Unataka kusema nini?Wakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.
Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI...
Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).
Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...
Hapo ni kwa watanzania [emoji7]
#Tanzania kwanza[emoji7]
#JMT milele dumu[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo mnataka kuwafukuza wasio bantustans?Mkuu Chaliifrancisco , thanks for this kumbe Wasandawe ni Khoisans, Wanganui ni Zulu waliletwa Tanzania na Zongendamba baada ya kukimbia vita vya Mfecene. Tanzania pia tuna Nilotic na Semi Nilotic from North Africa. Hata Wachagga ni Wakamba wa Kenya waliovamia Tanzania. Wajaluo ni Waluo wa Kenya waliovamia Tanzania, Wamasai ni Semi Nilotic waliovamia Tanzania. Wahaya ni watu wa Bunyoro Kingdom waliovamia Tanzania wakiongozwa na Mkama Rumanyika. Wamakonde na Chingaz ni wavamizi kutoka Msumbiji. Wale Wanyasa ni wavamizi kutoka Malawi.
Makabila asili wa Tanzania ni Bantustans ambao ni Wagogo, Wasukuma, Wahehe na makabila machache sana.
Wakoloni nao wakapiga mipaka na kukata baadhi ya makabila kuwa nchi mbili tofauti.
Thanks tu uhuru, kila aliyekuwepo kwenye ardhi ya Tanganyika ile saa 5:59 usiku wa tarehe 8 Desemba 1961, alipata Utanganyika bure.
P
Hapana, hakuna mtu yeyote anayetaka kumfukuza mtu mwingine yeyote kwenye ardhi ya Tanzania ila kinachofanyika ni kuwapanga ili sote tuenee na kupata ustawi. Kama eneo fulani limetengwa kwa ajili ya hifadhi, wananchi huondolewa , kufidiwa na kuhamishiwa eneo jingine. Ndivyo ilivyokuwa ikifanyika hifadhi zote ikiwemo Serengeti mwaka 1958 Wamasai wa Serengeti walihamishiwa Ngorongoro. Sasa wamezaliana na Ngorongoro imeelemewa, wanahamishiwa Msomera..Kwa hiyo mnataka kuwafukuza wasio bantustans?
Huu mwandiko ni Dr Sule. Mtaalam wa MajinWakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.
Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.
Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).
Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...
Hapo ni kwa watanzania [emoji7]
#Tanzania kwanza[emoji7]
#JMT milele dumu[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna wahiraq wambulu acheni kujikana yaani tangu kabla ya uhuru wanajulikana wambulu mnakana jina la kabila lenu mbona wanyiramba hawajakana kuwa wao ni wairamba baadhi ya kabla hutambulikana kutokana na eneo waliko toka mfano hata wachaga wanajitambua kutokana na eneo wanakotoka hivyo zamani eneo lililotambulika mapema ni Mbulu na wanyeji ni wambuluWambulu ni watu gani hao?, hakuna wambulu bali kuna Wairaqw. Kushindwa tu kujua hilo kabila kunakuondolea credit ya unachokisema hapa. Kausha tu Chifu.
Hayo yanayotokea ni kwa ajili ya siasa za 2025, hawazungumzii athari za ongezeko kubwa la watu na mifugo kwenye ecosystem ya ngorongoroWakazi wa kimaasai walilivamia hilo eneo la KRETA na kuwafukuza wakazi wake ambao ni WAMBULU na WADATOOGA.
Kadhia ya Ngorongoro haihitaji HISIA bali utulivu wa FIKRA TUNDUIZI.
Ndugu zetu wamaasai hawakuwa wa kwanza kuishi hapo katika ardhi tukufu ya nabii Adam(AS).
Makabila mengi yalipita hapo lakini kabila la mwisho kuishi Ngororongo linaitwa WATANZANIA...
Hapo ni kwa watanzania [emoji7]
#Tanzania kwanza[emoji7]
#JMT milele dumu[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Irrelevant.The hypocrisy of most Muslims elites and Mama's Parasites knows no bounds.
They would rather go all over the place and preach in their mosques against land grabbing of Palestine, yet they fail see a similar analogy happening here against the Maassai.
Hata Wapalestina ambao mnawatetea kwamba wanaonewa pale Israel siyo kwao maana walivamia kinguvu chini ya Salahadeen. Tukifuata msingi wa hoja yako hii, kuuwawa kwa maelfu ya Wapalestina kule gaza ni jambo sahihi kwasababu siyo kwao.
You people are a disgrace.
Irrelevant.
Naitwa Dr Lesu mtaalam wa tiba za mapenzi.....Huu mwandiko ni Dr Sule. Mtaalam wa Majin
Punguza ujinga na ujuaji Mkuu. Kwa taarifa yako Wairaqw wapo Karatu kwa wingi kuliko hata maeneo ya Mbulu na Babati.Hakuna wahiraq wambulu acheni kujikana yaani tangu kabla ya uhuru wanajulikana wambulu mnakana jina la kabila lenu mbona wanyiramba hawajakana kuwa wao ni wairamba baadhi ya kabla hutambulikana kutokana na eneo waliko toka mfano hata wachaga wanajitambua kutokana na eneo wanakotoka hivyo zamani eneo lililotambulika mapema ni Mbulu na wanyeji ni wambulu
Lipo... tupo...umekutana na huyo mmojawapo...mimi hapa[emoji7]ssik ya kwanza kusikia kuna kabila linaitwa watanzania....
Eeeeh Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema vijalie vizazi vya GenZ
Punguza ujinga na ujuaji Mkuu. Kwa taarifa yako Wairaqw wapo Karatu kwa wingi kuliko hata maeneo ya Mbulu na Babati.
Kabila ni Iraqw sasa wewe unaleta ujuaji uchwara tu hapa, kubali kuelimika kiongozi.
Alafu mimi ni mchaga sio muiraqw, jifunze kukubali elimu hamna shida kutokujua jambo ila kuna shida usipotaka kukubali ukweli wa jambo. Wewe hujui lolote kuhusu hilo kabila kaa kwa kutulia kiongozi.wewe na mimi nani mjinga ndugu kwamba ikiitwa Mbulu unapungukiwa nini na uliitwa muiraq inakuongezwa nini kwa mfano jina la kabila lambulu ndilo maarufu Tanzania Na kuitwa Mbulu japo ni wa haidomu haikupunguzii chochote pia mimi siyo mchanga bali nimefanya kazi uchagani sehemu kubwa pili usimdharau mtu awaye yote kisa haja kukubaliani nawe sabato njema