Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jikite kwenye hoja,taarabu peleka Kizimkazi Kuna tamasha.

Kwamba Masai ambao wanahamishwa Kwa staha Kwa maslahi ya Nchi wao ni nani hata wasitii mamlaka? Kila kabila likisema lipiganie walipozaliwa hayo Madini ya huko Mara yatawafaidisha nyie watu wa Kilolo?
Exquisite [emoji7][emoji7][emoji7]
 
Kwanza hii tabia ya wamasai kutotaka kuishi na watanzania wengine ipigwe marufuku waondoke haraka sana huko maporini shenzi hawa.
Mkuu una hoja ila mbona maneno makali sana kaka yangu ?!!!

#SayNoToBigotry
#SayNoToRacism

Peace & Love
 
Jikite kwenye hoja,taarabu peleka Kizimkazi Kuna tamasha.

Kwamba Masai ambao wanahamishwa Kwa staha Kwa maslahi ya Nchi wao ni nani hata wasitii mamlaka? Kila kabila likisema lipiganie walipozaliwa hayo Madini ya huko Mara yatawafaidisha nyie watu wa Kilolo?
Iringa kabila ni Moja tu na hakunaga mjinga mjinga anaweza karibia tuko very powerful 😂😂😂

Karibu Kilolo 😀
 
Iringa kabila ni Moja tu na hakunaga mjinga mjinga anaweza karibia tuko very powerful 😂😂😂

Karibu Kilolo 😀
Jamii ya wagogo Mko powerful? Makabila powerful Yako Njombe nyie wahehe ni kabila la machawa na wanoko (usalama) na ndio maana hakuna matajiri huko sawa na wafipa na Waha japo Waha wamestuka wanasaka pesa saizi nyie mpo mpo tuu 🤣🤣
 
Wananiudhi kwasababu wanaona kama wanaonewa kumbe serikali imewavumilia sana hawa watanzania wenzetu.
Serikali n nini? Na nikweli anamiliki mwarabu? Ukifika eneo hilo nasikia simu (network) zinasoma welcome UAE ni kweli? Na kama ndivyo kule UAE Kuna sehemu ukifika unakaribishwa na minara (network)welcom Tanzania?
 
Kwanza hii tabia ya wamasai kutotaka kuishi na watanzania wengine ipigwe marufuku waondoke haraka sana huko maporini shenzi hawa.
Hata mimi naona hii ni siasa tu! Hivi mtu anaishi porini huko hana huduma za afya na mahitaji ya msingi kama watoto kusoma!
Mbona wanahamishwa na kupewa makazi nyumba na malisho bado wanabwabwaja tu!
 
Hata mimi naona hii ni siasa tu! Hivi mtu anaishi porini huko hana huduma za afya na mahitaji ya msingi kama watoto kusoma!
Mbona wanahamishwa na kupewa makazi nyumba na malisho bado wanabwabwaja tu!
Siasa gani? wanahamishwa anapewa Mwarabu ndio siasa? fuvu lako limebeba kamasi?
 
Serikali n nini? Na nikweli anamiliki mwarabu? Ukifika eneo hilo nasikia simu (network) zinasoma welcome UAE ni kweli? Na kama ndivyo kule UAE Kuna sehemu ukifika unakaribishwa na minara (network)welcom Tanzania?
Huo ni uzushi kwa wanaharakati wanaolipwa huko nje kwa maslahi wanayoyajua. Sheria za nchi hii kuhusu ardhi huzijui? Hakuna eneo alilouziwa mwarabu. Maeneo ya hifadhi baadhi yamekodishwa kwa wawekezaji na hakuna ubaya kwakuwa sheria zimefuatwa. Sasa hao wamasai wanataka serikali iwaachie wachunge ng'ombe huku hawalipi Kodi huo upuuzi haupo. Ardhi ni mali ya serikali siyo ya wamasai.
 
Serikali ingewasikiliza Wamasai wa Ngorongoro. (1) Kama kuhama ilikuwa ni kwa hiari Je wale waliokataa kuhama mbona hawatendewi haki?. (2) Kwa nini NCAA kwa sasa hivi haitoi mahitaji ya lazima kama chakula, scholarships kwa wanafunzi, maji ya kunywa, ukarabati wa shule, vyoo nk. (3) Kwa nini Serikali imefuta Tarafa ya Ngorongoro kama eneo la upigaji kura kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa?. Binafsi kuhama kwa Wamasai kutoka Ngorongoro ninaisapoti sana lakini haya yote yangefanyika kwa awamu na kwa njia ya maelewano. Kule Msomera wengi wao wamekwishazoea na hawapendi kurudi tena Ngorongoro.
 
Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.

Pia soma: Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025

Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.


Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.

Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.


Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.


Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.


Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana

Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
Nani kakwambia hiyo sehemu yenye vyanzo vya maji na ushiroba wa wanyama kapewa Muarabu na ni yupi.
Watu wengine mnachekesha yaani unataka sehemu ya tatu kwa kuingiza fedha za kigeni igeuke uwanda wa malisho ya ng'ombe wa Wamasai?
Hayo mabango ya kiingereza ni ufadhilibna uchonganishi Toka NGO za Kenya, na wao wanalipwa mangi.
 
Serikali ingewasikiliza Wamasai wa Ngorongoro. (1) Kama kuhama ilikuwa ni kwa hiari Je wale waliokataa kuhama mbona hawatendewi haki?. (2) Kwa nini NCAA kwa sasa hivi haitoi mahitaji ya lazima kama chakula, scholarships kwa wanafunzi, maji ya kunywa, ukarabati wa shule, vyoo nk. (3) Kwa nini Serikali imefuta Tarafa ya Ngorongoro kama eneo la upigaji kura kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa?. Binafsi kuhama kwa Wamasai kutoka Ngorongoro ninaisapoti sana lakini haya yote yangefanyika kwa awamu na kwa njia ya maelewano. Kule Msomera wengi wao wamekwishazoea na hawapendi kurudi tena Ngorongoro.
Kabila gani nchini linapewa chakula,maji na scholarship bure?
Wazee wa Kimasai wanaendelea kuoa wake wengi na kuzaa watoto wengi wakijua kuna chakula,maji elimu, malisho bureee, vijana wakifika miaka 25 nao wanageuza rika wanakuwa nao wazee🤣 hakuna kufanya kazi. Ndio sababu wanaokuja mjini wanaishia kulala ulizi na kuuza dawa na viatu vya matairi wamepata msingi mbovu.
 
Back
Top Bottom