Wametaka kumtahiri mpwa wangu wa miaka 4 nimewaletea vagi hilo hawajaamini

Sema kuna kitu hua kinanishangaza sana kuhusu wanawake. Yani jamaa anamkimbia baada ya kumpa mimba alafu akizaa bado anakomaa kumpa jina la mwisho la jamaa aliyemkimbia.
Broo utafikira hadi utaumiza kichwa tu.

Mi mwenyew hata sielewi hawa watu wana akili ya namna gani
 
Jifunze tofauti ya Grower and shower penis.

Kuna watu wanakuwa na uume mfupi wakiwa haujasimama ila unaongezeka urefu sana pindi unaposimama.(Grower penis)

Kuna wengine uume ukiwa umesimama na ukiwa umedinda huwa haun tofauti kubwa ya urefu. (Shower penis)

Ukubwa wa uume unatokana na kiwango cha collagen ndani ya uume.

Ni suala la kimaumbile , tupo tuliotahiriwa siku ya 40 na tuna miguu ya watoto chini.
 
Mtoto hata kachululuu hakajapata protini, mishipa haijakomaa, steki zenyewe hazina mafuta wala ujazo wa nyama halafu anataka kukitaka kinaniliu kwa rika hili!!?
Tuanze na wewe mwenyewe, je kiwango chako cha usafi kipoje?
 
wewe ni boya tu...utamkatazaje mwanaume (Shemeji yako aliyemkaza dada yako mpaka akapata mtoto unayeringa naye) mwezio asihudumie mwanawe?.


Unajua maisha ya kutafuta ya mwanaume yapoje? Bogus kabisa .

Yaani unatamba kabisa kuwa wewe ni msemaji wa mwisho wa manii za mwanaume mwenzio??
 
Of course it's something that I'm proud of.
Kule mtoto wa mjinga fulani it's a heroic steps and I'm so so satisfied with that
Sawa mi ni mdogo lakini mi ndo nimempa mimba huyo Dada yako unaemsaidia kulea
 
Nimekuuliza maswali machache sana nahitaji majibu mkuu ili nijue kama unajua ulichoandika au ulikurupuka tu tafadhali naomba majibu.
Maswali yako hayana mantiki
Na nimekujibu kw namna ambayo huwezi kung'amua kama una ubongo wa kimbofa
 
Kwa hiyo watoto watahiriwe umri gani??
 
It's not about maumbile it's about collagen as you mentioned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…