Wamasai Ngorongoro: Spika ataka 'aliyechukua clip' ashughulikiwe, taasisi zilizosajiliwa nchini kufata

Kwa nini SSH anauzwa Kagera. Zamani nilisikia ikisemekana kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza.
Anavyochuuzwa SSH utafikiri wakazi wa Kagera hawajui raisi ni nani nahawasikilizi redio.
 
Makapi ya mwendazake yanasumbua Nchi
 
Waarabu wamejipatia jinga lao la kulipelekesha
 
Safi sana tuna spika msomi na anayekwanda sambamba na maendeleo ya nchi yake, Maria aitwe apewe onyo maana anakoelekea ni kubaya.
 
Spika wa hovyo kabisa, huyu alitengenezwa na dikteta mpuuzi mkubwa
Dikteta unamuonea tu!

Malaika wako alikuwa na nafasi ya kumtoa pale ila kamrudisha kitini!

Na hata hivyo mama anafungua nchi,

Anawakomesha mataga na sukuma gang na kufuta legacy

Ana tufuta machozi sisi machadema baada y kuonewa sana kwa miaka 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…