Wamejitahidi kuficha mwisho wamekubali kuwa Patriot Air Defense System imeshachakazwa na makombora hatari ya Urusi

Wamejitahidi kuficha mwisho wamekubali kuwa Patriot Air Defense System imeshachakazwa na makombora hatari ya Urusi

Kama PATRIOT imeharibiwa na makombora yenu sasa Pelekeni ndege zenu kwenye anga la Ukraine kama zitarudi. Mnarushia Makombora kutoka baharini huko mkijua Ukraine haina makombora ya kufika huko.
🤣🤣🤣 Usitupangie jinsi ya kukudunda. Sasahivi wewe cheza tu na NDOIGE
 

Attachments

  • Screenshot_20230517-182815_Facebook.jpg
    Screenshot_20230517-182815_Facebook.jpg
    190.4 KB · Views: 7
Hivi hesabu ya haraka unajiseema una basi 10 una costa 100 una semi 50 una fuso 90 una haisi 200 halafu unaomba msaada kwa matajiri wenzako mkapigane na mwenye haisi 20 hapo ukweli ukoje ndo urusi muiogope ushabiki weka pembeni ujerumani ufaransa uingereza america nyingine ongeza wanapambana urusi lakini hawajafua dafu hiyo imekaaje kitaaramu
Kwahiyo Urusi kuivamia Ukraine mnyonge kwako ni sahihi ? Je kwavile ww ni mwehu hukueza wasaidia ndug zako Somalia , Drc , libya na etc ndo unataka wengine pia waige wehu wako ?
 
Kabla hujataka msaada kutoka Urusi nyinyi mlisha isaidia nn Urusi?

Kwa hiyo nyinyi waafrika mungu aliwaumba mje hapa duniani kukaa tu na msubili watu weupe wawaletee misaada ?

Siku zote mtu anaye kufanya uwe tegemezi kwake ndo adui namba moja katika maisha yako.
Kama ndo ivo wabakie kwao huko sio kuja kuua na kubaka ndugu zetu waafrika pamoja na wiz wa maliasil
 
Nimekuuliza kwanini mnapenda misaada kutoka kwa vidume?kwanini mnaona kusaidiwa na Russia Ni haki yenu?Kitu gani kimewazuia na nyie kutoa misaada kwa nchi nyingine mpk nyie muwe Ni wa kusaidiwa tu?
Sababu kaja afrika na anaiba mali zetu , arudishe hata sehem ya faid ili nasi tusitoke kapa , kama hujui mambo uliza
 
Kilaza mwingine huyu hapa. Yeye afuati kitu mpaka marekani wamtangazie. Marekani wakisema huyu gaidi linafuata, wakisema sasa sio gaidi linafuata yahani linapelekwa pelekwa kama liroboti
Hv anachofanya Urusi pale Ukraine unahitaj uende darasan ili ujue kuwa ni ugaidi ? Au kichaa kinakunyemelea ?
 
NATO wanachanganyikiwa: Kila wakipeleka silaha wanayoamini kuwa ni game changer (itabadili matokeo), baada ya muda si mfupi utasikia kimyaaa!!! Sifa kede kede zilizokuwa zinatolewa kusifia silaha hizo hazisikiki tena!! HIMARS-Zilipopelekwa Ukraine kwa sifa kedekede wakadhani sasa urusi imekwisha! Zimeishia kuwa zinadunguliwa sana kwa sasa. Zilisikika sana mwanzoni tu na sasa mwarobaini wake ushapatikana.
PATRIOT- Ndiyo hiyo ishadunguliwa tayari! mwali anarudi kwao kukarabatiwa baada ya kukumbana na kipigo!!
STORM SHADOW CRUISE MISSILES- Hizi ndo hazijachukua round, ziliingia kwa kishindo zikatumika kushambulia ndani ya urusi, lakini sasa hazisikiki tena, zinadunguliwa kama kawa!!

Kwa sasa UK wanasema watapeleka ndege za kivita F-16. Urusi inasema zileteni kwani hiyo ni chakula cha S-400.
Silaha tano zinapataje airtime sawa , akili yako inafanya kaz gan kichwan humo?
 
Russia jana imetangaza inatuma meli yenye shehena ya madawa,vyakula kusaidia wakimbizi wa Sudan waliokimbilia Chad!!!! zawadi na nipo serious, nitajie mradi wowote wa kijamii hapa nchini ambao upo bankrolled na Russia [emoji635], Zawadi ya 50k tshs itakufikia bila vikwazo
Tutajie kwanza mradi mmoja uliojengwa na SUDAN [emoji1232] pale RUSSIA [emoji635]
 
Kama PATRIOT imeharibiwa na makombora yenu sasa Pelekeni ndege zenu kwenye anga la Ukraine kama zitarudi. Mnarushia Makombora kutoka baharini huko mkijua Ukraine haina makombora ya kufika huko.
Makombora yatarushwa kutokea popote pale madam yanahit target
Kama hawana siwayatengeneze au wawaombe mabwana zao wawape ili wapigie ndani ya RUSSIA [emoji635]
 
Back
Top Bottom