Atakuelewa baadayeMabeberu si wamesema hawataki kuwaona Wamasai pale?
Unajua "reasoning" maana yake Nini. Ina maana you must have a reason for everything you say.
Ili waarabu wapewe ardhi ya wamasai? shame on youLong story short ni Wamasai lazima waondoke Ngorongoro jambo la muhimu kwa sasa Wanaharakati ni kujadili ni kwa namna gani wanaondoka na wanaenda maeneo gani?
Kama uamuzi umeshafanyika, hapa naunga mkono... Hawa watu wafurushwe mapema na haraka mnoTaingia lini Kenya akawa Beberu?
Al Jazeera Africa Mashariki Ofisi zao zipo Kenya na Kenya ndo mwenye maslahi makubwa na Ngorongoro maana Ngorongoro ikifa kifuatacho ni kufa kwa Serengeti na zikifa hizi mbili basi Kenya kakamata Soko la Utalii Africa Mashariki...
Huyo mwarabu akipewa tutaleta mjadala mwengine ila kuondoka kwa wakazi ndani ya Ngorongoro is inevitableIli waarabu wapewe ardhi ya wamasai? shame on you
Mwarabu gani apewe ardhi?Ili waarabu wapewe ardhi ya wamasai? shame on you
Kwa hili naunga mkono hoja... Operation ya kuwaondoa wakabidhiwe JWTZ na iwe na time frameHuyo mwarabu akipewa tutaleta mjadala mwengine ila kuondoka kwa wakazi ndani ya Ngorongoro is inevitable
Wacheni Propaganda za kijinga... Hakuna Mwarabu wala yeyote atakaye pewa... wamasai Wafurushwe mara moja ndani ya NgorngoroIli waarabu wapewe ardhi ya wamasai? shame on you
Sawa waondolewe ni jambo jema ila wasipewe waarabu wa Dubai.Taingia lini Kenya akawa Beberu?
Al Jazeera Africa Mashariki Ofisi zao zipo Kenya na Kenya ndo mwenye maslahi makubwa na Ngorongoro maana Ngorongoro ikifa kifuatacho ni kufa kwa Serengeti na zikifa hizi mbili basi Kenya kakamata Soko la Utalii Africa Mashariki...
Waafrika ni hopeless kabisa.Taingia lini Kenya akawa Beberu?
Al Jazeera Africa Mashariki Ofisi zao zipo Kenya na Kenya ndo mwenye maslahi makubwa na Ngorongoro maana Ngorongoro ikifa kifuatacho ni kufa kwa Serengeti na zikifa hizi mbili basi Kenya kakamata Soko la Utalii Africa Mashariki....
Tukimalizana na wamasai tuwaondoe wachaga kilimanjaro maana kuna mpango wa kuongeza urefu wa mlima.Swala la ngorngoro nipo upande wa Serikali.. Hawa watu wasichekewa hata kidogo... wafurushwe mara moja.. Napendekeza Serkali iuwatumie JWTZ na iwe Special Operation kuwaondoa mara moja....
Wakenya siyo watu wazuri kabisa .. Wanataka kuua Ngorngoro na Serengeti ili Mbuga zao zipate soko.. mazuzu tumebaki kuwakingia kifua Wamasai
Acha wapige kelele dunia isikie ujinga wenu.Kwa namna mama anavyo lishughulikia suala la wamasai wa Ngorongoro hakika anastahili pongezi.
Ni kwa njia shirikisho na jumuishi. Sasa hawa Wamasai wanachopigia kelele mpaka kwenye vyombo vya kimataifa kama Al Jazeera ni kipi...
Sawa...Tukimalizana na wamasai tuwaondoe wachaga kilimanjaro maana kuna mpango wa kuongeza urefu wa mlima.
Halafu wachaga ni wezi sana.