Wamiliki wa lodge kuweni serious

haya mimi yamenikuta sana
 
tatizo mnalala lodge za kupigia short time.... unakuta room watu wanaingia kupigana mashine kila baada ya masaa mawili sasa huo usafi utakua observed vipi?
 
16. Vyoo vya kukaa vichafu
17. Kondom hamna
18. Mashuka hayafuliwi hata siku tatu
19. Sabuni ya kuogea hamna
20. Uvundo kama wote vyumbani
21. Maji hakuna
Bro ili tatizo lako binafsi .... unaendaje guest ya 5k - 7k usitegemee haya??
 
Bora Dar.
Dodoma pana hotel mbaya sijawahi ona toka dunia imeumbwa
😀😀Hoteli gani Dodoma hizo mbaya ebu tutajie kama ni St Gaspar Hotel,Morena Hotel,NAM Hotel,Bestern Western City Hotel,Dodoma Hotel,African Dreams,Dear Mama Hotel,Golden Crown Hotel,Nashera Hotel au zipi😀😀😀

Rudi shule kama huwezi kujua tofauti ya guest house,lodge,motel,rest house,inn na hotel
 
Ukotiwa lock up kwanza[emoji23][emoji23]
 
Maana ni tarehe uliyoingia na tarehe unayotakiwa toka, ila wengi huwa hawaandiki mtu anafika hotel saa 8 usiku eti saa 4 atoke
Nimefanya sana hivi kwa mwanza kikubwa ni kusema kabla hujalipa ili akikubali basi unatulia mazima
Nilikuwa nafika mwanza saa 7 na by time hadi saa 8 au tisa nasogea kilatira nachukua chumba kwa makubaliano ya kuondoka kesho nyingine
Yule dada alinizoea hadi kimasihara ikapitia humo humo.
 
Naongeza namba 12.Unaoga maji hayatoki kwenye kishimo cha kutolea maji machafu,unaanza kutembea kwa kuchuchumia...
 
Hiki kiingereza tukiache kando tumalize huu mjadala kwanza.
Ulisoma St. Kayumba mzee sio kosa lako na sample ya watu kama ninyi ndio mnaolipwa hela nzuri ila kutokana na tamaa zenu mnaenda kutafuta lodges za bei nafuu kuliko bajeti mliotengewa...

Tafsiri ya hicho kingereza ni hii...
Shida ni wapi tunaulizia.. je tunaendana na hali na tulilipwa nini kwa Malazi na makazi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna kipindi nilikua mwanza ikabidi nichukue chumba maeneo ya nyegezi kwa ajili ya kuwahi usafiri
Nikaenda hotel moja inaitwa "Passion hotel" ile hotel chumba nilichukua 35k ila cha ajabu maji yakawa hayatoki bafuni ikabidi nimfate mhudumu akaishia kunijibu kwamba kama hayatoki unachukua ndoo unaenda kuchota chini kwenye kisima unapump ukizingatia nilikua vyumba vya ghorofani
Mda huo huo nikamwambia rudisha pesa haraka kabla haijawa vurugu, ikabidi nichukue pesa niende lodge nyingine za karibu nilipata huduma nzuri sana zaidi ya hotel ile ya kijinga tena kwa bei ya kawaida ya 20k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…