Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

a grower not a showerπŸ˜€ hongera sana

you're just talking your feelings,

'wadogo zako' sio sample ya kutosha

is there peer reviewed research to back your claim?

let's be rational here...
 
Kibamia nikama tako kubwa kuna walio nalo na waambao hawana . Hata akitairiwa 18 bado atakuwa tu nakibamia na ninzuri kutahiri mtoto akiwa mdogo atapona haraka. Kingine Yesu alitahiriwa siku 18 baada ya kuzaliwa licha yeye mchumba kabisa
YESU alikuwa myahudi na sisi ni wabantu, Mila tofauti misingi tofauti
Halafu lingine YESU hakuna duniani ili kuoa kwahiyo kutahiriwa au kutokutahiriwa hakukuwa na mantiki yoyote kwake
Hapa tunaongelea misingi yetu kama wabantu

Kutahiri mtoto akiwa mdogo unamnyims haki ya kuushuhudia hata za uanaume wake na namna anavyopasea kuwajibika
Tohara ni zaidi ya kukats govi dada
 
Makinda alikuwa Speaker wa Bunge lkn makinda ya ndege yakiota manyoya kwenye mbawa tu huyaoni tena. Wewe unaacha kufanya mambo yako ya msingi unaanza kuangaika na mtoto usiyekuwa na undugu naye?

Mpunguzie dada yako majukumu ili awe huru aende kwa shemeji yako ajazwe tena ili uendelee kuwa msemaji wa mwisho zaidi na zaidi.
 

Aiseee elimu inahitajika sana sasa kama kuwa ndugu ndo sababu mbona ma group ya damu mnatofautiana? Ishu ni kwamba umerithi tu kibamia mkuu na ndugu zako wamebahatika kupata genes ninazo sapoti maumbile kuwa makubwa .

Kingine flaccid size haina mashiko yoyote maana unapojaamiiiana kinachoangaliwa ni erection size na sio flaccid size.
 
Sema kuna kitu hua kinanishangaza sana kuhusu wanawake. Yani jamaa anamkimbia baada ya kumpa mimba alafu akizaa bado anakomaa kumpa jina la mwisho la jamaa aliyemkimbia.
Kaka hawa watu acha tu, ukitumia hisia kuishi nao utapata kesi kila siku
Bora tuwachukulie kama wagonjwa tu
 
Mmh. Hivyo wale wenzetu wa visiwani watakuwa na viba100 kama vyote mana kule watoto walio wengi wanatahiriwa wakiwa hata hawajamaliza arobaini.
Mashine kubwa nyingi hapa nchini zinatoka mikoa nje ya pwani maana huko kutahiriwa hadi mtu abalehe
 
Embu someni post hapo juu. Ulizeni reality mtaani, hata ukigoogle hichi kitu KIPO
aisee, nimeanza kuvuta kumbukumbu unachongea, huenda ikawa kweli. Kuna mtoto wa jirani yangu hapa anamiezi tisa, kafanyiwa tohara akiwa na miezi nane, "aise" ukichek dudu yake kama hamna kitu unaweza sema ni "ke".
 
Afadhali nimeona komenti ya shababi mwenzangu.
Wewe Sasa ndo mwanaume tena mwanaume haswa wa kiafrika sijui wanawahigi nini kuwatahiri watoto mboo zao zikiwa hazijakomaa
.yaani hiki kizazi kina shida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…