Wamasai wa Ngorongoro wanatumika na mabeberu kumchafua Rais Samia?

Wamasai wa Ngorongoro wanatumika na mabeberu kumchafua Rais Samia?

Ili waarabu wapewe ardhi ya wamasai? shame on you
Jamaa ni wajinga sana. Yaani kuna mambo unayasoma humu unakuta wewe pia ni sehemu ya wahusika ila namna watu wanayaelezea huku wakijivika ujuaji inasikitisha
 
Taingia lini Kenya akawa Beberu?

Al Jazeera Africa Mashariki Ofisi zao zipo Kenya na Kenya ndo mwenye maslahi makubwa na Ngorongoro maana Ngorongoro ikifa kifuatacho ni kufa kwa Serengeti na zikifa hizi mbili basi Kenya kakamata Soko la Utalii Africa Mashariki

Taarifa za kuichafua Tanzania kuhusu uamuzi wa kuwaondoa wamasai Ngorongoro zinapewa airtime na Media za Kenya na waandishi waliopo Kenya kama mkakati maalumu wa kiujasusi!

Pia wamasai waliojaa Loliondo na Ngorongoro wengi wanatoka Kenya na wanakuwa influenced kuja pale kimkakati

Suala la Ngorongoro uamuzi umeshafanyika na hakuna kurudi nyuma.

Hakuna ardhi ya mtu Tanzania hivyo watapelekwa sehemu nyingine full stop!
Tenakama ni wamasai kutoka kenya, wasipelekwe maeneo ya mkoa wa arusha au manyara, wapelekwe mapori ya katavi
 
Taingia lini Kenya akawa Beberu?

Al Jazeera Africa Mashariki Ofisi zao zipo Kenya na Kenya ndo mwenye maslahi makubwa na Ngorongoro maana Ngorongoro ikifa kifuatacho ni kufa kwa Serengeti na zikifa hizi mbili basi Kenya kakamata Soko la Utalii Africa Mashariki

Taarifa za kuichafua Tanzania kuhusu uamuzi wa kuwaondoa wamasai Ngorongoro zinapewa airtime na Media za Kenya na waandishi waliopo Kenya kama mkakati maalumu wa kiujasusi!

Pia wamasai waliojaa Loliondo na Ngorongoro wengi wanatoka Kenya na wanakuwa influenced kuja pale kimkakati

Suala la Ngorongoro uamuzi umeshafanyika na hakuna kurudi nyuma.

Hakuna ardhi ya mtu Tanzania hivyo watapelekwa sehemu nyingine full stop!
Hakuna ardhi ya mtu? Mbona mliwauzia waarabu loliondo
 
Kaama ulikula kinyesi lazima unuke
Nani waliwaambia mje na issue za kuwattoa wamasai ngorongoro? Si ni nyie wenyewe ndio mmekuja na hizo issue
 
Wamasai waondolewe ili kulinda wanyama pori. Lazima tukubali ukweli shughuli za kibinadamu zinazidi kuongezeka kadri wanavyoongezeka kuzaliana.
 
Tembo na Vifaru wamemalizwa na majangili ambao sio hata Wamasai, Hao majingili ndio wamekuwa wanawauzia Waarabu na Wachina pembe na ngozi za wanyamapori wetu. Wamasai mnawasingizia tu.
Wamasai waondolewe ili kulinda wanyama pori. Lazima tukubali ukweli shughuli za kibinadamu zinazidi kuongezeka kadri wanavyoongezeka kuzaliana.
 
Mngeshughulika na wawindaji haramu waliomaliza vifaru wetu na wanaovuna ndovu kupeleka Uchina na Uarabuni badala ya hawa Wamasai.
Kwa namna mama anavyo lishughulikia suala la wamasai wa Ngorongoro hakika anastahili pongezi.

Ni kwa njia shirikisho na jumuishi. Sasa hawa Wamasai wanachopigia kelele mpaka kwenye vyombo vya kimataifa kama Al Jazeera ni kipi?

Na Al Jazeera kinachowafanya waendeshe mjadala hiyo jana wa upande mmjoja tu bila ya kupata maoni ya serikali lengo lao ni nini? Ni kuwatumia wamasai kumchafua Rais Samia?

N.B. Mods hapo kwenye heading neno wanatumia lisomeke WANATUMIKA

View attachment 2135708
 
Hivi mnafahamu Kuna zaidi ya bilioni nane huwa wanapewa akina Ole Ngurumwa na wamasai wengine walioko kwenye kale ka-NGO kao ka upigaji kwamba hizo zinaelekezwa kusaidia jamii za wafugaji wa kimasai?

