Wambulu na Wadatooga ndio wakazi wa mwanzo wa Ngororongo. Kadhia ya Ngorongoro haihitaji hisia

An intelligent and zealout son of Tanzania by the name Stuxnet [emoji7]

Kudos compatriot [emoji450]

Umesema kweli tupu ambayo wapindisha mambo hawataki isemwe[emoji449]

Shukran kaka ,be blessed ,amen[emoji7]

#Kabila la Ngororongo ni watanzania [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Unachosema wewe ndiyo nliambiwaga huko na mzee mmoja wa kimasai maarufu huko anaitwa clemence,anaijuwa historia nZuri sana ya ngorongoro

Utakuta limits humu lina Google tu hata ngorongoro yenyewe hajawahi fika

Ova
Itabaki kuwa ni facts...si wamasai walioanza kuishi Ngororongo....ni wairaqw na watatooga....nami pia nimesimuliwa na mzee mkongwe aitwaye Joshua wa huko huko Ngororongo....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Itabaki kuwa ni facts...si wamasai walioanza kuishi Ngororongo....ni wairaqw na watatooga....nami pia nimesimuliwa na mzee mkongwe aitwaye Joshua wa huko huko Ngororongo....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa wewe unashangaa wamasai kuwatimua wambulu na wa datooga huko
Wangoni wenyewe mpaka kusettle pale songea kutoka kwao huko kusini mwa afrika,wamekaa pale kibabe
Zamani huko mwafrika alikuwa anahama mzee kumbuka kulikuwa hakuna mipaka ya kinchi

Ova
 
Ndio ipo ivyo mkuu, leo hii ni usaliti na uonevu kusema uwaondoe watu fulani eneo lao ambapo mababu kwa mababu wameishi hapo hata kama alisi yao ni ya nchi ukanda mwingine.
 
Historia hiyo iko wazi...kumbe hizi ardhi watu wanapita tu....sasa watanzania wameamua kuishi hapo Ngororongo...taifa la Tanzania...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Zanzibar nako Waarab walivamia na kuwafukuza wabantu waliokuwa wenyeji. Waarab nao wafukuzwe warudi kaao Oman
 
Wachagga walikuwa huko Ngorongoro kabla ya kufurushwa na mikuki na Wamasai.
 
Zanzibar nako Waarab walivamia na kuwafukuza wabantu waliokuwa wenyeji. Waarab nao wafukuzwe warudi kaao Oman
Zanzibar si dola la waaarabu...

Waarabu kwao si Zanzibar...

Walikuja kutafuta "maslahi" yao...wakatukuta waafrika...na leo wametuacha....

Mbona Sultan Jamshid yuko ukimbizini kwa rafiki zake WAINGEREZA ?!!

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mpumbavu ni kama unajaribu kuhalalisha Wangoni wafukuzwe nchini kurudi South Africa kwenye asili Yao.
 
Mass cleansing inakosekana vipi kama watu wanawekewa mazingira ya kutopata huduma za kijamii za maji na chakula!? Hizi njaa zisiwatoe akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…