Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Unaishi wapi na familia yenu inaitwa familia ya nani? Nimeona juhudi zako za malezi bora kwa watoto wa Dada yako nataka nije nimpe mimba dada yako mwingine unisaidie kulea
Karibu sana kumpa mimba dada yangu ila hakikisha wewe ni mwanaume kweli kweli mwenye vinasaba vyote vya kiafrika ila ukiwa na mentality ya mimi kukulelea hakika nitakulelea wala usijali mdogo wangu ila kuwa tayari tu kulipa gharana ambazo boya mwenzako huku anazipitia
πŸ˜‚
 
Mimi nilimtahiri akiwa na mwezi 1.
 
Mwache akatwe ilo govi, au unataka akupe unga upike ugali?
 
Hata Mimi sina expectations zozote toka kwa mtoto, mdogo wangu wa kike au bwanake mi ninafanya mind game tu na kuwaonesha how a parent should behave

I don't have any clue with them but currently I know what I'm doing and I don't need anyone's suggestions or advice as long as I'm responsible with my nephew's child support

I'm final say
 
Mdogo wangu inabidi uniambie kabila lako, ukoo wako, na kama una uelewa wowote na tamaduni za kibantu

Lakini Kuna watu mnajifanya wajuaji humu ilhali hata majina ya ukoo hamna

Sasa mtu unaitwa Ibrahim Musa Rashid utakuwa na uelewa gani kuhusu jando!!?
Wewe bado mdogo sana kwenye hii tasnia
 
Uzinzi tu
 
Hizi ndio nyuzi za maana sasa....πŸ˜‚
Yaani nyuzi kama hizi ndio zinajenga taifa kabisa...🀣
Nakubali πŸ˜‚
Kuwa mwanaume siyo mchezo, kuna watu wanadhani wamezaliwa bila govi kumbe walidhulumiwa haki ya kushuhudia hatua za uanaume wao
 
Unacheka kwa sababu hauna hoja ya kusapoti unachokitetea zaidi ya kuangalia mapungufu ili upate hoja ya kujibizana

Kwa kifupi wajinga mna ujasiri sana
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Sawa mi ni mdogo lakini mi ndo nimempa mimba huyo Dada yako unaemsaidia kulea
 
Unacheka kwa sababu hauna hoja ya kusapoti unachokitetea zaidi ya kuangalia mapungufu ili upate hoja ya kujibizana

Kwa kifupi wajinga mna ujasiri sana
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nimekuuliza maswali machache sana nahitaji majibu mkuu ili nijue kama unajua ulichoandika au ulikurupuka tu tafadhali naomba majibu.
 
Kama maumivu ni kipimo cha uanaume basi tuna safari ndefu sana kama nchi
Sio kama nchi
Wewe binafsi una safari ndefu sana ya kujitambua na kufahama alama ambazo wahenga wako waliziweka
Una safari ndefu sana ya kufahama thamani yako kama mwanaume wa kiafrika
Una safari ndefu sana ya kuamini kuwa wewe hustahili kuwa na substantial standards za maisha mbali na zile sa kigeni
Una safari ndefu sana za kuamini Kuna mambo hata sisi ni superior bila kujilinganisha na miiko ya wengine
Kwa kifupi ukitoa rangi ya ngozi yako you are nothing as an African
 
Wanakatairi mapema hivyo wanakaandaa kaanze kuwapiga miti chekechea wenzake wa kike? Pamoja na hii pumba yangu nasema ni mapema kukatahiri mimi govi nimeliondoa form 2 japo shule ya msingi nilipata sana shida
Lakini naamini jengelele lako Lina haiba ya kiume haswa
 
Tunajifunza Kwa waliotutangulia ktk Maarifa.
Yes this is what I want to depict to my nephew, we as a clan have our own attitude, custom and norms which we believe in and they deliver to us.
We learned from our elders as youlu said that's why I'm so responsible with this case
We are not Hebrews
We are bantus, subSaharans
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…