Tutakuja kuleta hapa ushahidi watu matakaa kimya na jamaa hakuna wanachofanya no wonder wao ndio wapiga kelele wakati walengwa wenyewe wapo maopirini na mashuka yao tu.

Nakusanya data zote nimepita TANAPA kujipatia ukweli.
 
Tukimalizana na wamasai tuwaondoe wachaga kilimanjaro maana kuna mpango wa kuongeza urefu wa mlima.

Halafu wachaga ni wezi sana.
Wachaga wanaishi maisha yao binafsi na kupata huduma za kijamii. Wamasai wataachwa pale mpaka lini wakati hakuna huduma za kijamii? Hakuna hata vyoo. Hakuna kuendeleza maeneo yao Kwa kujenga shule nzuri ,Barabara , Miundo mbinu kama umeme, maji n.k . Tunataka watoto wa kimasai wajichanganye na watu wengine mashuleni ,masokoni ,kwenye nyumba za ibada ili kuondoa ukabila na kujiona wao Wana haki Fulani za tofauti na watu wengine ,tukiendelea kuwaacha Wamasai na Mila zao TU huku makabila mengine yakiwa yanafanya shughuli tofauti na kujichanganya basi Kuna siku kutaibuka kabila Moja lenye ukabila mbaya sana. Mpaka Leo Wamasai ndilo kabila linaloongoza Kwa Ukabila mana Hawaoi Wala kuolewa na makabila mengine zaidi ya Vijana wao kuolewa na mamama ya Kizungu na kupelekwa ulaya Kama mbinu za kujipatia kipato huku wakiacha watoto wadogo wakichunga ngombe bila kwenda shule.

Serikali inakosea sana kwa sababu ya kuwa na wapigaji wengi waliojigawia na kumiliki ardhi kubwa bila kujiendeleza. Wamasai na wafugaji wengine walitakiwa wawe wamedhibitiwa muda mrefu sana ili wafuge ngombe wachache kwenye maeneo yao waliotengewa sio kuzurura kila mahali na kueneza ukabila. Makabila yote ya Wafugaji Bado Wana elements za kikabila tofauti na wakulima Kwa sababu wanafuga Kikoo.

Wafugaji wa kuhamahama inakuwaje hawataki kuhama Ngorongoro?
Bila shaka Kuna watu wanawachochea ili waendelee Kupiga zile bil.3 za mamlaka za Hifadhi ya Ngorongoro kila mwaka.
Dawa ni serikali kukata mirija ya kugawa fungu hilo.
 
Wacheni Propaganda za kijinga... Hakuna Mwarabu wala yeyote atakaye pewa... wamasai Wafurushwe mara moja ndani ya Ngorngoro
Hizi roho chafu sijui huwa mnazitoa wapi, simply swala la kuwatoa watu kwenye ardhi walioiishi miaka na miaka ni kuwafurusha??
 
Wachaga wanaishi maisha yao binafsi na kupata huduma za kijamii. Wamasai wataachwa pale mpaka lini wakati hakuna huduma za kijamii? Hakuna hata vyoo. Hakuna kuendeleza maeneo yao Kwa kujenga shule nzuri ,Barabara , Miundo mbinu kama umeme, maji n.k . Tunataka watoto wa kimasai wajichanganye na watu wengine mashuleni ,masokoni ,kwenye nyumba za ibada ili kuondoa ukabila na kujiona wao Wana haki Fulani za tofauti na watu wengine ,tukiendelea kuwaacha Wamasai na Mila zao TU huku makabila mengine yakiwa yanafanya shughuli tofauti na kujichanganya basi Kuna siku kutaibuka kabila Moja lenye ukabila mbaya sana. Mpaka Leo Wamasai ndilo kabila linaloongoza Kwa Ukabila mana Hawaoi Wala kuolewa na makabila mengine zaidi ya Vijana wao kuolewa na mamama ya Kizungu na kupelekwa ulaya Kama mbinu za kujipatia kipato huku wakiacha watoto wadogo wakichunga ngombe bila kwenda shule.

Serikali inakosea sana kwa sababu ya kuwa na wapigaji wengi waliojigawia na kumiliki ardhi kubwa bila kujiendeleza. Wamasai na wafugaji wengine walitakiwa wawe wamedhibitiwa muda mrefu sana ili wafuge ngombe wachache kwenye maeneo yao waliotengewa sio kuzurura kila mahali na kueneza ukabila. Makabila yote ya Wafugaji Bado Wana elements za kikabila tofauti na wakulima Kwa sababu wanafuga Kikoo.

