Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna wapumbavu wengine blankets wanazifutiaga shahawa halafu wanazikunja vizuri Kama hwajalitumia muhudumu akija analikunja vizuri zaidi.
Sasa ukijifnya mwamba ukaingia kwenye blanket utakutana na uvundo wa ajabu mno[emoji16]
WachafuSiku hiyo sikuwa na namna yani ilibidi nilale tu,ila ilikuwa chafu kupitiliza, hizo ndoo zilivyo chafu unaanza vipi kuogea.[emoji2961][emoji2961][emoji2961]
Ungeandika tu kwa lugha adhimu ya kiswahili kuepuka aibu ndogondogo.Shida ni where I we inquire.. do we compassate to the situation and what was we been paid for the Accommodation and the shelter 😂🤣
Nitajie ya mbinga.Sasa wakuu nitachomekea machimbo ya ifakara, mbinga, kahama, ambayo yana sifa bora na masafi mkifika huko direct mnaenda hapo mtahidumiwa vizuri sana kwa weledi mkubwa na bei kote ni 25k
Umesahau godoro unakuta ni kama mtumbwiSometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..
Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.
1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.
Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.
Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.
Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.
Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jf khaaaah!Ungeandika tu kwa lugha adhimu ya kiswahili kuepuka aibu ndogondogo.
Tasfrisi yake ni wapi nauliza.. je tunaendana na hali na tulilipwa nini kwa Malazi na makazi.Ungeandika tu kwa lugha adhimu ya kiswahili kuepuka aibu ndogondogo.
Watu wengine ni wapumbavu sana mkuuNa ukikuta restaurants kigoma huduma mbovu..ujenge restaurants kigoma na nchi nzima??
Kuna sehemu Mwarusembe Mkuranga ile Guest ukitaka kagua wanakwambia lipia kwanza ndo ukague.Unalipaje kabla ya kukagua
Kuna tule tusabuni tudogo kama kiberiti, sijui wanavinunua Tsh100.. unapewa wakati umelipa 50k+ wanashindwa kutoa sabuni zinazoeleweka, sijawahi kuvitumia kuoga!
Mbaya unamkuta mwamba anaweka kwenye bag, sometime hata wateja tuwe serious!
MkuuPana muda unaweza kudhani wamiliki wanadhani wamezoa huo uchafu ni vile wageni wanaona ni ishu ya siku moja kesho anahama Lodge ingine ila nawakubali sana Makambako wana Lodge nzuri na safi ndani Big up kwao...
Me kwa kweli huwa nakagua kwanza kila kitu.silipi hela yangu ya hotel au lodge kizembe labda iwe ni short timeUtakagua kama maji feni linapiga kelele?au wahudumu Wana kelele asubuhi wakati wa kusafisha vyumba??
napitia comments
sijaona zinazoongelea magodoro yanayozungushiwa nailoni ya kule upande wa kule magharib ya mbali ya kusini kwa kina m7
napitia comments
sijaona zinazoongelea magodoro yanayozungushiwa nailoni ya kule upande wa kule magharib ya mbali ya kusini kwa kina m7