Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Albadiri inhisiana na vita ya Al Badr.
Kusoma Dua ya albadiri maana yake unamtaja Mtume ( Muhammad), pamoja na kila aliyepigana katika vita ya Al Badr.
Unawataja wote,mmoja baada ya mwingine,nao wako 330+.
Kusoma Dua ya albadiri maana yake unamtaja Mtume ( Muhammad), pamoja na kila aliyepigana katika vita ya Al Badr.
Unawataja wote,mmoja baada ya mwingine,nao wako 330+.