Wamarekani weusi wa Zanzibar

Wamarekani weusi wa Zanzibar

Maneno yako nayaweka kwenye kumbu kumbu,ikiwa wewe ni Muislamu,nakusikitikia,
Lakini ikiwa wewe si muislamu, Sina hoja ,kwani Uliyosema yatosha kukutia kwenye Ghadhabu za Mungu
Maana Hata Yesu alipokamatwa ,wale watawala walimwita gaidi,
na hatimae kumtweza na kutokea Stori ya Kusulubiw ikiwa unaamini.
lakini kumbe aliyekamatwa ndiye mwenye haki.

Abdool mimi ni Mkristo huko sipataki hata kwa dawa.
nachojua mimi hao masheikh walitaka kuharibu amani na muungano uliopo na wakashindwa kwa damu ya Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
.
Zanzibar ni kamkoa ketu AKA OUR HONG KONG.
 
mtume wenu akili alikuwa hana na nyie pia
Hebu wewe Lofti ,
Usicheze na Mtume Muhammad (saw) cheza na sisi wafuasi wake ,yeye hakumvunjiapom mtu heshima,
Wala hakumdhihaki Yesu kama Nyinyi munavyomdhihaki.
Nakuonya usiendelea kumtusi Mtume Muhammad, yasije yakakukuta usiyoyapenda.
Enenda vizuri humu kundini kwa hoja na ustaarabu na heshima ikiwa wewe ni Mwanafunzi wa kweli wa Yesu Mnazareti mwana wa Mariam, mwana waadamu.

Matayo 24:5 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
5 Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu wakisema, ‘Mimi ndiye Kristo’ nao watawapotosha wengi.

Matayo 24:24 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
24 Kwa maana watatokea makristo na manabii wa uongo na watafanya ishara za ajabu na miujiza mingi ili kuwadanganya, hata ikiwezekana, wateule wa Mungu

kanusha na hiyo basi,
halafu utwambie wewe umepotezwa na nani?
 
Soma historia ,kisha utaona jinsi gani Zanzibar ilivyokuwa huko nyuma unakosema wewe ukoloni.
Heshima yake na hadhi yake ilikuwa kubwa duniani.
Zanzibar ni nchi pekee katika Afrika ya Mashariki nakusini iliyoshiriki kikao cha kuigawa Afrika
Kule berlin (Rejea Berlin Conference ')
 
Abdool mimi ni Mkristo huko sipataki hata kwa dawa.
nachojua mimi hao masheikh walitaka kuharibu amani na muungano uliopo na wakashindwa kwa damu ya Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
.
Zanzibar ni kamkoa ketu AKA OUR HONG KONG.
Sasa umefunguka .
Kweli itadhihiri ,Hata kama wengi wtachukia.
Kumbe lengo lenu Ni Kueneza Ukiristo?
si museme tuu basi,kuna haja gani kutumia Maguvu?
Ndo maan mimi nasema ''Ukiristo si dini ya YESU mwana wa Mariam,Mwana wa Adamu,Mnazareti Mwana Israeli, Mwana wa Daudi''
Maana yeye hakutumia Nguvu,bali neno tuu na diplomasia.
 
Hivyo ndivyo tunavyotaka iwe,na ni nzuri.HATUWEZI kuruhusu kisiwa chetu kuleta jeuri ya aina yoyote.kuna watu waliwahi kusema muungano ni kama koti, likikubana unalivua cha ajabu ,hadi leo hakuna aliye wahi au atakaye jaribu kulivua,ninyi raia mtabakia tu kujiita majina ya vibaraka.

Nyinyi mnabweka tu upepo umeanza kuvuma
 
siamini kama hujui, ila yawezekana unazirusha tu
Mapinduzi nimeyasoma sijaona sehemu Nyerere alipohusika

Okello ndio alikuwa aki organize vijana, na alikuwa Mganda aliyeingia Zanzibar kupitia Kenya

Najua Nyeree alimsaidia Karume ku consolidate power baada ya Mapinduzi, kwa kupitia Muungano wa haraka haraka

Kama Kuna vitu sivijui nipo tayari kuvisikia
 
Kuvaa T-shirt zenye maandishi ya kujifariji hakuwezi kuuvunja muungano.Zanzibar haitakaa hajitenge milele.Hizo ni ndoto zako tu.

