Maneno yako nayaweka kwenye kumbu kumbu,ikiwa wewe ni Muislamu,nakusikitikia,
Lakini ikiwa wewe si muislamu, Sina hoja ,kwani Uliyosema yatosha kukutia kwenye Ghadhabu za Mungu
Maana Hata Yesu alipokamatwa ,wale watawala walimwita gaidi,
na hatimae kumtweza na kutokea Stori ya Kusulubiw ikiwa unaamini.
lakini kumbe aliyekamatwa ndiye mwenye haki.
Hebu wewe Lofti ,mtume wenu akili alikuwa hana na nyie pia
Umemsikiliza Nyerere?Kwa hiyo Zanzibar sio mkoa wa Tanzania?
Sasa umefunguka .Abdool mimi ni Mkristo huko sipataki hata kwa dawa.
nachojua mimi hao masheikh walitaka kuharibu amani na muungano uliopo na wakashindwa kwa damu ya Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
.
Zanzibar ni kamkoa ketu AKA OUR HONG KONG.
Hivyo ndivyo tunavyotaka iwe,na ni nzuri.HATUWEZI kuruhusu kisiwa chetu kuleta jeuri ya aina yoyote.kuna watu waliwahi kusema muungano ni kama koti, likikubana unalivua cha ajabu ,hadi leo hakuna aliye wahi au atakaye jaribu kulivua,ninyi raia mtabakia tu kujiita majina ya vibaraka.
Nyerere alikueq zake Tanganyika mkuu, unataka kusema yeye ndio alipeleka silaha na jeshi kule?
Mapinduzi nimeyasoma sijaona sehemu Nyerere alipohusikasiamini kama hujui, ila yawezekana unazirusha tu
Kuvaa T-shirt zenye maandishi ya kujifariji hakuwezi kuuvunja muungano.Zanzibar haitakaa hajitenge milele.Hizo ni ndoto zako tu.Nyinyi mnabweka tu upepo umeanza kuvuma
Kuvaa T-shirt zenye maandishi ya kujifariji hakuwezi kuuvunja muungano.Zanzibar haitakaa hajitenge milele.Hizo ni ndoto zako tu.
Hizi ni fikira kuwa wazanzibar walioko Marekani wakivaa t-shirt,na kuandamana muungano utavunjika ni upuuzi, ni sawa tu na mtu anayejaribu kubeba mkaa wa moto kwa kutumia mfuko wa nailoni.Mtu anaandamana marekani halafu muungano uvunjike Tanzania kweli?.Acha kujichosha na upuuzi.Huko Tanganyika mnumeanza kiherehere kusweka watu ndani hovyo , kuuwa watu na kuwatupa coco beach , kupoteza wapinzani , hizo ni hofu zinawatia kiwewe , mnaanza kusambaratika , gogo limeanza kuliwa na mchwa hilo
Hizi ni fikira kuwa wazanzibar walioko Marekani wakivaa t-shirt,na kuandamana muungano utavunjika ni upuuzi, ni sawa tu na mtu anayejaribu kubeba mkaa wa moto kwa kutumia mfuko wa nailoni.Mtu anaandamana marekani halafu muungano uvunjike Tanzania kweli?.Acha kujichosha na upuuzi.
m
Hizi ni fikira kuwa wazanzibar walioko Marekani wakivaa t-shirt,na kuandamana muungano utavunjika ni upuuzi, ni sawa tu na mtu anayejaribu kubeba mkaa wa moto kwa kutumia mfuko wa nailoni.Mtu anaandamana marekani halafu muungano uvunjike Tanzania kweli?.Acha kujichosha na upuuzi.
m
Mapinduzi nimeyasoma sijaona sehemu Nyerere alipohusika
Okello ndio alikuwa aki organize vijana, na alikuwa Mganda aliyeingia Zanzibar kupitia Kenya
Najua Nyeree alimsaidia Karume ku consolidate power baada ya Mapinduzi, kwa kupitia Muungano wa haraka haraka
Kama Kuna vitu sivijui nipo tayari kuvisikia
Inamaana hakuna wazanzibar wamasai? Ukifuatiliwa hata wewe babu za babu yako hawakuzaliwa visiwani, walikuja kwahiyo hapo si kwenu.Mapinduzi ya1964 hapa ZNZ yamekuwa kisingizio tuu cha kuitia nchii katika ukoloni, Uhuru wa nchi hii uliotarajiwa kuendelezwa baada ya Mapinduzi, Hatimae ulitoweka kwa Muungano wa wanamapinduzi kuiunga nchi na Tanganyika.
