelewa ingawa upo slow sana mpaka unaboa yani.

kwenye hoja yangu sijasema kwamba 50 sio mtu maarufu. Nimesema 50 is an evarage person in relation to the government experts who authorized free healthcare to un documented immigrants in CA.

Kwa maana ya kwamba 50 is an ignorant person in that area, ndio maana hawezi kujua kwanini experts wa serikali ya California wameona ina faa kutoa bure huduma za bima ya afya kwa wahamiaji haramu.

Sijazungumza kuhusu umaarufu wake. Nimezungumza kuhusu uelewa wake kwenye suala nyeti kama hilo la serikali kutoa bure huduma za afya kwa wahamiaji haramu.

Ni sawa hapa Tz Diamond atoe hoja akishangaa kwanini serikali inatoa mikopo ya elimu ya juu kwa wanafunzi hadi waliopata division 3 na wanaochukua diploma badala ya kutoa mikopo hiyo kwa wanafunzi waliopata one pekee. Katika angle hii Diamond atakuwa tagged as an evarage person who don't know anything about what he is talking about..

Mtu anaweza kuwa maarufu sana.

Anaweza kujaza watu kwenye shows zake.

Lakini still atabaki kuwa just a regular person when it comes to some matters of the government.

Sijui umenielewa kijana?
 
Mm nitasema kitu...
Sio wamarekani weusi wote ni wajinga kuna scientist ni vichwa kabisa wapo NASA wengine jeshini wana vyeo vikubwa na wengine ni viongozi

Shida ni kwamba meantality yao haijakaa sawa...50 cent ni mpambanaji kweli ila haimaanishi kwamba yuko very smart lkn kuna wakati pia na yeye anachemka...
Ur tje true son of your father
 
Mm nitasema kitu...
Sio wamarekani weusi wote ni wajinga kuna scientist ni vichwa kabisa wapo NASA wengine jeshini wana vyeo vikubwa na wengine ni viongozi

Shida ni kwamba meantality yao haijakaa sawa...50 cent ni mpambanaji kweli ila haimaanishi kwamba yuko very smart lkn kuna wakati pia na yeye anachemka...
Mentality haijakaa sawa kivipi mkuu hebu dadavua hapa nami nipaelewe kidogo tuendelee kumpa amani mleta mada Uzi unatembea
 
Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini👇

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Wanapenda kulialia sana na kuanzisha bifu zisizo na msingi. Unakuta niga anapambana na polisi kizembe tu na kosa kafanya wakishamfyatua wanaanza maandamano. Na wazungu walivyo washenzi wanawafyatua kila siku then wanawaanzishia slogan za kimapambano kam ile ya black life matters. Basi wakishakuwa na hjzo slogan wanaona wameahinda nyau wale😤😤😤😤😤
 
Wewe na waliokuunga mkono mna uelewa mdogo juu ya suala la uraia na sheria za nchi husika,kila aliuekuwepo 9/12/1961 alihesabika kuwa raia wa Tanganyika,hao watumwa wa afrika bado watumwa tu huko America?..hao weupe siyo wazungu wa ulaya!?..Kama hukujitambulisha mtanzania huko nashukuru hukutuaibisha
Jamaa eti kaongeza followers kwa hoja ya kishamba namna hii can you imagine? Hajui hata abcd za mtu kuwa raia wa nchi automatically
 
Watanzania tuna ujuaji sana alafu ujuaji huo tumeshindwa isaidia nchi yetu kutoka kwenye umaskini
Mfano miaka ya nyuma hasa 2000's kurudi nyuma kulikua na narrative kwamba elimu ya Tanzania ni ngumu na watu waliikubali ila baadae ikaja julikana tatizo ni watanzania wengi hawana msingi wa lugha ya kingereza wanakariri sana kwa hiyo elimu sio ngumu bali ni wanafunzi hawana msingi mzuri wa kingereza

Hata mtoa uzi anajiona ana-akili lakin leo akifa atakumbukwa kwa lipi nakuhakikishia jibu hana
Akifa hata sisi member wa humu tunaweza tusijue😁😁😁😁
 
Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini👇

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Don't generalise! Kuna Waafrika wengi tu, hata huko Marekani, ambao wana akili nzuri sana kichwani mpaka wengine wamewaajiri wazungu. Kuna wazungu, wahindi, wachina, nk.; ambao nao ni watupu kabisa kichwani, japo si wote.

