Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana

Wameahidi leo saa 10 watanisomea Albadiri. Ninasubiri kwa hamu kubwa sana

Kwema wakuu, tukiwa katika kijiwe chetu cha kahawa, baada ya kuhoji masuala fulani kuhusu mtu fulani anaye heshimika sana kwenye dini, sikupata majibu ila watu walikasirika sana na wakaapa kuwa leo saa 10 watanisomea albadiri na sitaiona kesho.

Kwakweli nilifurahi sana nikawaambia kama kuna msaada watahitaji ili kukamilisha dua hiyo kwa ufanisi niko tayari kuchangia. Pia nimewaahidi wakitoka kusoma waje kijiweni na wakija waje na majibu kuhusu maswali niliyo wauliza na waandae majibu kuhusu kufeli kwa Albadiri yao.

Natoa wito kwa wataalamu wa Albadiri hapa JF kuongeza nguvu ili saa 10 jini lao lisifeli. Mkiona kimya mjue niko kwa allah wao nawapelekea moto wale madem 72 wa allah.
======

Updates:
Hivi sasa ni saa 1 jioni na hakuna chochote. Hakika jini limeyatimba, yaani limeingia kwenye mfumo.

Baada ya jini lao kufeli sasa wanasema hawataki kuniona kijiweni.

Nimewaambia walete kwanza majibu ya maswali yangu na wasinipangie pakwenda kwenye nchi yangu.
Hivi kwanini mnaleta dhihaka katika masuala ya imani?, utoto , ujuha au kitu gani?...kwahiyo tuanze kujadili ubishani wenu huko kijiweni kwenu?...
 
Ubaya unampata yule aliye mbaya,kama huna ubaya hata wangelala kufudifudi hamna kitu.
 
Kwema wakuu, tukiwa katika kijiwe chetu cha kahawa, baada ya kuhoji masuala fulani kuhusu mtu fulani anaye heshimika sana kwenye dini, sikupata majibu ila watu walikasirika sana na wakaapa kuwa leo saa 10 watanisomea albadiri na sitaiona kesho.

Kwakweli nilifurahi sana nikawaambia kama kuna msaada watahitaji ili kukamilisha dua hiyo kwa ufanisi niko tayari kuchangia. Pia nimewaahidi wakitoka kusoma waje kijiweni na wakija waje na majibu kuhusu maswali niliyo wauliza na waandae majibu kuhusu kufeli kwa Albadiri yao.

Natoa wito kwa wataalamu wa Albadiri hapa JF kuongeza nguvu ili saa 10 jini lao lisifeli. Mkiona kimya mjue niko kwa allah wao nawapelekea moto wale madem 72 wa allah.
======

Updates:
Hivi sasa ni saa 1 jioni na hakuna chochote. Hakika jini limeyatimba, yaani limeingia kwenye mfumo.

Baada ya jini lao kufeli sasa wanasema hawataki kuniona kijiweni.

Nimewaambia walete kwanza majibu ya maswali yangu na wasinipangie pakwenda kwenye nchi yangu.
Tatizo la Uislam na waumini wao liko hapa, kukataa ukweli. Yaani tuko tunaishi hii karne ya 21 lakini kuna mazwazwa wanaamini kuwa Quran ni kitabu cha Mungu wakati Muddy alipewa hizo haya na shetani. Sielewi kwanini hawataki ukweli.
 
Huyo hawezi kufa mpaka Mungu mwenyewe atake, kuongea ama kuhoji uhalali wa Muddy kuwa Mtume si dhambi kwani ni dhahiri kabisa jamaa alikuwa mbakaji na muuwaji. Kuna dhambi gani mtu kama mimi (Great Thinker) kumuuliza sheikh kwanini anadanganya waumini wake kuhusu Muddy kuwa alikuwa mtu mwema wakati si kweli? Hapa hata wakinisomea albadiri sitokufa kwani ninauliza ukweli na sikashifu mtu.
 
Albadir ni ushirikina na haiuruhusiwi katika uislam.

Sisi tunapima kuchanganyikiwa kwenu kwa kupitia papa francis alivyobariki ndoa za jinsia moja wanaume muoane wenyewe kwa wenyewe
 
Albadiri ni kisomo cha kutuma majini kwa minajili ya kulipiza, ila kuna muda majini hayo nayo yakiona maji ya shingo huwa yanagoma tutumwa.

Kama wewe ni mkristo, tengeneza madhabahu hapo hapo ulipo, mwaga damu ya Yesu - patachimbika.

Kama wewe ni mpagani - usijali, jiapize kwamba hiyo albadir haiwezi kukudhuru na iwarudie wao.

Haya ni mambo ya Imani, sasa kama huna imani last option wakati wanaisoma wewe nenda bar agiza kitimoto na Kvant burudika.
Just imagine dini inatumia majini kutawala na kutishia watu kisha wanadanganya na kusema ni dini ya amani, think about that? Ndiyo maana nchi za Ulaya zinaaandamana kutaka wakimbizi wa Kimujahadeen wote wakmatwe na kurudishwa makwao kwani wanairudisha Ulaya nyuma kimaendeleo.
 
