Kabla hujataka msaada kutoka Urusi nyinyi mlisha isaidia nn Urusi?Russia jana imetangaza inatuma meli yenye shehena ya madawa,vyakula kusaidia wakimbizi wa Sudan waliokimbilia Chad!!!! zawadi na nipo serious, nitajie mradi wowote wa kijamii hapa nchini ambao upo bankrolled na Russia [emoji635], Zawadi ya 50k tshs itakufikia bila vikwazo
Mchumba mbabe na mkorofi. Ndoa hakuna hapo. NATO kamasi debe.Russia ni mchumba tu
Nimekuuliza kwanini mnapenda misaada kutoka kwa vidume?kwanini mnaona kusaidiwa na Russia Ni haki yenu?Kitu gani kimewazuia na nyie kutoa misaada kwa nchi nyingine mpk nyie muwe Ni wa kusaidiwa tu?Una matatizo na gender ?,PM wa Finland ni ke na Finland ina sponsor miradi mingi ya kijamii, inaonekana u didn't read to meaning comment yangu, Russia ni sehemu ya tatizo kubwa hasa hapa Africa, wao wanachochea vita tu
Tukisema akili zako mbovu mnasema tuna matusi.Patriot zilizodunguliwa Sasa[emoji1787]View attachment 2624809
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Mchumba Russia shogaMchumba mbabe na mkorofi. Ndoa hakuna hapo. NATO kamasi debe.
Kilaza mwingine huyu hapa. Yeye afuati kitu mpaka marekani wamtangazie. Marekani wakisema huyu gaidi linafuata, wakisema sasa sio gaidi linafuata yahani linapelekwa pelekwa kama lirobotiRussia kupitia magaidi wa Wagner wanaongoza operation ya wizi wa Madini.
Ushoga si mambo yenu NATO kule urusi ni ushetani hauruhusiwi.Mchumba Russia shoga
Afrika inaisaidia sana urusi kwa solidarity!! Ile kukataa kuunga mkono vikwazo vya marekani ni msaada mkubwa sana!! Ile kutokupigia kura azimio la UN kuilaani urusi kwenye vita yake na ukraine ni msaada mkubwa sana!! Msaada si wa mali tu kuna msaada wa hali pia!!Kabla hujataka msaada kutoka Urusi nyinyi mlisha isaidia nn Urusi?
Kwa hiyo nyinyi waafrika mungu aliwaumba mje hapa duniani kukaa tu na msubili watu weupe wawaletee misaada ?
Siku zote mtu anaye kufanya uwe tegemezi kwake ndo adui namba moja katika maisha yako.
Kwa hiyo unabishana na marekani sasa?Patriot zilizodunguliwa Sasa[emoji1787]View attachment 2624809
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kama huyu?Mchumba Russia shoga
Japokuwa Ukraine walijitahidi kukanusha imebidi wakae kimya baada ya maofisa wa Marekani wenyewe wamekiri kuwa Patriot yao imeharibiwa. Japo wanadai wanadhani haijaharibika jumla, wanasema wataichunguza waone kama inatengenezeka. Lakini kwamba imeharibiwa hilo halina ubishi kwa sasa. Ona taarifa yao hii hapa kutoka al jazeera:Haiwezekani kuangamiza silaha ya Patriot ya Marekani kwa kutumia "Dagger" ya Urusi - Ukraine
Mwakilishi rasmi wa Kikosi cha Wanahewa wa jeshi wa Ukraine aliita "propaganda" taarifa za Wizara ya Ulinzi ya Urusi, usiku wa Mei 16, kwamba mfumo wa kombora wa kupambana na ndege wa Patriot wa Marekani uliangamizwa na shambulio la roketi huko Kiev.
Akizungumza kupitia chombo cha habari cha Kitaifa nchini Ukraine , Yuriy Ignat alihimiza "kutojali kuhusu hatima ya Patriot."
"Kuharibu mfumo na aina ya "Dagger", haiwezekani. Kwa hivyo, kila kitu wanachosema hapo, nadhani, kibaki kwenye kumbukumbu zao za uenezi," mwakilishi wa amri ya Kikosi cha Wanajeshi wa Kikosi cha Wanajeshi wa Ukraine alisema.
Kama PATRIOT imeharibiwa na makombora yenu sasa Pelekeni ndege zenu kwenye anga la Ukraine kama zitarudi. Mnarushia Makombora kutoka baharini huko mkijua Ukraine haina makombora ya kufika huko.Wiki iliyopita Ukraine walidai kuwa wamefanikiwa kuangamiza kombora la urusi (hypersonic missile), lakini baadaye ikaonekana kuwa siyo. Na leo mji mkuu wa ukraine ulishambuliwa vibaya na ukraine ikadai imetungua makombora 6 (hypersonic missile ) ya urusi kwa kutumia Patriot air defense ya Marekani. Kumbe siyo. Ila ukweli ni kwamba hiyo Patriot air defense ya Marekani ndiyo imeshambuliwa na kuharibiwa. Hatimaye Marekani kupitia CNN wamekubali kuwa Patriot air defense yao imeharibiwa japo wanadai wanaweza kuikarabati!!
But a US official later told CNN that a US-made Patriot system was likely damaged, but not destroyed, as a result of Monday’s Russian missile barrage.
The US is still assessing to what degree the system was damaged, the official said, adding that will determine whether the system needs to be pulled back entirely or simply repaired on the spot by the Ukrainians.
Hesabu gani bwana - wakati air defense system ya Patriot inachakazwa kama nini - si kila siku walikuwa wanaitangazia Dunia kwamba USA ADS ndio baba lao ie hakuna mfanowe Duniani - leo limrchakazwa vilivyo na missiile ya Kinzhal - mpaka USA inaona aibu kwelo kweli na kuanza ku-manufacture lame excuses chungu mzima.Huyu wanae tu mpaka akimbie west washapiga hesabu zao na kuhakikisha Safari Putin na Russia yake hawatoboi.