Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Nikama vile mimi huwa shangaa waingereza basi hawa watu wakiingia bara la Africa hupewa thamani sana kumbe wa kawaida saaana
 
unachosema ni kweli hao tunawaita Negropean yaani brainwashed minded blacks, asskisser, house keeper nk walikuwepo toka enzi ya utumwa

sema na we nae hiyo everage fanya iwe average punguza mbwembwe
 
Nikama vile mimi huwa shangaa waingereza basi hawa watu wakiingia bara la Africa hupewa thamani sana kumbe wa kawaida saaana
Ona jinga lingine hili, mtu wa kawaida aliwezaje kutawala almost dunia nzima na lugha yake ndio unaongewa karibu dunia nzima na ndio lugha rasmi ya kibiashara duniani?
 
Hili la kuwaita black American illegal migrant ndio sijalielewa ambalo ndio turufu uliyoshindia. Kwa vipi ni wahamiaji haramu ili hali Amerika yenye watu wa asili ni Wahindi wekundu wengine wote ni Wahamiaji? Sasa mbona wangoni wapo hapa kama raia wakati ni wahamiaji pia?
Nadhani pointi ambayo ulitakiwa kuweka ni uzembe kazini
 
Crap
 
Bro mimi kila siku nasema hawa watu lini watakuwa na Akili .Kwa mfano hao wanaorapp au biashara yao ya music baada ya kupata kuna hata mmoja aliewakiria wanyonge katika masuala ya Elimu kuwasomesha au kuwapatia ujuzi wowote katika kuendeleza maisha yao utakuta anaibuka black amerika ktk music anakuwa tajiri wa muda tu anafuja pesa zote mwisho anarudi ghetto nahisi kama wana ubinafsi flani ivi jamii zao ovyo sana hawafikirii mustakbali wao ndio maana white wanawashinda kwa kila kitu .Kwa kifupi ni wajinga sana sana .
 
100% right
 
Ninajua tu anazipenda shule za Kayumba,Huwa anasema ni Best ever than English medium mengine kumuhusu sijui kwa kweli
🤣🤣🤣 haya bana naona wasengenyaji mnanisengenya🤣🤣🤣
 
Aisee kweli uliwatwanga!
 
Kabisa tunawaita "wanugu"......wako radhi wasifanye kazi ili wapate food tickets
 
Uhalifu hutokana na kukosa fursa,mosi ya elimu,pili ajira sababu ya kukosa elimu,weusi huko marekani njia ya mkato kujikomboa ni michezo na burudani
Wengi ni wavivu sana mjomba...starehe...ulevi....kila jambo hudhani wanaonewa....wako radhi wasifanye kazi ili wapate food ticket..na wakipata huenda kulewa na kuvuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…