Wamiliki wa lodge kuweni serious

Wamiliki wa lodge kuweni serious

Kwa hiyo unapenda kazi ya u referee kama kwenye mpira referred kujifanya anaujua mpira sana wakati hajawahi Chezea hata timu ya uchochoroni

Maisha sio u refferee kama wa mpiran wa miguu Ingia ucheze .Kafungue lodge yako tuone.

Huwezi jua nini kinawakwamisha hao unawaita wana.lodge mbovu washindwe kuboresha hizo lodge ziwe kiwango chako unachokiota
Mbona makosa yao yanarekebishika kabisa?
 
Kuna lodge nililala Kakola Shinyanga eeeh bwana chumbani aliingia yule mdudu mweusi kama mpanzi.

Huyo mdudu Kelele zake zinatakiwa azipigie nje kwenye uwazi sio chumbani aisee triiiiiiiiiiiiiiiìiiiiiiiiìiiiiii triiiiiiiiiiiiiiiiiiìi usiku kucha sauti yake nilikuwa naisikia kwenye ngoma ya sikio.

Niliamka kichwa kinaniuma Asubuhi, mawazo yangu nilijua mdudu yuko nje ya dirisha. Wakati navaa viatu nikamwona aisee nilimkanyaga kwa hasira.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuja kugundua lodge za dar es salaam za bei ya 50000 au 100000 zinalingana hadhi au zimezidiwa na lodge za mkoani za Tsh.25,000 au 30,000 mfano mzuri nenda singida uchukue lodge kama Tilito au mitaa ya mwenge ukiwa unakuja stend mpya, au mitaa ya Sky Way ujionee.
Hujakosea hata kidogo
 
Siku moja Moshi mjini mitaa ya Majengo nilichukua room kwenye lodge moja, 20k. Nilipoingia tu nikafunga mlango wa room kwa funguo, nikavua nguo direct kuoga bafuni. Huko bafuni nililazimika kurudishia mlango maana bafu ni dogo sana. Ile nafunga mlango nikasikia kitu kinaanguka upande wa pili wa mlango (upande wa chumbani). Sikujali nikaendelea kuoga.

Nimemaliza kuoga nafungua mlango haufunguki. Kumbe handle ya kitasa upande wa nje na kile kijichuma kinaunganisha handles na kitasa ndio vinedondoka.

Niliita wahudumu kwa nguvu sana ila wasisikie mpaka koo likauma na matusi yote hapo nimeshamaliza, na hakuna hata mteja mwingine room jirani anisikie awaambie. Wamekuja baada ya nusu saa hivi ila hawawezi kuingia chumbani kwangu kwani nimefunga. Funguo za akiba hawana anazo boss mwenye guest house. Boss amepigiwa yupo mbali, shambani. Alikuja baada ya kama 3hrs hivi. Muda wote huo nipo chooni tu.

Walipofungua nikatoka. Jicho nililowakata wakaelewa namaanisha nini. Wakanirudishia hela yangu bila kusema chochote nikaondoka kutafuta lodge nyingine.
 
Siku moja Moshi mjini mitaa ya Majengo nilichukua room kwenye lodge moja, 20k. Nilipoingia tu nikafunga mlango wa room kwa funguo, nikavua nguo direct kuoga bafuni. Huko bafuni nililazimika kurudishia mlango maana bafu ni dogo sana. Ile nafunga mlango nikasikia kitu kinaanguka upande wa pili wa mlango (upande wa chumbani). Sikujali nikaendelea kuoga.

Nimemaliza kuoga nafungua mlango haufunguki. Kumbe handle ya kitasa upande wa nje na kile kijichuma kinaunganisha handles na kitasa ndio vinedondoka.

Niliita wahudumu kwa nguvu sana ila wasisikie mpaka koo likauma na matusi yote hapo nimeshamaliza, na hakuna hata mteja mwingine room jirani anisikie awaambie. Wamekuja baada ya nusu saa hivi ila hawawezi kuingia chumbani kwangu kwani nimefunga. Funguo za akiba hawana anazo boss mwenye guest house. Boss amepigiwa yupo mbali, shambani. Alikuja baada ya kama 3hrs hivi. Muda wote huo nipo chooni tu.

Walipofungua nikatoka. Jicho nililowakata wakaelewa namaanisha nini. Wakanirudishia hela yangu bila kusema chochote nikaondoka kutafuta lodge nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Cha moto ulikipata.
 
Umeongea correct kabisa@The boss mwekezaji kawekeza vizuri tatizo watu aliowaajiri ndio wanamletea loss sometimes usilaumu Sana ila ulipaswa utoe USHAURI kwa wenye lodge waajiri ATA manager wa lodge na bar awe at least na certificate ya hotel management na hospitality , Sasa wengi wanajiri ndugu ndio madhara yake hayo
 
Siku moja Moshi mjini mitaa ya Majengo nilichukua room kwenye lodge moja, 20k. Nilipoingia tu nikafunga mlango wa room kwa funguo, nikavua nguo direct kuoga bafuni. Huko bafuni nililazimika kurudishia mlango maana bafu ni dogo sana. Ile nafunga mlango nikasikia kitu kinaanguka upande wa pili wa mlango (upande wa chumbani). Sikujali nikaendelea kuoga.

Nimemaliza kuoga nafungua mlango haufunguki. Kumbe handle ya kitasa upande wa nje na kile kijichuma kinaunganisha handles na kitasa ndio vinedondoka.

Niliita wahudumu kwa nguvu sana ila wasisikie mpaka koo likauma na matusi yote hapo nimeshamaliza, na hakuna hata mteja mwingine room jirani anisikie awaambie. Wamekuja baada ya nusu saa hivi ila hawawezi kuingia chumbani kwangu kwani nimefunga. Funguo za akiba hawana anazo boss mwenye guest house. Boss amepigiwa yupo mbali, shambani. Alikuja baada ya kama 3hrs hivi. Muda wote huo nipo chooni tu.

Walipofungua nikatoka. Jicho nililowakata wakaelewa namaanisha nini. Wakanirudishia hela yangu bila kusema chochote nikaondoka kutafuta lodge nyingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Dah sio mchezo
 
Duh [emoji849][emoji849] wew utakuw umeend kukagua lodge


Mimi hizo lodge tatzo langu kubwa ni wao kukodsha chin ya masaa24

Natak lodge mtu akiigia saa 2 usiku hadi kesho saa usiku
Biashara isingekuwa na faida. Lodge haiwezi kulipa kama wateja wa kulala vyumba kila siku havijai.

Atleast tupate na wateja wa mchana wakitumia chumba wawili kwa siku chumba tayari kinakuwa kimeingiza faida kuliko ukikalie 24 hrs kwa 20k yako wakati kingetengeneza 40k nyingine mchana.

Kama unakaa muda mrefu inabidi useme mapema tu.
 
Back
Top Bottom