Huko Tanganyika mnumeanza kiherehere kusweka watu ndani hovyo , kuuwa watu na kuwatupa coco beach , kupoteza wapinzani , hizo ni hofu zinawatia kiwewe , mnaanza kusambaratika , gogo limeanza kuliwa na mchwa hilo
 
Huko Tanganyika mnumeanza kiherehere kusweka watu ndani hovyo , kuuwa watu na kuwatupa coco beach , kupoteza wapinzani , hizo ni hofu zinawatia kiwewe , mnaanza kusambaratika , gogo limeanza kuliwa na mchwa hilo
Hizi ni fikira kuwa wazanzibar walioko Marekani wakivaa t-shirt,na kuandamana muungano utavunjika ni upuuzi, ni sawa tu na mtu anayejaribu kubeba mkaa wa moto kwa kutumia mfuko wa nailoni.Mtu anaandamana marekani halafu muungano uvunjike Tanzania kweli?.Acha kujichosha na upuuzi.

























m
 
Hizi ni fikira kuwa wazanzibar walioko Marekani wakivaa t-shirt,na kuandamana muungano utavunjika ni upuuzi, ni sawa tu na mtu anayejaribu kubeba mkaa wa moto kwa kutumia mfuko wa nailoni.Mtu anaandamana marekani halafu muungano uvunjike Tanzania kweli?.Acha kujichosha na upuuzi.

























m

Kama unaona ni upuuzi usingalipewa mshahara wa kuja hapa kukoroma
 
Hizi ni fikira kuwa wazanzibar walioko Marekani wakivaa t-shirt,na kuandamana muungano utavunjika ni upuuzi, ni sawa tu na mtu anayejaribu kubeba mkaa wa moto kwa kutumia mfuko wa nailoni.Mtu anaandamana marekani halafu muungano uvunjike Tanzania kweli?.Acha kujichosha na upuuzi.

























m

Ongeza na hii , vijana wanazivaa Ulaya na Marekani
IMG-20200608-WA0024.jpg
 
Yaani kuwa rais wa Zanzibar na kuwa mkuu wa mkowa wa dar es salaam bora uwe mkuu wa mkowa una nguvu kubwa, kuwa rais wa Zanzibar unakuwa kama mkuu wa mkowa tu wa Iringa na unawekwa pale na watanganyika kwa nguvu zote ili kuwadhibiti wazanzibari wanao taka Mabadiliko
 
Mapinduzi nimeyasoma sijaona sehemu Nyerere alipohusika

Okello ndio alikuwa aki organize vijana, na alikuwa Mganda aliyeingia Zanzibar kupitia Kenya

Najua Nyeree alimsaidia Karume ku consolidate power baada ya Mapinduzi, kwa kupitia Muungano wa haraka haraka

Kama Kuna vitu sivijui nipo tayari kuvisikia

umeyasoma wapi mkuu? mana hata mashuleni hawafundishi hivo
 
Mapinduzi ya1964 hapa ZNZ yamekuwa kisingizio tuu cha kuitia nchii katika ukoloni, Uhuru wa nchi hii uliotarajiwa kuendelezwa baada ya Mapinduzi, Hatimae ulitoweka kwa Muungano wa wanamapinduzi kuiunga nchi na Tanganyika.

Lengo ilikuwa kuipoka madaraka yake ili kuikabidhikwa Tanganyika.

Muungano imekuwa kama kihalalisho cha dhamira nzima ya Ukoloni wa Mtuu mweusi kwa mweusi.

Haya yote yanayofanyika ,ni muendelezo wa kututowa kwenya ajenda ya kujikomboa, na kutufanya tuanze kusigana wenyewe kwa wenyewe .

Kwa hakika vitambulisho hivi vya Mzanzibar havina maslahi yoyote zaidi ya siasa.

Ilitarajiwa viwe kitambuzi cha cha Utaifa wetu ili kujulikana ni nani mzanzibari kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri, na nani si mzanzibari ,lakini hivi sasa hata wamasai na wamachinga wanavyo.

Kitambulisho cha Taifa kinachotolewa na Mkoloni wala hakina masharii, unaweza kukipata hata kwa Mtandao ,

ili lengo la kuifanya nchi hii kuwa Moja, huku Utaifa wa Zanzibar ukibakia kama Laana ,na chanzo cha kusigana na kutiana hatiani wenyewe.

