Wamiliki wa lodge kuweni serious

Ungetupa uhalisia unazungumzuia Lodge zipi...za elfu 5,10,15,20,25,30,au 50!
 
Mwaka jana miezi kama hii (msimu wa baridi) nilisafiri kwenda Mafinga, sasa katika kutafuta lodge nikaangukia lodge moja hivi ambayo kampuni hiyo ya lodge wana hoteli jina kubwa tu Mikumi pia...

Sasa nishalipia, nimepewa chumba na nahitaji kuoga ndipo nilipoanza kuona mapicha picha...

Maji ya moto hayatoki sijui kuni zimelowa maji hivyo wanahangaika kuzikausha, kumbe maeneo ya huko wana teknolojia yao ya kuchemsha maji kwa kuni, reservoir ya maji ni kitanki kimejengewa kwenye kitu kama tanuri hivi...

Pili, hata hayo maji ya moto yakiwepo basi yanatoka kwa ratiba na ni muda ule mtu wa kuchochea kuni atapokuwepo...

Nilikaa usiku mmoja tu, kesho yake nikatafuta mahali pengine
 
Duh [emoji849][emoji849] wew utakuw umeend kukagua lodge


Mimi hizo lodge tatzo langu kubwa ni wao kukodsha chin ya masaa24

Natak lodge mtu akiigia saa 2 usiku hadi kesho saa usiku
Mkuu imekuwa ni mitandao ya simu ,kwamba ukiiunga leo saa nne mpaka kesho tena saa nne
 
Ubungo stendi zipo hoteli za bei hiyo na haya malalamiko yapo Tele..tiles za bafuni chafu....TV Haina channels...
Mabomba yameharibika n.k
Acha uongo itaje jina hotel hata moja ya 60k hapo ubungo yenye upuuzi huo

Ww umezoea kulala gest bubu za 15k unataka kuhalalisha upuuzi huo na kwenye hotel
 
Mie uzuri wangu shuka likilaliwa tu huwa najua,nikilinusa.
 
Fursa hiyo jitose kwenye biashara ya Lodge nzuri.Jenga zako nzuri upige pesa
Badala ya kukaa unalaumu humu watu wenye lodge mbovu
Atajenga lodge nchi nzima? Watoa huduma ni lazima waelezwe ili waboreshe huduma zao. Lasivyo tukilalamikia bank mtu akwambie jenga bank yako, ukilalamikia hospitali hivyo hivyo kweli?
 
Atajenga lodge nchi nzima? Watoa huduma ni lazima waelezwe ili waboreshe huduma zao. Lasivyo tukilalamikia bank mtu akwambie jenga bank yako, ukilalamikia hospitali hivyo hivyo kweli?
Tatizo kubwa umaskini wa hela

Tafuta pesa Lodge huendana na mfuko wa mtu.

Mbona ziko kibao tu ni pesa yako tu tofauti na benki zinazohudumia watu wote wenye pesa.nyingi na malofa kwenye jengo moja
 
Ubungo stendi zipo hoteli za bei hiyo na haya malalamiko yapo Tele..tiles za bafuni chafu....TV Haina channels...
Mabomba yameharibika n.k

Do inspection before you check in, shida nu kwamba unafikiri unasafiri wenyewe.
 
Atajenga lodge nchi nzima? Watoa huduma ni lazima waelezwe ili waboreshe huduma zao. Lasivyo tukilalamikia bank mtu akwambie jenga bank yako, ukilalamikia hospitali hivyo hivyo kweli?
Na ukikuta restaurants kigoma huduma mbovu..ujenge restaurants kigoma na nchi nzima??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…