Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Hakuna sababu ya zaidi ya chuki za kidini,na source ni huyohuyo Elijah Muhammad hakupenda vile anapewa challenge za uhuni uliokuwa akiufanya.....Huwezi kuwa smart kama unavyodai mbele ya mtu ana gun amekushoot several times hiyo ina uhusiano gani na brain?hebu acha ubishi na kudivert hoja aisee
Kwa hiyo huyo baba ako Malcolm X hakuwa na intelligence ya kujua kwamba kuna watu walikuwa wanamtafuta wamuue ?
 
Naona umemgalagaza kabisa kijana wetu Likud, tatizo ujuwaji mwingi na fix kibao, halafu anaotaka kutupiga fix ni makamu ya Baba yake.
Anazingua sana,unajua ulimwengu wa sasa ukiwa muongo utakamatwa within a second,mwanzoni kaniambia Sina exposure sijawahi kwenda USA kama yeye aliyejionea Kwa macho,ghafla hata club house haijui huyu ni msafiri kweli?😁😁😁
 
Anazingua sana,unajua ulimwengu wa sasa ukiwa muongo utakamatwa within a second,mwanzoni kaniambia Sina exposure sijawahi kwenda USA kama yeye aliyejionea Kwa macho,ghafla hata club house haijui huyu ni msafiri kweli?😁😁😁
Club house inahusiana nini na kuwa na exposure? Ur talking about a " club house " girl not a " billionaires club" .

Ni sawa umshangae mtanzania kutokuijuia JF.

Sina interest yoyote na club house why should I know anything about it.

You want me to be you? That is selfish. Hiyo club house is good for you not for me
 
Club house inahusiana nini na kuwa na exposure? Ur talking about a " club house " girl not a " billionaires club" .

Ni sawa umshangae mtanzania kutokuijuia JF.

Sina interest yoyote na club house why should I know anything about it.

You want me to be you? That is selfish. Hiyo club house is good for you not for me
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umepigwa kwenye mshono umeamua kuwa mkali kama pilipili?u know nothing bro
 
Hawa jamaa wana utoto mwingi sana ndio maana serikali ya Marekani haiwahitaji and soon their place in the United States will be replaced by African, Jamaican and Haitian immigrants plus other immigrants.


Na huo ndio ukweli kwa tulio wahi kufika Marekani tunaujua huu ukweli. Maeneo yalikuwa kuwa predominantly occupied BY African Americans now African Immigrants ndio wana take over.

Kwa mfano pale New York , the Bronx and Staten Island zimekuwa kama Lagos. Soon zitaanza kuitwa jina New Lagos or something.


Back to the topic. Picha lilianza kuhusu post ya 50 Cent' s reaction about the news that California Government is offering free healthcare to un documented immigrants.

50 anahoji how comes mnatoa free health care kwa un documented immigrants wakati wamarekani weusi wana ishi in abject poverty..

Wamarekani weusi kama kawaida yao waka anza kuiponda serikali ya California huku maelfu ya immigrants hasa hasa wa Mexico na baadhi kutoka Nigeria wakiiunga mkono serikali ya California kwa hoja zenye mashiko.

Mimi nilianza kwa kusema

"People in the government of California who have passed that decision are experts who know better than an everage guy like 50 Cent who all he knows is just rapping and trolling his fellow black people on the internet"

Hapa wakaja na hoja kama vile "50 is not an evarage guy" blah blah blah then nikawatwanga na bomu hili hapa chini👇

' African Americans too are illegal immigrants cause they were shipped from Africa illegally . Trans Attlantic Slave trade was illegal ab initio"

Outcome :

1. Wengi wao walikosa majibu.

2. Baadhi yao walikubaliana na hoja yangu.

3. Immigrants waliunga mkono hoja yangu mamia kwa mamia.

4. Nimepata follows elfu 3 na ushee kwenye page yangu ya instagram courtesy to my comment.


Tangu niwe karibu na hawa watu Nimetokea kuwadharau sana.. pia nina washangaa sana watanzania ambao bado wana washobokoea hawa watu na culture yao.. very hopeless kabisa
Inaonyesha we ni muhamiaji haram ndo maana umeumia,ila ukweli black Americans ni wamarekani na ile nchi wameijenga wao.Huwezi kuwaita waafrica leo sababu babu wa mababu zao walipelekwa utumwani kule.Hiyo ni sawa na kuwakataa wangoni kisa walitokea south kipindi cha mateso ya Shaka zulu,Au kuwakata wairaq wa manyara kisa historia.Wana haki wa kulinda nchi yao dhidi wa wahamiaji haram.
 
Inaonyesha we ni muhamiaji haram ndo maana umeumia,ila ukweli black Americans ni wamarekani na ile nchi wameijenga wao.Huwezi kuwaita waafrica leo sababu babu wa mababu zao walipelekwa utumwani kule.Hiyo ni sawa na kuwakataa wangoni kisa walitokea south kipindi cha mateso ya Shaka zulu,Au kuwakata wairaq wa manyara kisa historia.Wana haki wa kulinda nchi yao dhidi wa wahamiaji haram.
💉
 
Ni kweli... hao jamaa walichojaaliwa ni swaga tu na mababu zao kubahatika kuzaliwa kule na wao wakawa wamarekani, ila kiakili ni ma-ZERO kabisa! Even tho si wote. Nimefahamiana na wengi sana nilipowahi kuishi maeneo ya kule mbezi chini (Africana) kipindi fulani...., ila dahh! We acha tu! Ni watu wa matanuzi, maugomvi muda wote, mitusi, starehe, bata, wanawake na nyodonyodo tu! Wachache sana wanakubaligi sisi ni ndugu zao na hapa ndo asili yao.

