Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwakani kuna uchaguzi mkuu,ila ninachokiona Mama Samia ni kama hazitaki kura 500,000 za wamasai.

Unguja na Pemba nzima wapiga kura hawazidi 500,000

Kupanga ni kuchagua

Wamasai wanasema bora wachague mbuzi ila sio mgombea wa CCM
Wamasai on trending 😂😂👍
 
Ipo siku tutaambiwa Waha tunaozunguuka ziwa Tanganyika tuhamie Tabora Sikonge, tunaharibu mazingira na mazalia ya samaki
Vitu viwili tofauti....

Kwani WAHA mnaishi ndani ya ziwa TANGANYIKA ?!!!

Wewe mjamaa vipi ?[emoji1787]


Ngororongo ina eneo la mraba kilomita 8200 ,ndani yake kuna raia wanaishi na MIFUGO YAO ISIYO WANYAMA PORI.....

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Vitu viwili tofauti....

Kwani WAHA mnaishi ndani ya ziwa TANGANYIKA ?!!!

Wewe mjamaa vipi ?[emoji1787]


Ngororongo ina eneo la mraba kilomita 8200 ,ndani yake kuna raia wanaishi na MIFUGO YAO ISIYO WANYAMA PORI.....

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Napendekeza Tanganyika ikawe imejitegemea yenyew maana serikali hainamsaada zaidi yakutujazia vumbi kigoma mkoa mkubwa inaweza kua nchi ya Ahadi😂
 
Napendekeza Tanganyika ikawe imejitegemea yenyew maana serikali hainamsaada zaidi yakutujazia vumbi kigoma mkoa mkubwa inaweza kua nchi ya Ahadi[emoji23]
Unamaanisha ndugu zetu wa Burundi wahamie ndani ya ziwa Tanganyika ama ninyi ndugu zetu wa Kigoma mhamie humo ziwani Tanganyika mkaishi na mizimu na majini ya kiafrika ?!! [emoji16][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Manufaa kivipi hebu fafanua manufaa gani ??kwa mimi mkazi wa mbalache hapa makete?!
Wewe unawakilisha kundi kubwa la wajinga ambao hamjui kuwa ngorongoro inachangia karibu 15 % ya mapato yote ya nchi hii fedha ambazo mnajengewa Barabara huko makete huduma za kijamii kama maji elimu na afya.
 
Mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwakani kuna uchaguzi mkuu,ila ninachokiona Mama Samia ni kama hazitaki kura 500,000 za wamasai.

Unguja na Pemba nzima wapiga kura hawazidi 500,000

Kupanga ni kuchagua

Wamasai wanasema bora wachague mbuzi ila sio mgombea wa CCM
Una amini kuna uchaguzi? Ile formula ya Nape unaisahau? Angekuwa anasema uongo hangefukuzwa.
 
Mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwakani kuna uchaguzi mkuu,ila ninachokiona Mama Samia ni kama hazitaki kura 500,000 za wamasai.

Unguja na Pemba nzima wapiga kura hawazidi 500,000

Kupanga ni kuchagua

Wamasai wanasema bora wachague mbuzi ila sio mgombea wa CCM
Si anategemea dola itamsaidia kuiba kura
 
Kwani kwa CCM kura zina maana yoyote? Hizo Kura atazipata tu hata kama hatapigiwa hata kura moja. CCM ni hakimu anayeamua kesi yake mwenyewe. Haiwasumbui hilo.
 
Mwaka huu kuna uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mwakani kuna uchaguzi mkuu,ila ninachokiona Mama Samia ni kama hazitaki kura 500,000 za wamasai.

Unguja na Pemba nzima wapiga kura hawazidi 500,000

Kupanga ni kuchagua

Wamasai wanasema bora wachague mbuzi ila sio mgombea wa CCM
Aliyekuambia kuwa Samia anahitaji kura toka kwa wapiga kura kakudanganya, huyo ameshahakikishiwa kura za maruhani toka Tume ya Uchaguzi, Polisi na TISS hizo za kwenye maboksi hazihitaji.
 
Back
Top Bottom