Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
U
Kwani hao Waarabu wamepewa eneo hilo kulima au kujenga?, hujui kuwa hata uvunaji wa wanyapori kwa uwindaji wa kitalii ni uhifadhi?.
P
Kwa hio unaspoti Raia kuhamishwa maenei yao ya asili waliko zaliwa na kupewa wawekezaji? Uwindaji wa kitakiu au utorishaji wa wanyama nje? wewe hujui lilote kuhusu anacho fanya MWarabu, anaye kuambia mwarabu anafanya utalii wa uwindaji ni nani?Yule ana hamisha wanyama.
 
Matumanini gani? Ile ni Aridhi ya Waarabu kwa sasa na unatakiwa kuomba ruhusa kwao ili uende pale, usione bado raia wanapita kuelekea Serengeti na Musoma ukadhani ni eneo la nchi.
Huyo mwarabu ataondoka tu
Kumekucha
 
Hii nchi Viongozi wa sasa hawana uchungu na hili Taifa na wako kwa ajili ya kuuza nchi kwa Wageni hasa Waraabu.

Pia soma: Wamasai wa Ngorongoro watoa tamko kunyang'anywa haki ya kupiga kura 2024 na 2025

Wamasai wamechoka Aridhi yao kupewa Mwarabu.


Waarabu kwa sasa wananeemeka na Ngorongoro huku wenyeji wakiteseka.

Samia hataki hata wamasai wapige kura kwa sasa na hili ni agizo la Mwarabu ndie anaye endesha Ngongongoro.Pale ni Arabus Republic of Ngorongoro.


Huwezi amini hii ni Bongo, Viongozi wasio kuwa na uchungu na hili Taifa wanauza nchi kama njugumawe.


Tatizo hawa wamasai nao ni waoga sana ni Bora wafe wakiwa wamesimama kuliko kuishi wakiwa wamepiga magoti.


Dah MWarabu kaamua, na ni yeye anaye amrisha Serikali isipeleke huduma kwa raia walio bakia Ngorongoro. Mwarabu ndie anaye amrisha.Mwarabu ni shida sana

Sisi Wabongo wengine tuendelee kuchekelea yanayo wapata wamasai wa Ngorongoro but ni swala ka muda tu, huyu Mama atauza kila mahali katika nchi hii.
 
Hivi ni kweli kumeletwa Waarabu ?!
Mbona naona kama ni jambo gumu kuamua kufanya hivyo kizalendo ?!
 
Kabla ya Ngorongoro kuwa Hifadhi tayari ni nyumbani kwao,

Kabla ya kuwa na Rais Wamasai walikuwepo Ngorongoro,

Kabla ya Samia kuwa Rais wameshapita Marais na wazalendo wa Taifa, Ngorongoro ni kwa Wamasai.

Amtafutie Mwarabu eneo lingine la kujenga hotels na kuchimba madini, Wamasai waendelee kuwepo kwenye ardhi yao ya Ngorongoro.

Mimi ni MTANGANYIKA, kura yangu ya Urais 2025 nitapiga KITANGANYIKA!
 
Naamini wakazi Wana back up ya wenye mamlaka wasioonekana!

Nimeona Bangor lenye kiingereza kilichonyooka hapo sawa!!

Juzi wafanyabiashara,kabla chadema waliandamana,Leo wamasai,siku Ile ilikua walim mbeya huko,naona true movement for change!!!

Sawa!
 
Naamini wakazi Wana back up ya wenye mamlaka wasioonekana!

Nimeona Bangor lenye kiingereza kilichonyooka hapo sawa!!

Juzi wafanyabiashara,kabla chadema waliandamana,Leo wamasai,siku Ile ilikua walim mbeya huko,naona true movement for change!!!

Sawa!
 
Naamini wakazi Wana back up ya wenye mamlaka wasioonekana!

Nimeona Bangor lenye kiingereza kilichonyooka hapo sawa!!

Juzi wafanyabiashara,kabla chadema waliandamana,Leo wamasai,siku Ile ilikua walim mbeya huko,naona true movement for change!!!

Sawa!
 
kama kweli bado sehemu chache auze naomba hizo sehemu ziwe ni Mbeya na Iringa.
Aguse kwingine aniachie mikoa yangu
 
Mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwakani juna uchaguzi mkuu,ila ninachokiona Mama Samia ni kama hazitaki kura 500,000 za wamasai.

Unguja na Pemba nzima waoifa jura hawazidi 500,000

Kupanga ni kuchagua

Wamasai wanasemabira wachague mbuzi ila sio mgombea wa CCM
Wamasai wa mchongo huwa hawapigi kura!
 
Back
Top Bottom