Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
ana bahati kupata mke wa hivo anayebaki na wewe kwenye shida,mke mwemaAugustine Makule na Mpenzi wake Rose Kimaro wamefunga ndoa wodini jijini Dodoma baada ya Bwana harusi kupata ajali ya Bodaboda siku mbili kabla ya siku ya harusi yao.
Ajali hiyo ya pikipiki iliyotokea eneo la zuzu Dodoma na kupelekea kijana Agustino kukatwa mguu wake wa kulia na vidole vitatu vya mguu wake wa kushoto.
Licha ya maumivu makali aliyokuwa nayo waliamua kuendelea na ratiba yao ya ndoa ambayo waliifungia ndani ya wodi baada ya Mchungaji kufika na baadhi ya Waumini na kuendelea na taratibu za ndoa,
full video ya habari hii ipo kwenye Youtube ya millardayo.
so unapenda Mboo sio Mume ? yani unapenda ka kitu kadogo hivo unaacha mwili mzima wa mtuπHata Mim siwezi tutafunga tu ndoa bana tatizo tu mboooo ndio ikosane ikiwepo sina shida πππ ikikosekana tutajua
Bora uishi na zimwi likujualo
Ndio inafanya mkutane zaidiii au wewe unahisi vipi sio kaka yangu huyo we vipiso unapenda Mboo sio Mume ? yani unapenda ka kitu kadogo hivo unaacha mwili mzima wa mtuπ
πNgoja niishie hapa maana watoto hawajalalaNdio inafanya mkutane zaidiii au wewe unahisi vipi sio kaka yangu huyo we vipi
Yaan utampenda pia lakin na hicho kitu kianawaunganisha zaidiπNgoja niishie hapa maana watoto hawajalala
Kwa hiyo una maanisha sio utu wala ubinadamu ni hesabu zaidi?Wanawake always wana Akili Sana,
Hapo tayari mwanamke keshapiga hesabu zake vizuri,
kumbe ni kama Nokia "connecting people"Yaan utampenda pia lakin na hicho kitu kianawaunganisha zaidi
Eeekumbe ni kama Nokia "connecting people"
Tena mahesabu makali Sana[emoji4]Kwa hiyo una maanisha sio utu wala ubinadamu ni hesabu zaidi?
[emoji28][emoji28][emoji28] anasubiri mtu aseme "kadi " atoe stop stop zake then kwangu! kwangu! kwangu! Kadi! na mchezo uishie hapo (just a joke )Wanawake always wana Akili Sana,
Hapo tayari mwanamke keshapiga hesabu zake vizuri,
Tena mahesabu makali Sana[emoji4]
Tatizo kuichezesha itakuwa shidaHata Mim siwezi tutafunga tu ndoa bana tatizo tu mboooo ndio ikosane ikiwepo sina shida πππ ikikosekana tutajua
Bora uishi na zimwi likujualo
AiseeeeWanawake always wana Akili Sana,
Hapo tayari mwanamke keshapiga hesabu zake vizuri,