Wamasai ni watu poa sana!

Wewe kabila gani mkuu umesahau kuweka hicho kituo, maana najuaga wamasai km Wahindi kuolewa na Mswahili mwingine tofauti na mmasai mwenzao ni kipengele, Wewe kabila lako ni lipi?
Zali mm mnyaturu aisee
 
Aise mimi natafuta mmasai au mwanamke wa kirombo
Kwa hiyo wewe kwa sasa unatambulika pia kama baba yeyoo na mke wako ni mama yeyoo!!

Na mimi ngoja nitafute binti wa kuoa wa Kimasai. Siku zote nilifikiri raia wa kawaida huwezi kuoa kwa urahisi tu binti wa Kimasai!
 
Huyo awe mmasai aliyekulia kijijini au kalelewa vyema.
Mimi nina experience mbaya na wamasai..
Baby mama wangu ni mmasai wa hapa mjini na huyo demon nusura anitoe roho..
 
Kwa hiyo wewe kwa sasa unatambulika pia kama baba yeyoo na mke wako ni mama yeyoo!!

Na mimi ngoja nitafute binti wa kuoa wa Kimasai. Siku zote nilifikiri raia wa kawaida huwezi kuoa kwa urahisi tu binti wa Kimasai!
Ni kawaida
Hata boma hujengwa na wamama
Ni mila kabisa wanaume hawajengi
Hiyo spirit inasambaa vizazi na vizazi huwez mkuta mmasai anadang
 
kuna vitu vya kukaa navyo moyoni
 
wamasai wapo tamaduni tofauti sio wote wako hivyo kuna wamasai wa town hawa kina morell mbona wako fresh tu mmasai sio lazima avae rubega
Hao wamasai wa Mchongo mmasai haolewi na Mswahili wa kawaida hata iweje yupo tayari aolewe na Mzungu sio Mswahili njaa njaa wamasai sio wajinga
 
Hao wamasai wa Mchongo mmasai haolewi na Mswahili wa kawaida hata iweje yupo tayari aolewe na Mzungu sio Mswahili njaa njaa wamasai sio wajinga
sasa kina lowasa si wamasai wale 🀣🀣
 
Huyo awe mmasai aliyekulia kijijini au kalelewa vyema.
Mimi nina experience mbaya na wamasai..
Baby mama wangu ni mmasai wa hapa mjini na huyo demon nusura anitoe roho..
🀣🀣🀣 sdhan lakn wanasema inategemea asil ya familia zao kama bab aliku jambaz lazma kwenye hyo kzaz kitakuwa na jambaz ndy maana wenyew kabla kija kuoa lazma familia wakae wachukuze kama kulikuwa na mam mshrkna awatakubali kjana wao kwenda kweny hyo boma
 
Huyo awe mmasai aliyekulia kijijini au kalelewa vyema.
Mimi nina experience mbaya na wamasai..
Baby mama wangu ni mmasai wa hapa mjini na huyo demon nusura anitoe roho..
Alikua ni City Demon au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…