Wamejitahidi kuficha mwisho wamekubali kuwa Patriot Air Defense System imeshachakazwa na makombora hatari ya Urusi

Wamejitahidi kuficha mwisho wamekubali kuwa Patriot Air Defense System imeshachakazwa na makombora hatari ya Urusi

Russia jana imetangaza inatuma meli yenye shehena ya madawa,vyakula kusaidia wakimbizi wa Sudan waliokimbilia Chad!!!! zawadi na nipo serious, nitajie mradi wowote wa kijamii hapa nchini ambao upo bankrolled na Russia [emoji635], Zawadi ya 50k tshs itakufikia bila vikwazo
Kabla hujataka msaada kutoka Urusi nyinyi mlisha isaidia nn Urusi?

Kwa hiyo nyinyi waafrika mungu aliwaumba mje hapa duniani kukaa tu na msubili watu weupe wawaletee misaada ?

Siku zote mtu anaye kufanya uwe tegemezi kwake ndo adui namba moja katika maisha yako.
 
Una matatizo na gender ?,PM wa Finland ni ke na Finland ina sponsor miradi mingi ya kijamii, inaonekana u didn't read to meaning comment yangu, Russia ni sehemu ya tatizo kubwa hasa hapa Africa, wao wanachochea vita tu
Nimekuuliza kwanini mnapenda misaada kutoka kwa vidume?kwanini mnaona kusaidiwa na Russia Ni haki yenu?Kitu gani kimewazuia na nyie kutoa misaada kwa nchi nyingine mpk nyie muwe Ni wa kusaidiwa tu?
 

SOURCE: ALJAZEERA.​

Patriot missile system in Ukraine likely ‘damaged’: Report​

As Russia claims that US-made Patriot system has been destroyed in Ukraine, US sources say the missile platform is likely only damaged.


A US-made Patriot missile defence system being used by Ukrainian forces has likely suffered some damage from a Russian air attack but does not appear to have been destroyed, two United States officials told the Reuters news agency.
The reported damage to the US-donated missile defence system follows Russia’s Defence Ministry on Tuesday saying that a Russian hypersonic Kinzhal missile had destroyed a Patriot missile battery in Kyiv.
One US official, speaking on condition of anonymity and citing initial information, said Washington and Kyiv were already talking about the best way to repair the Patriot system and that, at this point, it did not appear the system would have to be removed from Ukraine.
 
NATO wanachanganyikiwa: Kila wakipeleka silaha wanayoamini kuwa ni game changer (itabadili matokeo), baada ya muda si mfupi utasikia kimyaaa!!! Sifa kede kede zilizokuwa zinatolewa kusifia silaha hizo hazisikiki tena!! HIMARS-Zilipopelekwa Ukraine kwa sifa kedekede wakadhani sasa urusi imekwisha! Zimeishia kuwa zinadunguliwa sana kwa sasa. Zilisikika sana mwanzoni tu na sasa mwarobaini wake ushapatikana.
PATRIOT- Ndiyo hiyo ishadunguliwa tayari! mwali anarudi kwao kukarabatiwa baada ya kukumbana na kipigo!!
STORM SHADOW CRUISE MISSILES- Hizi ndo hazijachukua round, ziliingia kwa kishindo zikatumika kushambulia ndani ya urusi, lakini sasa hazisikiki tena, zinadunguliwa kama kawa!!

Kwa sasa UK wanasema watapeleka ndege za kivita F-16. Urusi inasema zileteni kwani hiyo ni chakula cha S-400.
 
Ukiwa na mbwa wa ulinzi mkali siyo siri kwa kuwa watu wakikaribia watamsikia akibweka vikali. Kama wakimfanyia utaratibu wa kumwua kwa kumtegeshea sumu, watajua tu kuwa wamemwua maana wakipita hawatamsikia tena akibweka!
Ndivyo ilivyotokea kwa marekani. Patriot air defense yake aliyopeleka ukraine imeharibiwa na makombora makali ya urusi!! Ukraine walijifanya kukanusha lakini marekani ikaonekana kukanusha ni kujiaibisha zaidi. Siyo siri Patriot air defense haifanyi kazi kwa siri maana mawimbi ya rada zake lazima yaonekane kwenye vyombo vya urusi vya upelelezi. Kama mawimbi yamezima wakati mashambulizi yanaendelea maana yake patriot ishapigwa pini tayari. Kama ni mbwa basi habweki tena japo watu wanapita hapo nyumbani!!
 
Kabla hujataka msaada kutoka Urusi nyinyi mlisha isaidia nn Urusi?

Kwa hiyo nyinyi waafrika mungu aliwaumba mje hapa duniani kukaa tu na msubili watu weupe wawaletee misaada ?

Siku zote mtu anaye kufanya uwe tegemezi kwake ndo adui namba moja katika maisha yako.
Afrika inaisaidia sana urusi kwa solidarity!! Ile kukataa kuunga mkono vikwazo vya marekani ni msaada mkubwa sana!! Ile kutokupigia kura azimio la UN kuilaani urusi kwenye vita yake na ukraine ni msaada mkubwa sana!! Msaada si wa mali tu kuna msaada wa hali pia!!
 
