Wamejitahidi kuficha mwisho wamekubali kuwa Patriot Air Defense System imeshachakazwa na makombora hatari ya Urusi

Kama PATRIOT imeharibiwa na makombora yenu sasa Pelekeni ndege zenu kwenye anga la Ukraine kama zitarudi. Mnarushia Makombora kutoka baharini huko mkijua Ukraine haina makombora ya kufika huko.
🤣🤣🤣 Usitupangie jinsi ya kukudunda. Sasahivi wewe cheza tu na NDOIGE
 
Kwahiyo Urusi kuivamia Ukraine mnyonge kwako ni sahihi ? Je kwavile ww ni mwehu hukueza wasaidia ndug zako Somalia , Drc , libya na etc ndo unataka wengine pia waige wehu wako ?
 
Kama ndo ivo wabakie kwao huko sio kuja kuua na kubaka ndugu zetu waafrika pamoja na wiz wa maliasil
 
Nimekuuliza kwanini mnapenda misaada kutoka kwa vidume?kwanini mnaona kusaidiwa na Russia Ni haki yenu?Kitu gani kimewazuia na nyie kutoa misaada kwa nchi nyingine mpk nyie muwe Ni wa kusaidiwa tu?
Sababu kaja afrika na anaiba mali zetu , arudishe hata sehem ya faid ili nasi tusitoke kapa , kama hujui mambo uliza
 
Kilaza mwingine huyu hapa. Yeye afuati kitu mpaka marekani wamtangazie. Marekani wakisema huyu gaidi linafuata, wakisema sasa sio gaidi linafuata yahani linapelekwa pelekwa kama liroboti
Hv anachofanya Urusi pale Ukraine unahitaj uende darasan ili ujue kuwa ni ugaidi ? Au kichaa kinakunyemelea ?
 
Silaha tano zinapataje airtime sawa , akili yako inafanya kaz gan kichwan humo?
 
Tutajie kwanza mradi mmoja uliojengwa na SUDAN [emoji1232] pale RUSSIA [emoji635]
 
Kama PATRIOT imeharibiwa na makombora yenu sasa Pelekeni ndege zenu kwenye anga la Ukraine kama zitarudi. Mnarushia Makombora kutoka baharini huko mkijua Ukraine haina makombora ya kufika huko.
Makombora yatarushwa kutokea popote pale madam yanahit target
Kama hawana siwayatengeneze au wawaombe mabwana zao wawape ili wapigie ndani ya RUSSIA [emoji635]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…