Kaka...Bado una ji shughulisha na ufundi wa hizi gsri???Nna hitaji fundiKwa experience yangu ya kua fundi wa european cars hasahasa(bmw,benz).
Bmw ni magari mazuri sana yakiwa mapya lakini ukipata used litakusumbua sana kwa service kutokana kuharibika haribika,german cars are overengineered hivo tatizo dogo tu linazingua gari.wengi wanaweza ku afford kununua ila sio kulitunza.
Mtu anaemiliki german car ambalo linatembea barabarani mpe heshima yake maaana linamcost
G63...kuna jamaa wa SA alikuwa anaitumia kama tax...anabeba abiria,wasauzi wenyewe wakawa hawaamini anawaambia wapande wanaogopa kwa hofu ya mnyama ulivyo!!Hahaha Kwa wale wa G20 haya.
Na wale kwa baba lao G63 Amg Mungu awabariki zaidi hahahah.
G63...kuna jamaa wa SA alikuwa anaitumia kama tax...anabeba abiria,wasauzi wenyewe wakawa hawaamini anawaambia wapande wanaogopa kwa hofu ya mnyama ulivyo!!
Nyie ndo mnamfanya njapani ajiskie vibayaNilipewaga Audi A4 na bi mkubwa, mpaka leo nikisema nanua gari I will go German. Mjerumani aheshimiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari,hapana boss now nafanya shughuli nyingine..unapatikana wapi?Kaka...Bado una ji shughulisha na ufundi wa hizi gsri???Nna hitaji fundi
Dar kakaHabari,hapana boss now nafanya shughuli nyingine..unapatikana wapi?
Mbona sikupati inbox mkuuHabari,hapana boss now nafanya shughuli nyingine..unapatikana wapi?
Hahahahaha daaah umenichekesha ww msichanaKuna siku nilikuwa na dereva wa ofisini tunatoka sheli flani ipo Njiro sie tumo kwenye Rav 4 pembeni ipo X5 wote wanabaniana kuingia road, ikabidi nimwambie dereva wetu we emu ona aibu basi acha GARI ipite [emoji3][emoji3]
Kweli tupuTunastahili hongera but ukweli ndani ya mioyo yetu tunaumia kuliko unavyodhan maana tangu sijawah kutumia chini ya laki tano kwa matengenezo ya aina yoyote
Na sometime kujkuta inatoka mpk 3m usishangae[emoji24][emoji24][emoji125][emoji125]
Best bite sehemu gani kwa Dar??Ghali lakini haziharibiki mara kwa mara, tatizo wengi tunazipeleka hizi gari kwa mafundi wa magari ya japani, lazima ulie.
Kuna mafundi wa chache wamebobea na kuspesialize kwenye magari ya ulaya, hautajuta...
Aisee mkuu nakubaliana na wewe kabisa ukiangalia comment nyingi za watu humu utagundua Ni wamiliki wa Toyota wanaoendeshwa na hofu ya kumiliki BM.Hamna hicho kitu, shida ya sisi wabongo tuna jinamizi la fear of unknown, yaani kunasumba za kipumbavu.
Kwa mfano IST zimejaa TZ kwa Sababu ya kasumba eti gari imara sijui haili mafuta, kwahiyo kila mtu ni IST. Haili mafuta unataka ile maji! Gari imara unataka kuzeeka nayo ? Haya ni mawazo hovyo kabisa.
Now naambiwa kuna kasumba imeshaingia ya Subaru hizi Kama Rav 4 , now kila mtu ni hiyo tu. Huu ni uoga usiojulikana.
Utakuta mtu anakwambia BMW ni expensive to maintain, Halafu huyo mtu hajawahi kumiliki BMW in his entire life, just hear say! Yaani huwa nabaki what [emoji15].
Mwaka wa 3 sasa huu naendesha BMW X6 ya mwaka 2011 gari haijawahi kunipa shida yoyote na ninaitumia kila siku kwa shughul zangu za kikazi. Ni my routine car yaani I drive it everyday everywhere for 3 years.
sasa mimi huwa i don’t understand wabongo wakisema BMW this BMW that.
Currently namuagizia my wife BMW X3 , View attachment 1378259Ina maana Kama zingekuwa na shida nisingeweza fanya hayo.
Guys tupunguze hearsay, mnajicheleweshea sana maisha.
There is nothing you can do with Toyota zaid ya kukanyaga mafuta, kuwasha AC, kuwasha Radio, kupandisha na kushusha vioo na kukanya brake. Kubwa zaid utasumbua ukienda kijijini kwenu
BMW you enjoy the interior design, features, comfortably, security pamoja na mfumo wa kukupunguzia Wewe kuvuta gas chafu itokayo Kwenye petrol na carbon monoxide.
Hayo mabrevis brevis, ma vitz vitz, ma crown crown nikujitafutia magonjwa ya kudumu tu na hata ukipata ajali serious huwezi kupona maana hizo ni bati tu.
People mnajichelewesha na unknown fear, wacheni uzembe Unless kweli Huna uwezo otherwise ........
Mkuu usikariri maisha kila toleo Lina version tofauti. Ipo version ya x3 hata X6 inakaa kwa Bei, muonekano na features.Zile hapana hata bule ila ile X6 ile gari nimeielewa mpaka umeingia namba 1 ya dream car kwangu pale kampuni ya BMW ilitulia.
Portfolio | 2020
Mkuu acha ushawishi wa kunifanya nikuwekee picha..hata hiyo bimmer E46 Kama ndio peke yako uko nayo kitaa kizima heshima haiepukikiUkute unapewa heshima sababu ya bimmer E46,hahah.
Kama uzoefu wako umeishia kwenye 320i unahaki ya kuzungumza hivyoBMW uzuri wake uimara na kutulia barabarani lakini hazina finishing ya kuvutia, hata ndani ukianzia dashboard, viti na maeneo mengine hazikamatiii brevis...
Ila ukiwa unaiendesha inavyotulia kwa barabara na ile kuchanganya mwendo upesi ndio mzuka wenyewe.
Hii ni kwa uzoefu wangu wa 320i
Kama uzoefu wako umeishia kwenye 320i unahaki ya kuzungumza hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app