Weusi au weupe wa ngozi hauna uhusiano kabisa na akili ya mtu kichwani mwake. Hata hivyo, waafrika wamepitia madhila mengi mno, pengine kuzidi watu wengine wote duniani. Lakini haimaanishi tulemae na kukata tamaa. Tuwape maua yao waafrika waliofanikiwa against all odds.

Na pia kumbuka kuna kasumba mbaya ya kujiona ukiwa nje ya Afrika utakuwa na hali bora, si sahihi. You can excel anywhere in this world, mostly depending on your unwavering, positive and creative mindset.
 
Kinachoniudhi about black Americans ni kutokua na mifumo mizuri yakujitoa kwenye umasikini, ni kama sisi tu uku Africa, ndo maana hata baada ya kutuachia nchi zetu bado tunawatukana wao ndo chanzo cha umasikini wetu as if walitukuta matajiri.

Sina huakika, ila unaweza kuta 50cent na utajiri wake hajawai kufungua hata kiwanda cha snikers akakibrand kutumia fame alonayo na kuweka kwenye vitengo ma black wenzake walio soma ili kukuza uchumi wao.

Ila utakuta anafurahia kuona washikaji zake wote anawavuta anashinda nao studio na kuwapa tu position twa uchawa tuu, kama ubodgurd sababu wengi huona kumiliki bunduki, branded outfits, private jets, na madhahabu ndo kama mafanikio.

Familia nyingi za wazungu zina mifumo mizuri ya kuzalisha pesa na kuendesha maisha yao ni nadra sana kumkuta mzungu akiwaza luxuries akipata pesa zaidi hua wanawekeza for their future generation.

Wafrika tubadirike wenzetu wakipata pesa wanawaza kuwekeza zaidi ila kwa blacks tukipata pesa tuu, tunawaza kuweka heshima kwa watu walio tudharau ili kuwakomesha ndo hapo campuni za gucci n.k ndo zinapofanyia biashara.
 
Kinachoniudhi about black Americans ni kutokua na mifumo mizuri yakujitoa kwenye umasikini, ni kama sisi tu uku Africa, ndo maana hata baada ya kutuachia nchi zetu bado tunawatukana wao ndo chanzo cha umasikini wetu as if walitukuta matajiri.

Sina huakika, ila unaweza kuta 50cent na utajiri wake hajawai kufungua hata kiwanda cha snikers akakibrand kutumia fame alonayo na kuweka kwenye vitengo ma black wenzake walio soma ili kukuza uchumi wao.

Ila utakuta anafurahia kuona washikaji zake wote anawavuta anashinda nao studio na kuwapa tu position twa uchawa tuu, kama ubodgurd sababu wengi huona kumiliki bunduki, branded outfits, private jets, na madhahabu ndo kama mafanikio.

Familia nyingi za wazungu zina mifumo mizuri ya kuzalisha pesa na kuendesha maisha yao ni nadra sana kumkuta mzungu akiwaza luxuries akipata pesa zaidi hua wanawekeza for their future generation.

Wafrika tubadirike wenzetu wakipata pesa wanawaza kuwekeza zaidi ila kwa blacks tukipata pesa tuu, tunawaza kuweka heshima kwa watu walio tudharau ili kuwakomesha ndo hapo campuni za gucci n.k ndo zinapofanyia biashara.
Fact
 
Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini[emoji116]

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Wakaazi halali wa huko ni Wahindi wekundu, hata weupe ni wahamiaji haramu.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom