Wamasai ni watu poa sana!

Wamasai ni watu poa sana!

Nijivute msomera taratibu
Anyway umeongea vizuri sana ila kiuhalisia wamasai na warangi ndio wife material waliobaki tz
Sio wamasai tu,kuna jamaa yangu kaoa mbulu ndani ndani aisee taratibu zao zinavutia sana! Kwanza hakuna kitu kinacho mrudisha mwanamke kwao zaidi ya salam tu,na salam mwisho kukaa ni wiki Tu unarudi kwako kama nauli mumeo hajakupa Kwa kuwa na kipato haba utapewa! Na kama kuna mgogoro mtaitwa wote muwe counseled! Kuna dada aliolewa na jamaa badae mumewe akawa anamzingua akataka aolewe na jamaa mwingine aliambiwa kama unataka kuolewa na mume mwingine tafuta Kwa kwenda kumtambulisha Sisi tunamtambua yeye Tu kama kuna shida tutamwita tuongee! Mwingine alikuwa hapelekewi Moto vizuri na jamaa yake akarudi kwao aachane na mumewe alivyo Kwa wiki wakaona anazidi Ku extend muda maana hakusema tatizo lake nini akaja kusema badae wakamwambia Rudi Kwa mumeo punguza ubinafsi je siku akiugua asiwe na uwezo hata wa kufanya chochote si utamuuza hata yeye! Kifupi ukipata mke aliye lelewa ki maadili wanakuwa wake Safi sana! Nimeona hivyo hata Kwa wakulya nk
 
Sio wamasai tu,kuna jamaa yangu kaoa mbulu ndani ndani aisee taratibu zao zinavutia sana! Kwanza hakuna kitu kinacho mrudisha mwanamke kwao zaidi ya salam tu,na salam mwisho kukaa ni wiki Tu unarudi kwako kama nauli mumeo hajakupa Kwa kuwa na kipato haba utapewa! Na kama kuna mgogoro mtaitwa wote muwe counseled! Kuna dada aliolewa na jamaa badae mumewe akawa anamzingua akataka aolewe na jamaa mwingine aliambiwa kama unataka kuolewa na mume mwingine tafuta Kwa kwenda kumtambulisha Sisi tunamtambua yeye Tu kama kuna shida tutamwita tuongee! Mwingine alikuwa hapelekewi Moto vizuri na jamaa yake akarudi kwao aachane na mumewe alivyo Kwa wiki wakaona anazidi Ku extend muda maana hakusema tatizo lake nini akaja kusema badae wakamwambia Rudi Kwa mumeo punguza ubinafsi je siku akiugua asiwe na uwezo hata wa kufanya chochote si utamuuza hata yeye! Kifupi ukipata mke aliye lelewa ki maadili wanakuwa wake Safi sana! Nimeona hivyo hata Kwa wakulya nk
Unaposema mbulu ndani huko unamaanisha hawa wanaoitwa wairaq?
 
Mwez wa kumi na mbili mama mkwe anakuja kumshka mtot yaan mjukuu wake sasa mke amenitonya nitafute pesa ya sherehe kama milioni 3 maana yeye kaambiwa na mama yake watakuja na milioni 14 kwa wamasai ndiyo desturi yao wanaita mbesi mama kwenda kwa mtoto wake wa kike kumsalimia duh! Kweli ya Mungu mengi.
Wewe kabila gani mkuu umesahau kuweka hicho kituo, maana najuaga wamasai km Wahindi kuolewa na Mswahili mwingine tofauti na mmasai mwenzao ni kipengele, Wewe kabila lako ni lipi?
 
Ndio IPO hivyo huwezi hapa tunachangamsha Genge TU ukitaka kuthibitisha mwambie aweke Picha ya yeye na mkewe na Mama mkwe au Baba mkwe wa kimasai atakwambia Hana nini sio Chai ya Tangawizi hii umemwelewa Maziwa
Acha kudanganya watu kuna mshkaji mtwara mjini kaoa mmasai
 
Jana nilikuwa na binamu yangu kwenye party, yeye ni mlevi na mpenda starehe. Ni wale akitoka Ijumaa asubuhi kwenda kwenye ujasiriamali kwake anarudi Jumatatu usiku. Ile Ijumaa anaunga kazini hadi starehe, anaibuka asubuhi starehe anaenda kutafuta, hivyohivyo mpaka akirudi Jumatatu usiku ndio analala. Kwahiyo alikuwa anakaa mchafu na ananuka pombe.

Sasa jana nikashangaa mbona ametoka uzee, kanawiri, macho yamepungua wekundu na hajavimba uso. Kumbe ameoa sogea tuishi kaacha kulala viwanja na kunywa supu ya mapupu. Mke yuko strict hakuna kulala nje wala kurudi umelewa.

Binamu hadi jana tukazungumzia kilimo na viwanja, na kusafirisha mikoani. Akataja hela ambazo kabla hajawahi taja, na manunuzi ambayo hakuwa anafanya. Nikagundua tu hizi akili ni mchango wa mke wake.
Ndugu zangu wa Kataa ndoa watapinga hii!!😂
 
Ndio IPO hivyo huwezi hapa tunachangamsha Genge TU ukitaka kuthibitisha mwambie aweke Picha ya yeye na mkewe na Mama mkwe au Baba mkwe wa kimasai atakwambia Hana nini sio Chai ya Tangawizi hii umemwelewa Maziwa
wamasai wapo tamaduni tofauti sio wote wako hivyo kuna wamasai wa town hawa kina morell mbona wako fresh tu mmasai sio lazima avae rubega
 
Back
Top Bottom