Wafugaji wa kuhamahama inakuwaje hawataki kuhama Ngorongoro?
Bila shaka Kuna watu wanawachochea ili waendelee Kupiga zile bil.3 za mamlaka za Hifadhi ya Ngorongoro kila mwaka.
Dawa ni serikali kukata mirija ya kugawa fungu hilo.
Kwahiyo wao hawaoni umuhimu wa hivyo unavyovitaja?? Hahahaha ila watu bwana😅.

Pamoja na kujihisi kwamba mnapata huduma bora kijamii, tukianza kufanya research za wanaoteseka na magonjwa makubwa wamaasai watakuwa ni wa mwisho, kipi mtawashawishi kuonyesha uzuri wa maisha mnayoishi?

Kwahiyo swala la wao kuoana wao kwa wao nalo limekuuma kiasi cha kukiita ukabila? Haha😅.

Wewe leta points za maana za kwanini watoke Ngororo na sio kuponda aina ya utamaduni wao.
 
Swala la ngorngoro nipo upande wa Serikali. Hawa watu wasichekewa hata kidogo, wafurushwe mara moja. Napendekeza Serkali iuwatumie JWTZ na iwe Special Operation kuwaondoa mara moja.

Wakenya siyo watu wazuri kabisa. Wanataka kuua Ngorngoro na Serengeti ili Mbuga zao zipate soko, mazuzu tumebaki kuwakingia kifua Wamasai
Excellent!!!!
 
Hivi mnafahamu Kuna zaidi ya bilioni nane huwa wanapewa akina Ole Ngurumwa na wamasai wengine walioko kwenye kale ka-NGO kao ka upigaji kwamba hizo zinaelekezwa kusaidia jamii za wafugaji wa kimasai?

Tutakuja kuleta hapa ushahidi watu matakaa kimya na jamaa hakuna wanachofanya no wonder wao ndio wapiga kelele wakati walengwa wenyewe wapo maopirini na mashuka yao tu.

Nakusanya data zote nimepita TANAPA kujipatia ukweli.
Ukweli Mchungu ....kuna utumwa wa kisirisiri huko haswa Childlabor...
 
Ukweli Mchungu ....kuna utumwa wa kisirisiri huko haswa Childlabor...
Unajua yawezekana kuna namna inafanyika huko Ila hawa wamasai wanaoongelewa kuondolewa ni wale ambao wanakaa ndani ya Mbuga na ukiingia kwenye Crater utakuta ng'ombe wanachungwa na wale Layon (laibon) .

Ngorongoro Kama wilaya ni kubwa na Ina kata zake, Sasa maeneo yanayoongelewa ni kule ndani ya Crater (shimoni na maeneo ya karibu Kama ukiwa inaelekea sere.

Sasa huko kwingine hao jamaa wana ka-NGO kao wanasolicit pesa kwa kuonyesha kwamba ziwasaidie jamii za wafugaji kwamba wanaishi kwa shida , wanaonyesha nyumba wanazoishi, shule, mazizi ya ng'ombe sasa wanapewa hela kwa ajili ya kuwasaidia kuwa na maisha bora wakiwaaminisha kwamba hao watu wanahitaji kuhudumiwa sababu wapo maporini kwamba jamii zao bado ni za kuhamahama.

These guys wanafanya kazi Kama like shirika jingine la wale madaktari wanaopeleka hospital ya kila wiki wanaenda na ndege kuwapelekea dawa nk.

Kuna miradi mingi sana watu especially haohao wamasai wenzao walioenda shule wanaifanya na wanapata hela nyingi sana Kuna miradi ya afya, elimu kwa maana ya shule kuwalipia Ada wanasema hao ni masikini, misaada ya nguo, nk.

Tumesoma na wamasai walisomeshwa na hiyo miradi na wengi wapo Ulaya na serikalini na wanajua haya Mambo.

Sasa hao wanaopinga inaeleweka wao ni wanufaika wakubwa wa hiyo miradi wanawatumia Masai wenzao. Ndio maana ukienda umasaini hakuna Masai anakubali umpige picha kijinga wanajua.
 
kuondolewa wamasai hilo sio tatizo,tatizo ni kuwaondoa wamasai na kuwaleta waarabu kujenga hotels za kitalii na kufanya uwindaji.
 
Back
Top Bottom