Wamiliki wa lodge kuweni serious

Wamiliki wa lodge kuweni serious

Sometimes mtu anasafiri analazimika kuchukua chumba lodge Kwa sababu mbalimbali ikiwemo ukaribu wa anapokwenda mfano kikazi mtu atachukua lodge karibu na ofisi, au ukumbi wa mikutano na kadhalika. Sometimes kwa sababu ya lodge zingine kuwa zimejaa n.k..

Lakini sasa unaona lodge nzuri Kwa nje na hata ndani Kwa macho unaona iko Sawa, unalipia ulale unashangaa na unayo kutana nayo.

1. Feni inapiga kelele.
2. Bomba bovu maji yanatiririka bafuni.
3. Vitasa vibovu.
4. Mlango wa bafuni haufungi.
5. Taa bafuni haiwaki
6. Kitanda kinatoa milio
7. Mto ngumu Sana au mlaini Sana..
8. Feni haipungui wala kuongezeka Ama uwashe au uzime.
9. AC inapiga kelele
10. Tiles bafuni zina kutu.
11. Wahudumu Wana makelele.

Mradi matatizo ni mengi ambayo mtu anaejali biashara yake ni rahisi kabisa kutatua.

Nashauri kama mtu unamiliki lodge au kuendesha uweke utaratibu wa kulala wewe mwenyewe kila chumba Kwa mda Fulani ukague ujirishishe na huduma unazotoa.

Kuna lodge chumba kimoja kina joto kuliko chumba kingine Nakadhalika.

Kuweni serious, lodge ni sehemu ya mteja kulala comfortable sio kuwaza wateja wote wanaenda kwa ngono tu na kuondoka.
Umesahau godoro unakuta ni kama mtumbwi
 
Vinaponyoka mkononi, ikizama kwenye tundu la choo ndo mpaka ujikaushe uombe kingine ama upotozee
Kuna tule tusabuni tudogo kama kiberiti, sijui wanavinunua Tsh100.. unapewa wakati umelipa 50k+ wanashindwa kutoa sabuni zinazoeleweka, sijawahi kuvitumia kuoga!
Mbaya unamkuta mwamba anaweka kwenye bag, sometime hata wateja tuwe serious!
 
napitia comments
sijaona zinazoongelea magodoro yanayozungushiwa nailoni ya kule upande wa kule magharib ya mbali ya kusini kwa kina m7

Muleba, ngara, karagwe, kyerwa, misenyi, mutukula, kyotera, masaka, lukaaya, kampala, mbarara, bwera, jinja, kisugo namwongo, hua zinawekwa zile cover either za leather au nilon ili kuzuia kuchafua magodoro kwani wanawake wa maeneo hayo hurusha na kutoa maji mengi wakati wa shughuli zao , hivo husaidia kutunza magodoro na hiyo sio loji tu hata nyumba za watu binafsi magodoro lazima yatunzwe namna hiyo
 
napitia comments
sijaona zinazoongelea magodoro yanayozungushiwa nailoni ya kule upande wa kule magharib ya mbali ya kusini kwa kina m7

IMG_1468.jpg
 
Back
Top Bottom