Lengo ilikuwa kuipoka madaraka yake ili kuikabidhikwa Tanganyika.
Muungano imekuwa kama kihalalisho cha dhamira nzima ya Ukoloni wa Mtuu mweusi kwa mweusi.
Haya yote yanayofanyika ,ni muendelezo wa kututowa kwenya ajenda ya kujikomboa, na kutufanya tuanze kusigana wenyewe kwa wenyewe .
Kwa hakika vitambulisho hivi vya Mzanzibar havina maslahi yoyote zaidi ya siasa.
Ilitarajiwa viwe kitambuzi cha cha Utaifa wetu ili kujulikana ni nani mzanzibari kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri, na nani si mzanzibari ,lakini hivi sasa hata wamasai na wamachinga wanavyo.
Kitambulisho cha Taifa kinachotolewa na Mkoloni wala hakina masharii, unaweza kukipata hata kwa Mtandao ,
ili lengo la kuifanya nchi hii kuwa Moja, huku Utaifa wa Zanzibar ukibakia kama Laana ,na chanzo cha kusigana na kutiana hatiani wenyewe.
Kwa kina utaona kuwa Waznzibari Mapandikizi ndio vinara wa kutengeneza mizengwe hii kwa maslahi ya Kuimaliza Hadhi ya Zanzibar.
Mithili ya kuku wanaopelekwa sokoni kwenye susu, utakuta majogoo wanapigana mule na wengine kudonoana.
Wakifika sokoni wote huuzwa na kuchinjwa kwa ajili ya kitoweo cha mnunuzi.
Hata Uraisi wa nchi hii Kila siku tunawekewa Makando kando ,watu wasiokuwa wazanzibari halisi,
Karibuni hivi utasikia ,Mzaramo, au Mmakonde au Mkwere wanataka uraisi Zanzibar.
Akisimama Mmakunduchi, Mtumbatu,Muhadimu, Mshirazi au Mpemba wote watatupwa kapuni na atapewa mwenye asili ya Kando kando ili kuepuka ushawishi wa Kuleta mageuzi katika visiwa hivi, na awe mtiifu wa kwenye asili ya alikotoka.
Suala la waznzibari kuwepo Bara,au kokote kwengineko sio issue,Mbona hata kenya wapo Uk wapo UAE wapo,kuwepokwao huko ni masuala ya kimaisha tuu,hata Hapa Watu wa Bara wapo,Kongo wapo,Kenya wapo nk.Lakini mmasai kutomtaka kwa maana wazanzibar walioko bara nao wafurushwe huko warudi visiwani , hivi uelewa wako ni mkubwa au unao ila umegubikwa chuki na ubinafsi.
Sasa kwa taarifa nakuja kumiliki ardhi huko taratibu ziko 98% kama sunu kunywa
Huu ni mtandao wa kijamii, hakuna anayelipwa, na ujinga uliuopitiliza kudhani t-shirt na maandishi yake yanayovaliwa huko ughaibuni yanaweza kuvunja muungano.Huo nao ni umbumbumbu wa levo ya juu kabisa.Vichwa vyenu watu wa Zanzibar sijui huwa vina nini, kama huwezi kutushinda unga nasi.Kama unaona ni upuuzi usingalipewa mshahara wa kuja hapa kukoroma
Huu ni mtandao wa kijamii, hakuna anayelipwa, na ujinga uliuopitiliza kudhani t-shirt na maandishi yake yanayovaliwa huko ughaibuni yanaweza kuvunja muungano.Huo nao ni umbumbumbu wa levo ya juu kabisa.Vichwa vyenu watu wa Zanzibar sijui huwa vina nini, kama huwezi kutushinda unga nasi.
Huko walipo ndio sehemu sahihi ya magaidi. panawafaa sana.Wanavuna walichopanda.Ongeza na hii , vijana wanazivaa Ulaya na Marekani
View attachment 1473028