Mchumba Russia shoga
Kama huyu?
JamiiForums1694128041.jpg
 

Haiwezekani kuangamiza silaha ya Patriot ya Marekani kwa kutumia "Dagger" ya Urusi - Ukraine​

Mwakilishi rasmi wa Kikosi cha Wanahewa wa jeshi wa Ukraine aliita "propaganda" taarifa za Wizara ya Ulinzi ya Urusi, usiku wa Mei 16, kwamba mfumo wa kombora wa kupambana na ndege wa Patriot wa Marekani uliangamizwa na shambulio la roketi huko Kiev.
Akizungumza kupitia chombo cha habari cha Kitaifa nchini Ukraine , Yuriy Ignat alihimiza "kutojali kuhusu hatima ya Patriot."
"Kuharibu mfumo na aina ya "Dagger", haiwezekani. Kwa hivyo, kila kitu wanachosema hapo, nadhani, kibaki kwenye kumbukumbu zao za uenezi," mwakilishi wa amri ya Kikosi cha Wanajeshi wa Kikosi cha Wanajeshi wa Ukraine alisema.
 

Haiwezekani kuangamiza silaha ya Patriot ya Marekani kwa kutumia "Dagger" ya Urusi - Ukraine​

Mwakilishi rasmi wa Kikosi cha Wanahewa wa jeshi wa Ukraine aliita "propaganda" taarifa za Wizara ya Ulinzi ya Urusi, usiku wa Mei 16, kwamba mfumo wa kombora wa kupambana na ndege wa Patriot wa Marekani uliangamizwa na shambulio la roketi huko Kiev.
Akizungumza kupitia chombo cha habari cha Kitaifa nchini Ukraine , Yuriy Ignat alihimiza "kutojali kuhusu hatima ya Patriot."
"Kuharibu mfumo na aina ya "Dagger", haiwezekani. Kwa hivyo, kila kitu wanachosema hapo, nadhani, kibaki kwenye kumbukumbu zao za uenezi," mwakilishi wa amri ya Kikosi cha Wanajeshi wa Kikosi cha Wanajeshi wa Ukraine alisema.
Japokuwa Ukraine walijitahidi kukanusha imebidi wakae kimya baada ya maofisa wa Marekani wenyewe wamekiri kuwa Patriot yao imeharibiwa. Japo wanadai wanadhani haijaharibika jumla, wanasema wataichunguza waone kama inatengenezeka. Lakini kwamba imeharibiwa hilo halina ubishi kwa sasa. Ona taarifa yao hii hapa kutoka al jazeera:

SOURCE: ALJAZEERA.​

Patriot missile system in Ukraine likely ‘damaged’: Report​

As Russia claims that US-made Patriot system has been destroyed in Ukraine, US sources say the missile platform is likely only damaged.


A US-made Patriot missile defence system being used by Ukrainian forces has likely suffered some damage from a Russian air attack but does not appear to have been destroyed, two United States officials told the Reuters news agency.
The reported damage to the US-donated missile defence system follows Russia’s Defence Ministry on Tuesday saying that a Russian hypersonic Kinzhal missile had destroyed a Patriot missile battery in Kyiv.
One US official, speaking on condition of anonymity and citing initial information, said Washington and Kyiv were already talking about the best way to repair the Patriot system and that, at this point, it did not appear the system would have to be removed from Ukraine.
 
Ndo imeshatoka hiyo. Kulikuwa na Patriot air defense system mbili zilizopelekwa ukraine. Moja ilitoka Marekani na nyingine ilitoka Ujerumani. Waliamua kutumia moja kwanza ile ya Marekani, na haijamaliza hata wiki moja ikiwa kazini tayari ishadunguliwa. Tuone kama wataiingiza na ile ya ujerumani kazini au wataingia baridi!! Hypersonic missiles ni kitu kingine hicho, Marekani hana, ni Mrusi tu na Mchina ndo wanatamba duniani na kitu HYPERSONIC MISSILES!!
 
Urusi ilishasema mapema kuwa nyie pelekeni tu hivyo vifaru na silaha nyingine huko urusi lakini "zitaungua kama nyingine zilivyoungua".

The Kremlin gave a defiant response to Ukraine getting its first Western tanks, saying they 'will burn like the rest'.​

Na kweli bwana, Patriot air defense imeshaungua tayari!! NI vyuma chakavu tayari!
 
Wiki iliyopita Ukraine walidai kuwa wamefanikiwa kuangamiza kombora la urusi (hypersonic missile), lakini baadaye ikaonekana kuwa siyo. Na leo mji mkuu wa ukraine ulishambuliwa vibaya na ukraine ikadai imetungua makombora 6 (hypersonic missile ) ya urusi kwa kutumia Patriot air defense ya Marekani. Kumbe siyo. Ila ukweli ni kwamba hiyo Patriot air defense ya Marekani ndiyo imeshambuliwa na kuharibiwa. Hatimaye Marekani kupitia CNN wamekubali kuwa Patriot air defense yao imeharibiwa japo wanadai wanaweza kuikarabati!!

But a US official later told CNN that a US-made Patriot system was likely damaged, but not destroyed, as a result of Monday’s Russian missile barrage.

The US is still assessing to what degree the system was damaged, the official said, adding that will determine whether the system needs to be pulled back entirely or simply repaired on the spot by the Ukrainians.
Kama PATRIOT imeharibiwa na makombora yenu sasa Pelekeni ndege zenu kwenye anga la Ukraine kama zitarudi. Mnarushia Makombora kutoka baharini huko mkijua Ukraine haina makombora ya kufika huko.
 
Huyu wanae tu mpaka akimbie west washapiga hesabu zao na kuhakikisha Safari Putin na Russia yake hawatoboi.
Hesabu gani bwana - wakati air defense system ya Patriot inachakazwa kama nini - si kila siku walikuwa wanaitangazia Dunia kwamba USA ADS ndio baba lao ie hakuna mfanowe Duniani - leo limrchakazwa vilivyo na missiile ya Kinzhal - mpaka USA inaona aibu kwelo kweli na kuanza ku-manufacture lame excuses chungu mzima.
 
Back
Top Bottom