Kwa namna mama anavyo lishughulikia suala la wamasai wa Ngorongoro hakika anastahili pongezi.
Ni kwa njia shirikisho na jumuishi. Sasa hawa Wamasai wanachopigia kelele mpaka kwenye vyombo vya kimataifa kama Al Jazeera ni kipi?
Na Al Jazeera kinachowafanya waendeshe mjadala hiyo jana wa upande mmjoja tu bila ya kupata maoni ya serikali lengo lao ni nini? Ni kuwatumia wamasai kumchafua Rais Samia?
N.B. Mods hapo kwenye heading neno wanatumia lisomeke WANATUMIKA
Ni kwa njia shirikisho na jumuishi. Sasa hawa Wamasai wanachopigia kelele mpaka kwenye vyombo vya kimataifa kama Al Jazeera ni kipi?
Na Al Jazeera kinachowafanya waendeshe mjadala hiyo jana wa upande mmjoja tu bila ya kupata maoni ya serikali lengo lao ni nini? Ni kuwatumia wamasai kumchafua Rais Samia?
N.B. Mods hapo kwenye heading neno wanatumia lisomeke WANATUMIKA