Ukiwa na urafiki na mzungu (Mmarekani au yeyote kutoka Ulaya, Canada, Australia au Amerika kusini) na kama ana idea ya kufungua biashara au kampuni hapa msikilize idea yake uone balaa la investment anayokwenda kuifanya na hata mtindo wake wa maisha akiwa hapa. Ana mapesa mengi ila matumizi yake yana nidhamu.

Nilifahamiana na Mmarekani mweusi mwingine mmoja, ana asili ya puerto rico, mzazi wake mmoja alikuwa ana asili ya uzungu. Anaitwa "Kevin Antrum" yeye anakupa story za kuiponda tu Marekani na wazungu ila kaja na idea ya kufungua TIGOPESA bahari beach.. Tazama utofauti na akili zao.

HOVYO KABISA HAWA JAMAA! WANAKUWAGA NA NYODO KULIKO WAZUNGU WENYEWE
 
Huyo ni Msomi kabisa hajui hata definition of illegal immigrants,then ni smart kuliko 50 Cent.
Nimeshangaa kusoma African Americans ni illegal immigrants, au sijui ili mtu aitwe mhamiaji haram anakuwa na sifa zipi.
 
A
Ni kweli... hao jamaa walichojaaliwa ni swaga tu na mababu zao kubahatika kuzaliwa kule na wao wakawa wamarekani, ila kiakili ni ma-ZERO kabisa! Even tho si wote. Nimefahamiana na wengi sana nilipowahi kuishi maeneo ya kule mbezi chini (Africana) ila dahh! We acha tu! Ni watu wa matanuzi, maugomvi muda wote, mitusi, starehe, bata, wanawake na nyodonyodo tu! Wachache sana wanakubaligi sisi ni ndugu zao na hapa ndo asili yao.

HOVYO KABISA HAWA JAMAA! WANAKUWAGA NA NYODO KULIKO WAZUNGU WENYEWE
Another brain washed kid talking the shit he even doesn't know.
 
Nimeshangaa kusoma African Americans ni illegal immigrants, au sijui ili mtu aitwe mhamiaji haram anakuwa na sifa zipi.
Sijui kama hata ana ufahamu wa Historia ya bara la America nani ni indigenous na wakina nani ni wageni.....ukute anajua wazungu ndio bara lao🤔🤔🤔
 
Tatizo lako mtoa mada unapoteza muda wako kubishana na vilaza. Ni hivi wewe Joannah na wenzako,anachokisema mtoa ni kwamba 50 Cent hapaswi kuwanyanyapaa wahamiaji haramu kwa vile hata yeye pia ni kitukuu wa wahamiaji haramu kwa sababu babu zake waliingia Marekani kiharamu.Walichukuliwa Africa kiharamu na kwenda kuuzwa Marekani kiharamu kupitia biashara haramu ya utumwa. Kwa hiyo hata wao wamarekani weusi pia kimsingi ni wahamiaji haramu. Tofauti yao na un documented immigrants ni kwamba wao wapo documented ila kimsingi wao pia ni haramu.

Ni sawa tunaposema mtoto haramu mtoto huyo ni haramu kwa sababu amezaliwa wazazi wake wamekutana kiharamu.

Hata wewe binti kiziwi ukibakwa akazaliwa mtoto huyo mtoto ataitwa haramu sio kwa sababu ni haramu ila kwa sababu akipatikana kiharamu.

Mtoa mada usipoteze muda wako kubishana na WAJINGA kuna WAJINGA wengi sana hapa jukwaani
 
M
Tatizo lako mtoa mada unapoteza muda wako kubishana na vilaza. Ni hivi wewe Joannah na wenzako,anachokisema mtoa ni kwamba 50 Cent hapaswi kuwanyanyapaa wahamiaji haramu kwa vile hata yeye pia ni kitukuu wa wahamiaji haramu kwa sababu babu zake waliingia Marekani kiharamu.Walichukuliwa Africa kiharamu na kwenda kuuzwa Marekani kiharamu kupitia biashara haramu ya utumwa. Kwa hiyo hata wao wamarekani pia kimsingi ni wahamiaji haramu. Tofauti yao na un documented immigrants ni kwamba wao wapo documented ila kimsingi wao pia ni haramu.

Ni sawa tunaposema mtoto haramu mtoto huyo ni haramu kwa sababu amezaliwa wazazi wake wamekutana kiharamu.

Hata wewe @Bintikiziwi ukibakwa akazaliwa mtoto huyo mtoto ataitwa haramu sio kwa sababu ni haramu ila kwa sababu akipatikana kiharamu.

Mtoa mada usipoteze muda wako kubishana na WAJINGA kuna WAJINGA wengi sana hapa jukwaani
Jinga jingine, how do you say Africa - American waliopelekewa kitumwa ni Illegal immigrants?
 
Back
Top Bottom