Kwa kina utaona kuwa Waznzibari Mapandikizi ndio vinara wa kutengeneza mizengwe hii kwa maslahi ya Kuimaliza Hadhi ya Zanzibar.

Mithili ya kuku wanaopelekwa sokoni kwenye susu, utakuta majogoo wanapigana mule na wengine kudonoana.

Wakifika sokoni wote huuzwa na kuchinjwa kwa ajili ya kitoweo cha mnunuzi.

Hata Uraisi wa nchi hii Kila siku tunawekewa Makando kando ,watu wasiokuwa wazanzibari halisi,
Karibuni hivi utasikia ,Mzaramo, au Mmakonde au Mkwere wanataka uraisi Zanzibar.
Akisimama Mmakunduchi, Mtumbatu,Muhadimu, Mshirazi au Mpemba wote watatupwa kapuni na atapewa mwenye asili ya Kando kando ili kuepuka ushawishi wa Kuleta mageuzi katika visiwa hivi, na awe mtiifu wa kwenye asili ya alikotoka.
Inamaana hakuna wazanzibar wamasai? Ukifuatiliwa hata wewe babu za babu yako hawakuzaliwa visiwani, walikuja kwahiyo hapo si kwenu.
Bora ungeongelea hoja ya muungano kama ina kero zirekebishwe.
Lakini mmasai kutomtaka kwa maana wazanzibar walioko bara nao wafurushwe huko warudi visiwani , hivi uelewa wako ni mkubwa au unao ila umegubikwa chuki na ubinafsi.

Sasa kwa taarifa nakuja kumiliki ardhi huko taratibu ziko 98% kama sunu kunywa
 
Lakini mmasai kutomtaka kwa maana wazanzibar walioko bara nao wafurushwe huko warudi visiwani , hivi uelewa wako ni mkubwa au unao ila umegubikwa chuki na ubinafsi.

Sasa kwa taarifa nakuja kumiliki ardhi huko taratibu ziko 98% kama sunu kunywa
Suala la waznzibari kuwepo Bara,au kokote kwengineko sio issue,Mbona hata kenya wapo Uk wapo UAE wapo,kuwepokwao huko ni masuala ya kimaisha tuu,hata Hapa Watu wa Bara wapo,Kongo wapo,Kenya wapo nk.

Ungelinijuwa wala usingelisema hilo lakuwa na chuki, lakini aaah asiyekujuwa,hakuchagulii tusi.

Mimi simchukii Mtanganyika kwa loote, na sina sababu ya kufanya hivyo,jirani yangu, Ndugu wa karibu wa Afrika, lakini isiwe hoja ya kuja kumiliki chnagu eti kwa kuwa sisi ndugu,hilo halipo

Kumiliki ardhi ,njoo unakaribushwa,ila naona utajihangaisha sana ,huku ardhi si rahisi, maana hakuna mapori ya serikali kakam huko bar,Itakuwa ni umwehu kuacha nchi yenye rutuba na eneo lisilokuwa na mipaka uje huku kugombea heka moja watu watatu.
Na Popobawa vile vile Yupo unakaribishwa kama unahamu naye.
Hapa ni kwenu yakhee.
 
Kama unaona ni upuuzi usingalipewa mshahara wa kuja hapa kukoroma
Huu ni mtandao wa kijamii, hakuna anayelipwa, na ujinga uliuopitiliza kudhani t-shirt na maandishi yake yanayovaliwa huko ughaibuni yanaweza kuvunja muungano.Huo nao ni umbumbumbu wa levo ya juu kabisa.Vichwa vyenu watu wa Zanzibar sijui huwa vina nini, kama huwezi kutushinda unga nasi.
 
Huu ni mtandao wa kijamii, hakuna anayelipwa, na ujinga uliuopitiliza kudhani t-shirt na maandishi yake yanayovaliwa huko ughaibuni yanaweza kuvunja muungano.Huo nao ni umbumbumbu wa levo ya juu kabisa.Vichwa vyenu watu wa Zanzibar sijui huwa vina nini, kama huwezi kutushinda unga nasi.

Huo uandikaji wako tu unajitambulisha wewe ni nani
 
Back
Top Bottom