Kwema wakuu, tukiwa katika kijiwe chetu cha kahawa, baada ya kuhoji masuala fulani kuhusu mtu fulani anaye heshimika sana kwenye dini, sikupata majibu ila watu walikasirika sana na wakaapa kuwa leo saa 10 watanisomea albadiri na sitaiona kesho.

Kwakweli nilifurahi sana nikawaambia kama kuna msaada watahitaji ili kukamilisha dua hiyo kwa ufanisi niko tayari kuchangia. Pia nimewaahidi wakitoka kusoma waje kijiweni na wakija waje na majibu kuhusu maswali niliyo wauliza na waandae majibu kuhusu kufeli kwa Albadiri yao.

Natoa wito kwa wataalamu wa Albadiri hapa JF kuongeza nguvu ili saa 10 jini lao lisifeli. Mkiona kimya mjue niko kwa allah wao nawapelekea moto wale madem 72 wa allah.
======

Updates:
Hivi sasa ni saa 1 jioni na hakuna chochote. Hakika jini limeyatimba, yaani limeingia kwenye mfumo.

Baada ya jini lao kufeli sasa wanasema hawataki kuniona kijiweni.

Nimewaambia walete kwanza majibu ya maswali yangu na wasinipangie pakwenda kwenye nchi yangu.

hakuna kitu kama hicho. Toka nizaliwe sijaona mtu yoyote aliyesemwa hadharani albadili itamzingua akazinguka. Afande Sele ni mmoja wa watu hao. Hivyo ni vitisho vya kibabaishaji
 
Kwema wakuu, tukiwa katika kijiwe chetu cha kahawa, baada ya kuhoji masuala fulani kuhusu mtu fulani anaye heshimika sana kwenye dini, sikupata majibu ila watu walikasirika sana na wakaapa kuwa leo saa 10 watanisomea albadiri na sitaiona kesho.

Kwakweli nilifurahi sana nikawaambia kama kuna msaada watahitaji ili kukamilisha dua hiyo kwa ufanisi niko tayari kuchangia. Pia nimewaahidi wakitoka kusoma waje kijiweni na wakija waje na majibu kuhusu maswali niliyo wauliza na waandae majibu kuhusu kufeli kwa Albadiri yao.

Natoa wito kwa wataalamu wa Albadiri hapa JF kuongeza nguvu ili saa 10 jini lao lisifeli. Mkiona kimya mjue niko kwa allah wao nawapelekea moto wale madem 72 wa allah.
======

Updates:
Hivi sasa ni saa 1 jioni na hakuna chochote. Hakika jini limeyatimba, yaani limeingia kwenye mfumo.

Baada ya jini lao kufeli sasa wanasema hawataki kuniona kijiweni.

Nimewaambia walete kwanza majibu ya maswali yangu na wasinipangie pakwenda kwenye nchi yangu.
We umekutana na vibaka tu.
Hata kusoma msahafu hawajui.
 
Albadir ni ushirikina na haiuruhusiwi katika uislam.

Sisi tunapima kuchanganyikiwa kwenu kwa kupitia papa francis alivyobariki ndoa za jinsia moja wanaume muoane wenyewe kwa wenyewe
Sasa Mbona mnasoma kupitia Mashehe wenu kupitia kitabu chenu!
 
Kiufupi mpaka sasa mkuu Vichekesho anadunda. Hakuna cha albadiri wala maza ake albadiiiiiiiir.... jini sijui limegoma au limeona maji ya shongo likala nduki🤣🤣
 
Kwema wakuu, tukiwa katika kijiwe chetu cha kahawa, baada ya kuhoji masuala fulani kuhusu mtu fulani anaye heshimika sana kwenye dini, sikupata majibu ila watu walikasirika sana na wakaapa kuwa leo saa 10 watanisomea albadiri na sitaiona kesho.

Kwakweli nilifurahi sana nikawaambia kama kuna msaada watahitaji ili kukamilisha dua hiyo kwa ufanisi niko tayari kuchangia. Pia nimewaahidi wakitoka kusoma waje kijiweni na wakija waje na majibu kuhusu maswali niliyo wauliza na waandae majibu kuhusu kufeli kwa Albadiri yao.

Natoa wito kwa wataalamu wa Albadiri hapa JF kuongeza nguvu ili saa 10 jini lao lisifeli. Mkiona kimya mjue niko kwa allah wao nawapelekea moto wale madem 72 wa allah.
======

Updates:
Hivi sasa ni saa 1 jioni na hakuna chochote. Hakika jini limeyatimba, yaani limeingia kwenye mfumo.

Baada ya jini lao kufeli sasa wanasema hawataki kuniona kijiweni.

Nimewaambia walete kwanza majibu ya maswali yangu na wasinipangie pakwenda kwenye nchi yangu.
Kwa hiyo badala ya mademu 72,umechaguwa ukapakatwe na kidume Ibrahimu,kama Lazaro alivyopakatwa.
 
Back
Top Bottom